Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nimeangalia video moja Youtube inamuelezea kamajamaa ni magumashi sana. Sehemu kubwa ya pesa anazopata ni kupitia semina anazotoa akichaji dola 12K hadi 45K, na si kupitia biashara ya Real Estate...
0 Reactions
14 Replies
542 Views
Unaweza usimuelewe mswahili mtu ulikuwa unaingiza zaidi ya figures nane then leo unashindwa hata kuanzisha biashara ya mil 100. Hakika mswahili habebeki bora USAID ifutwe mbaya zaidi ukupenda...
11 Reactions
23 Replies
880 Views
Utangulizi Katika dunia ya leo, vijana wa Kitanzania wanakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na umaskini na ukosefu wa ajira. Hali hii inahitaji maamuzi ya haraka na mikakati thabiti...
0 Reactions
4 Replies
445 Views
Kodi gari lenye uhakika na Rhond's company limited linalofaa kwa mahitaji yako yote ya kusafiri. 📅 Yanapatikana sasa – weka oda mapema uhakikishe tarehe zako! ✅ Bei nafuu ✅ Magari masafi na...
1 Reactions
1 Replies
171 Views
Hello Natumaini ni wazima wa afya mwaka jana mwezi kama huu niliandika uzi kwenye jukwaa ili kuhusu biashara ya viatu https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1790275/ Kwa kweli...
32 Reactions
101 Replies
21K Views
Naomba kujua bei za viatu vya mtumba karume kwa sasa na mbinu za kupoint viatu vizuri maana mimi nipo nje ya Dar na ndio naanza mara ya kwanza. Pia naomba kujua kama kuna guest za kufikia karibu...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Jambo! Perfume, body spray, nzuri kwa bei poa kabisa yani bei elekezi bei ya Dubai, perfume za kisasa kwanini unukie changamoto wakati nina Perfume nzuri na za kila aina zitakazo kufanya unukie...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama...
21 Reactions
115 Replies
23K Views
Huenda umekuwa ukitumia usafiri wa Bajaji (pikipiki ya matairi matatu) na kudhani kuwa zote zinatumia mafuta ya petroli pekee. Hata hivyo, hali imebadilika! Sasa kuna Bajaji zinazotumia Gesi...
5 Reactions
29 Replies
857 Views
Naulizia wadau wanaozijua mashine za kukamulia juice ya miwa yenye tija.zaidi na kudumu na urahisi.wa maintanance
0 Reactions
5 Replies
238 Views
UBUNIFU Tukiwa kama vijana ambao tunataka kujikomboa kutoka kwenye hali ya chini na kusogea kwenye mafanikio yetu na mafanikio yetu yadumu milele inabidi tuwe wabunifu, kuwa wabunifu inamaana...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
JANETH MAHAWANGA, Mbunge wa Viti Maalum; Anauliza; Ni Upi Mpango wa Serikali wa Kuhakikisha Jamii Inapata Uelewa Kuhusu Umuhimu wa Kulipa Kodi na Kudai Risiti? Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad...
1 Reactions
0 Replies
141 Views
Habarini Waungwana! Leo nimeona nitoe mchongo wa biashara ambayo binafsi nimewahifanya kabla sijapata ajira na natarajia kuendelea kufanya baada ya ajira kuisha. Uzuri wa biashara hii, pamoja na...
222 Reactions
573 Replies
150K Views
Wakuu habari, Ningependa kujua ni budget ya kiasi gani inatakiwa kwenye kuanzisha kiwanda cha maji ya kopo, kama Kilimanjaro & Uhai? mkuu kiwanda kitategemea na facts mbalimbali.Kama 1...
0 Reactions
111 Replies
28K Views
Habari wakuu, Nina shamba langu maeneo ya Morogoro, Melela kama eka 10 hivi, sasa kwenye lile shamba wakati ninalisafisha kuna mwamba umeonekana wa dhahabu wao wanaita mwamba dume na wadau...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Angle iron Scaffolding coupler set Scaffolding jack Flat bar iron Gloves Binding wire Safety closest All on sale DM for business
2 Reactions
2 Replies
164 Views
JANETH MASSABURI, Mbunge wa Viti Maalum Anauliza; Serikali ina mpango gani wa kutenga bajeti ya elimu kwa umma kwa masuala mbalimbali yanayotarajiwa kutekelezwa nchini? Serikali imezisisitiza...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Habari ba-Ndugu? Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza, nawatahadhalisha wale wenye mpango wa kutumia Airtelmoney kutuma fedha nje ya nchi kufikiri kutumia njia nyingine badala ya hii. Nilituma...
5 Reactions
17 Replies
668 Views
Jinsi ya Kuanza na Kufanikiwa Kuuza Followers Bila Mtaji – Mwongozo wa Hatua kwa Hatua Kabla ya kuendelea kusoma makala hii, hakikisha unabonyeza REPOST pale juu. Tayari? Chukua popcorn zako na...
0 Reactions
6 Replies
785 Views
Habarini wana jamvi, kama mada inavyojieleza apo, naitaji nyumba ya kununua iliyokamilika. Iwe ni vyumba 2 au v3, kimoja wapo kiwe master au vyote, kuwe na sebule, jiko etc. Location iwe Dar...
5 Reactions
7 Replies
465 Views
Back
Top Bottom