Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wengi mnaona biashara ni kama mgodi. Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner. Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa...
13 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari Naomba wazoefu mnisaidie , nikifingua Bucha yq Nyama ya Mbuzi itanilipa? Naona mabucha mengi ni Ng'ombe. Naomba wazoefu mnisaidie, je inalipa location ni Dar
4 Reactions
11 Replies
344 Views
Wakuu Nina plan tangu mda mrefu sana wa kuhost 2d animation videos za sayansi na teknolojia. Sasa napata wasi wasi juu ya kipato kinacho lipwa na haya makampuni Facebook na YouTube. Je...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Habari za muda huu, Kwa munaelewa hii imekaa je wadau, yaani ipo hivi, kuna wakala anafanya shughuli za miamala yaanu nmb, crdb, nbc na nyrnginezo. Sasa ukiweka pesa mwanzo ni millioni moja, na...
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Sema sina mtaji. Ila hapa kongowe pana fursa ya huduma za uwakala wa miamala ya mitandao ya simu pamoja na benki. Juzi nilikua hapo kulipa ada yani wakala anafunga fremu na watu zaidi ya kumi na...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari za majukumu wanajamvi naomba msaada mtu anaeweza nisaidia kupata eneo zuri lenye mzunguko mzuri wa biashara za UWAKALA wa MPESA TIGO PESA na Banks pia. Iwe ndani ya KINONDONI-Dar es salaam...
0 Reactions
3 Replies
589 Views
Wazima ndugu zangu, Si mnajua maisha yalivyo wanadamu tumeumbwa kupambana hapa duniani kwa miaka hii michache tunayoishi hapa alafu ukiangalia maisha ndio yanazidi kuwa magumu ila ndio hivyo...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwema wakuu!? Naomba msaada wa namna faida inavotengenezwa kupitia uwakala wa mitandao ya simu.
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu,Mimi ni kijana mpambanaji kwa sasa Niko Dar es laam nina mpango wa kwenda Mbeya kutafuta maisha rasmi....je ni sehemu zipi kati ya hizi: Kyela mjini, Border-Kasumulu, Tunduma na...
1 Reactions
40 Replies
8K Views
Habarini wakuu poleni na harakati za kujikwamua kiuchumi. Nimekuja mbele yenu kupata details za biashara ya chuma chakavu na chupa za plastic. Vitu ninavotamani kujua ni 1. Mtaji wa kuanza nao 2...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Awali ya yote, Nashukuru Sana kwa kutenga muda wako na kupitia Uzi huu. Leo nimepata wazo la biashara linalohusiana na kutoa huduma kwa watu mbalimbali hasa wa mikoani na wale wote ambao wapo nje...
3 Reactions
6 Replies
400 Views
Nimekaa na kuwaza ya kwamba kama inavyofanyika katika nchi zingine basi hata Tanzania inawezekana tukiwa na utayari na mpangilio mzuri wa mikakati katika nyanja mbalimbali za utoaji huduma...
2 Reactions
11 Replies
648 Views
Mlio na ukaribu na bakresa embu mfikishieni wazo langu 🤔.. Bakresa group inaupiga mengi sana wamewekeza sekta nyingi sana hapa nchini. Nakutoa ajira kwa watu wengi sana Tanzania na nje ya...
12 Reactions
40 Replies
1K Views
Kama unataka kuwekeza kwenye ufugaji samaki basi anza kufikiria kwenye uuzaji wa Vifaa vinavyotumika kwenye ufugaji samaki (fish farming facilities) au uzalishaji wa mbegu bora ya samaki (sato na...
3 Reactions
6 Replies
550 Views
Heshima kwenu wakuu, mimi ni mwajiriwa wa Serikali, mshahara wangu ni kima cha kati kama milioni hivi kwa mwezi, actually unanitosha kwa kula tu. Nina mtoto mmoja. Mrs. Pia ni mwajiriwa...
3 Reactions
63 Replies
9K Views
Katika safari ya ujasiriamali, mtaji ni moja ya changamoto kubwa inayowakumba wafanyabiashara wengi. Bila mtaji wa kutosha, ni vigumu kuanzisha au kukuza biashara yako. Hata hivyo, kuna aina...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Siku ya kufa nyani wakuu. Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi. Kaomba leseni, mimi sina na...
9 Reactions
97 Replies
2K Views
Nataka nifungue sauna , kwa mjuvi wa mambo naomba anipe vifaa vitakavohitajika pamoja na gharama zake
2 Reactions
15 Replies
257 Views
Huu ni mwendelezo wa Uzi unaolenga Kufahamisha mbinu mbalimbali za mfugaji wa samaki kuweza kufanikiwa katika hii fursa inayohitaji umakini sana kama unahitaji kupata faida. Mada iliyopita...
4 Reactions
15 Replies
7K Views
Fahamu Kwa kina kuhusu ujenzi wa Kituo /vituo vya mafuta (petrol station ⛽) gharama zake, pamoja na process hasa kuhusu vibali vya ujenzi n.k. Naitwa Ndama Matandiko najihusisha na ujenzi wa...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Back
Top Bottom