Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari zenu wananzengo. Mi sio mwandishi mzuri naomba tu mnivumilie ningependa kujua kama kuna mtu anafaham juu ya biashara ya kunenepesha ng'ombe na kuwauza. Naomba tushee utaalam ili nijue...
3 Reactions
80 Replies
47K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
3 Reactions
Replies
Views
Nje ya magari na vifaa vya aina hiyo, Je ni mashine gani au chombo gani cha utendaji wa kazi za kiufundi au ukandarasi ukiwa nacho alhamdulilah utapumua.
20 Reactions
237 Replies
31K Views
Wakuu habari za Wakati huu Wale wa kwetu jamakanza. Moja Kwa Moja kwenye mada naiamini sana company ya Silverland Tanzania kwa uzalishaji wa vifaranga bora wa Sasso na nimekuwa nikilipia na...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Hello Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka. Historia Mimi kwa majina ya...
20 Reactions
252 Replies
81K Views
Kwa wale wote wanao hitaji fremu Kariakoo karibuni sana. Hakuna kulipia kilemba wala ujanja ujanja mwingine hivyo msijali kabisa kabisa. MFANO Hii ipo mtaa wa msimbazi/muhonda jirani na makao...
8 Reactions
90 Replies
3K Views
Habari zenu wana JamiiForums na wadau wa madini kwa ujumla, Naomba kufahamu ukweli kuhusu bei ya amethyst kwa hapa kwetu Tanzania (soko la ndani) kwa zile zilizo safi ,rangi omekolea na ukubwa...
1 Reactions
2 Replies
255 Views
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi...
16 Reactions
108 Replies
5K Views
Ndugu Wanajamii; Tafadhaki naomba msaada wenu wa kujua jinsi ya kufungua shirika lisilo la kiserikali au kituo cha kusaidia jamii ijulikanayo kama "NGO, Trust Fund au Foundation". Ningependa...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Kama una kipato kiasi, na una ndoto ya kuja kumiliki kiwanda cha ukubwa wowote lakini hujui pa kuanzia; Jaribu kutembelea mitandao mbalimbali inayouza mashine, unaweza kuanza na alibaba na...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Nimeleta huu uzi ili tupate kidogo maarifa na tunaweza kusaidiana kimawazo Mimi ni mzaliwa wa kanda ya ziwa huko ila nimebahatika kusoma chuo Dar moja ya chuo maarufu mjini Dar n hata baada ya...
3 Reactions
47 Replies
1K Views
Habari zenu jamani? Nauza korosho nina kilo 20 wapi naweza nikapata soko? Naombeni mwenye connection anipe, nipo DSM 0742548727 nicheki Whatsapp
1 Reactions
3 Replies
178 Views
Mwishoni mwa Mwaka 2022 nilianza Ujenzi wa nyumba ya Kulala Wageni. Ni Moja ya biashara niliyokuwa naifikiria Kwa muda mrefu. Nilianza Ujenzi Kwa kudunduliza kama ilivyo desturi ya Wajasirimali...
124 Reactions
441 Replies
30K Views
Habari wana jamii Kwa jina naitwa Juma Issa Mikidadi, ni kijana mwenye shahuku ya maendeleo . Nimepata wazo la kufanya biashara ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Hizi ndo hints; 1. Wengi wao wanahali mbaya 2. Wengi wao hawana ela 3. Wengi wao huwa wanahisi wanataka kuibiwa muda wote ingawa hawana cha kuibiwa 4. Wengi wao ni walalamishi. 5. Wengi wao mpaka...
1 Reactions
3 Replies
250 Views
Habari, Kwa wale wadau wanaojihusisha na biashara ya madini leo nina jambo hapa nahitaji tuliangalie. Kumekuwa na uhaba au kutokuwa wazi kwa biashara hii ya madini na vito vya thamani mpaka...
3 Reactions
4 Replies
928 Views
Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa...
16 Reactions
28 Replies
2K Views
Watu wengi wanaokwenda kuwekeza DRC Congo kutoka Tanzania hurudi wakiwa na utajiri mkubwa. Je, ni biashara gani hasa wanazofanya huko zinazowaletea mafanikio haya?
4 Reactions
53 Replies
1K Views
Wakuu Habari za majukumu? Nimekuwa nikiongea na fundi mmoja ni rafiki yangu sana yupo kwenye garage moja ya pikipiki maeneo ya gongo la mboto. Akawa ananiambia mdogo wangu (sababu kanizidi...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Back
Top Bottom