Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habar ndugu nipo hapa kuwashirikisha fursa hii ya digital currency ( PI coin) mpya ambayo inaingia sokoni rasmi kuanzia tarehe 31.1.2025 Ndugu zangu Coin hii ni rahisi Sana kuipata Kwan unaipata...
0 Reactions
7 Replies
602 Views
Habari, Naomba kuuliza biashara ya uwakala wa M pesa, Airtel money, Tigo pesa, Halo pesa na uwakala wa CRDB(fahari huduma) pamoja na Nmb wakala. Hivi mtaji wake unaweza kufikia kiasi gani na pia...
18 Reactions
354 Replies
138K Views
Biashara ndogondogo zinaonekana kuwa mkombozi kwa watu wengi linapokuja suala la kupata ajira na kipato. Hata hivyo, kuanzisha na kuendeleza biashara ndogondogo si jambo jepesi. Bila kuzingatia...
8 Reactions
5 Replies
3K Views
Miongozo ya Makadirio ya Kodi ya Mapato kwa Mujibu wa Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332, Kifungu cha 84 (Marekebisho ya 2023) Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332, Kifungu cha 84 (kama...
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Baada ya kutoa fungu la kumi yaani 1/10 (10%) ya mapato yako na sadaka kwa wamuaminio Mwenyezi Mungu na agizo lake Hilo kuhusu baraka za kiuchumi kinachofuata ni kuweka 1/5 ya kipato chako kama...
10 Reactions
41 Replies
1K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Kumekuwa na wadau kadhaa wakiulizia ni taratibu zipi za kufuata ili kuanzisha maabara binafsi ya afya(Health laboratory),lakini hayajapatikana majibu ya kina kukidhi haja zao,hivyo nimeona...
55 Reactions
123 Replies
28K Views
Kwa ambao hatukusoma sana,si wajuzi wa teknolojia ya Hali ya juu,mitaji mikubwa changamoto kwetu,basi suruhisho la kututoa ktk UMASKINI ni biashara ya duka. Faida ya duka la mahitaji ya...
30 Reactions
60 Replies
13K Views
Wakuu. Natamani kuingiza hela kwa upande wa internet naombeni msaada kwa wabobevu hata elfu 5 kwa siku Toa Forex, betting
8 Reactions
78 Replies
7K Views
Habari, Kwa wazoefu wa Wanao safirisha Nyama Nje ya Nchi, Nimepata soko tayari na nataka kusafirisha Nyama ya mbuzi nje, Kuna mifuko ya package, nime attached ktk post naomba kujua naipata wapi...
4 Reactions
10 Replies
443 Views
Habari, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba mwenye ujuzi wa biashara ya Spea za Magari madogo ya kutembelea hasa Toyota (IST, Raum, Spacio, Carina, GX 100 n.k) anisaidie mambo muhimu ya...
4 Reactions
49 Replies
39K Views
Habari zenu ndugu zangu, Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia...
27 Reactions
173 Replies
3K Views
Zipo sababu nyingi za kimazingira zinazoweza kutumika, kujua mwelekeo wa kibiashara utakuwaje kwa mwaka husika na kuendelea. Sababu au viashiria hivi huitwa MICRO & MACRO ENVIRONMENTS. Kwa pamoja...
3 Reactions
9 Replies
973 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Kila siku tunalia biashara ngumu sawa biashara ni ngumu kama hautojiongeza kwendana na wakati wa sasa unataka nini,usipoelewa wakati unataka nini basi "wakati" utakuelewesha unachotaka. Lazima...
107 Reactions
191 Replies
33K Views
▪️Waziri Mavunde ainisha Mkakati wa uongezaji thamani Madini ▪️Taasisi za Jiolojia na Utafiti Madini za Tanzania na Uingereza kushirikiana ▪️Watanzania kujengewa uwezo kukuza ujuzi 📍Dar es...
0 Reactions
6 Replies
178 Views
Back
Top Bottom