Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kituo cha mafuta ni biashara muhimu inayotoa huduma muhimu kwa jamii. Ili kuongeza mauzo na kufanikiwa katika soko lenye ushindani mkubwa, ni muhimu kuchukua hatua za kimkakati. Hapa, tunajadili...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Heshima kuu ziwafikie Wadau.. Katika biashara ambazo kukweli naona zina pesa ndefu na ikiwa moja ya biashara ya ndoto yangu pia moja wapo ni hii ya kuendesha kituo cha kuuza mafuta (PETROL/GAS...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Yani inafika wakati hauna varieties tofauti dukani ila duka lilivyopambwa sasa, mteja akija ana shangaa shangaa tu mataa ila bidhaa hauna. Sasa ndio nini. Inapelekea hadi wale watu wa kawaida...
12 Reactions
13 Replies
594 Views
Habari za wakati huu wapambanaji na msio wapambanaji. Naomba mwenye uelewa zaidi anisaidie katika hili hasa kupitia hii mifuko ya uwekezaji wa pamoja. Ni kupitia mfuko gani wa UTT nitaweza kupata...
23 Reactions
259 Replies
37K Views
Naamini jf ni kisima cha maarifa humu wamejaa watu wengi sana kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua muongozo wa biashara hii ikiwemo changamoto yake,machimbo ya jumla,faida yake lakini pia namna...
1 Reactions
0 Replies
191 Views
Husika na kichwa hapo juu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 40 ni mfanyanya biashara hapa mwanza, nahitaji mtu mwenye mtaji wa kuanziasha biashara ya pamoja. Mimi tayar nachumba cha duka...
1 Reactions
13 Replies
439 Views
Ndugu zangu naomba kujua kwa wale wanaona fanya biashara ya stationary, naipenda sana lakini watu wengi wanasema hailipi ni biashara ya msimu tu. Je nitawezaje kufaidika na hiyo biashara maana...
2 Reactions
5 Replies
980 Views
My Brutally Honest Advice to Non-Native English Copywriters...⁣ ⁣ No one else in the industry will ever tell you this.⁣ ⁣ They'll either dance around the subject like an ostrich with their head in...
1 Reactions
0 Replies
139 Views
Wakuu naomba mawazo yenu. Nina mpango wa kuanzisha stationery ya mtaji mdogo around mil 5 yani umo kila kitu mpaka fremu. Naomba ushauri zaidi ya kuprint na kutoa copy pamoja na vifaa kama...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari? Kama mada inavyo jieleza nina mtaji wa 900,000 ila tayari nina Epson L3110, lamination machine na PC ambayo nitaanza nayo. Je' nianze na vifaa vipi muhimu vya kuweka kwenye stationery...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Nategemea kukurahisishia kazi zako ewe mteja wangu. Najua kuna muda huenda ukawa una documents zako unahitaji ukazitengeneze Stationary lakini muda wako unakuwa mdogo kwenda kukaa masaa kadhaa...
0 Reactions
5 Replies
154 Views
Bulb za LED Zimeungua? Usitupe – Tunazitengeneza! Taa zako za LED zimeungua na hazifanyi kazi tena? Hapa ndipo suluhisho lako linapatikana Tunatengeneza bulb za LED zilizoungua na kuzifanya kuwa...
3 Reactions
21 Replies
679 Views
Salaam Wana JF. Uzi huu naomba wote wanaohusika na Kutengeneza Sabuni za aina zote,Kwa Kiwango kidogo,cha Kati na Kikubwa Tukutane Kupeana Maarifa,Taarifa,Ujuzi na uzoefu.Aidha wale wanaouza...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Habar wakuu nataka kusajili company niwe naomba tender za kusuply material katika miradi ya hamashauri mashule,zahanati..vip wakuu Kuna ukiritimba wowote wakupata au ndo Hadi uwe na connection na...
4 Reactions
18 Replies
384 Views
Salamu zenu wakubwa shikamoo Mimi ni kijana ninae jitafuta sana Naishi Mwanza najishughulisha na uchomeleaj, ila tatizo ni moja sisi hatukopesheki nahitaji mkopo wakuanzia laki saba. Nimeunda...
3 Reactions
21 Replies
649 Views
Wakuu Spidi ya nyuzi za jukwaa hili la bzness hauwezi kulinganisha na majukwaa mengine kama MMU, Jit Chat, Mchanganyiko Siasa, Celebrity, Entertainment n.k. Hii kidogo mimi inanishangaza maana...
7 Reactions
14 Replies
358 Views
Habari ndugu zangu Nianzia hapa ivi unakumbuka katika harakati zako za kuanza biashara,ujasiliamali,upambanaji ulianza vp na ni changamoto gan unayoikumbuka ilikupunguza nguvu ila hukukata tamaa...
3 Reactions
5 Replies
206 Views
Wakuu tupeane michongo Kazi gani haina changamoto tuje tufanye kwa pamoja
4 Reactions
7 Replies
229 Views
Kama kichwa cha habari chajieleza hapo juu , Simu yangu aina ya Oppo A3s kioo kimepasuka. Kwa Mwanza Kinaweza Kupatikana ..?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom