Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau naomba kufahamu toka kwenu, ni vigezo vipi na hatua gani mtu anatakiwa kufuata ili aweze kuanzisha, kuendesha biashara ya baa/pub (baa/pub ndogo) kihalali? Shukran.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WANACHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) nchini kupitia vyama vya Akiba na Mikopo (Saccos) wataanza kupata mikopo ya nyumba na masuala mengine ya maendeleo kuanzia Julai mwaka huu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Benki ya Barclays naipenda ila nina wasiwasi fulani. Kuna kipindi baadhi ya wafanyakazi wake walivuta mamilioni ya mihela na wakakamatwa. Pia kumekuwa na manun'gunikonun'guniko kwa baadhi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tangazo lililotolewa na Serikali la kupandisha bei ya zao la Pamba nchini kwa musimu huu, kumbe ilikuwa ni kuwapa matumaini hewa. Tangazo hilo lilitolewa Kasulu bei ya pamba ingekuwa ni sh.1,100/=...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari great thinkers, Naomba ushauri na maoni yenu kuhusu kujenga nyumba.Kipi ni bora na nafuu iwapo utatumia mkandarasi au fundi wako wa mtaa? Maoni yenu yatatusaidia wote.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau heshima mbele.. Kuna ndugu anahitaji kujenga choo bora pale Hedaru... kaniuliza kuhusu gharama za ujenzi na uwepo wa mafundi wazuri wanaoweza kufanya hiyo kazi.... Nimelileta humu kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam jukwani hapa Uchumi na Biashara! Inawezekana kulipia ankara za Makampuni ya nishati na Maji kwa fedha za kigeni? Kampuni hizi ni za umma wa Tanzania.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninajua kuwa kila mtu anapofungua account anapewa terms and condition kuzisoma na kuzi-sign. Kuna aina mbalimbali za banking products, kama savings accounts, current account etc. Mimi ni...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Baadhi ya kampuni za mafuta zimetishia kugoma iwapo hatua hazitachukuliwa kurekebisha mpango wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja ambao umebainika kukumbwa na dosari ya kuwa na mafuta...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nikiwa kijiweni tangu majira ya mchana na nipo karibu na dpot ya bia ya kampuni ya TBL na nikaona malori kama matatu aina ya Benzi na hizi benzi nyingine hz kibin fupi tani 5 kama 8 hv zinaleta...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
WAKUU katika kuangalia angalia zangu Euro hapa nikapata mawili matatu ambayo nimeona yanaweza kuzaa idea ya biashara ambayo nikaona sio mbaya kuja ku share na wakubwa/ wadogo zangu hapa kwanza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa ninavyofahamu B.O.T anaregulate commercial banks zoote,pia other financial institutions....hivi ni sahihi kwa banking hall kuwa wazi mpaka saa mbili usiku???Yaani huyu regulator(BOT) hana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf,kampuni yetu tulisajili tangu mwaka 2010,kutokana na hali mbaya ya biashara na mimi kuwa masomoni hatukuweza kulipa kodi kwa miaka hii yote na hatukutoa taarifa tukitegemea mambo yangekua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu wataalamu wa business kuhusiana na aina mbali za business registration. Ninaomba kupata maelezo kuhusiana na aina mbali mbali za business and company registration. Kwa upande...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jamvini hivi kuna mtu ana idea yoyote ya hii njia ya kununu magari inayoitwa PayTrade? Ni salama kweli au kuna kanyaboya hapo? Maana nataka kuzgiza mkoko lakini nasita kutuma hiyo noti yao...
0 Reactions
52 Replies
8K Views
Precision Air Deputy Permanent Secretary in the ministry of Transport John Mngodo has said undertaking research and analysis is vital in order to acquire initiatives that can benefit the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The government yesterday said that it has no objection to Zanzibar conducting exploration and extraction of oil in the island. Prime Minister Mizengo Pinda said that the government was working on...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
JF!Kwa kawaida mitandao ukiwa na shida unapiga 100.Jana wameniiba 500.Napiga hakuna panapoonesha kuongea nao.Nifanyeje?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ni wale owners wa easyjet, wanataka kuleta ndege hizi za bei rahisi hapa TZ. Ulaya unaweza toka Italy ukaenda Spain kwa $15, hawatoi chakula wala nini. Binafsi nawakaribisha sana ili usafiri wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomeni msaada wenu wana Jamii.. I have about 3Million na nataka kui invest kwenye biashara ya M-Pesa, Tigo Pesa lakini nataka kujua inakua vipi kila kitu from profit na loss?? Nyumbani napoishi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom