Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu naomba kuuliza niandae TShs ngapi? Niwezekupata chumba Cha bei nafuu hapo misugusugu pwani kiwe na umeme na maji au umeme pekee.
1 Reactions
1 Replies
351 Views
WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MIKAKATI YA KUMALIZA MIGOGORO MIRERANI -Serikali yarusha ndege ya Utafiti ndani na nje ya ukuta kupata kupata viashiria vya mwamba wa madini -Taarifa za utafiti kusaidia...
0 Reactions
0 Replies
292 Views
Ulishawahi kujiuliza, kwa nini ukienda dukani unaweza ukakuta kitu cha shilingi 50, 100, 200 n.k? Je hivyo vitu vinatoka wapi, ni kiwandani au ni mtu anajitengenezea? Mfano kuna biskuti, pipi...
4 Reactions
6 Replies
909 Views
Wadau wa biashara tushirkishane mawazo maoya ya kibiashara Hapa iwe michongo ile ya biashara ukiweka mzigo kama huo unapiga faida kubwa, sio biashara zile za motivation speaker za kusema anza na...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wadau! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,ijue biashara ya nywele faida na changamoto zake,kwanza kabisa naweza kusema biashara ya kuuza nywele za bandia ni kama biashara...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wana jamii! Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja. Ni...
3 Reactions
8 Replies
792 Views
Tumezidi kuaminika kila iitwapo leo. Wewe Mzazi au Mlezi amma Mwanafunzi usipate shida wewe tuambie upo wapi na Unataka Laptop au Desk top aina gani ?? Usiwaze kwamba tunafanya kazi kulingana na...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
Habari za jioni ndugu Great thinkers itifaki zote zikizingatiwa niende kwenye maada moja kwa moja Kwa siku za hivi karibuni niliona mahala kwamba riba za mikopo CRDB 13% wakati NMB NA NBC wao ni...
1 Reactions
42 Replies
3K Views
KUNA MUDA DUNIA INAWAPENDELEA WENYE PESA TU 😔 Huu ni ukweli mchungu kwa maskini ila ndio ukweli ama uukatae au uukubali bado utabaki tu kuwa ukweli . Dunia sio salama sana kwa Maskini japo kuna...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Wasalam, Naomba kujua ni hisa gani zinafanya vizuri Dse kwa sasa? Nataka nijitoe muhanga kununua hisa.
1 Reactions
4 Replies
423 Views
Wakuu..Hawa jamaa wa mkopo fasta wananidai balaa...kwa namna wanavonidai ningekuwa na hela ningewapa nimalizane nao waache kunitumia jumbe za vitisho na simu,..imefikia wakati wanataka kuwatumia...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
SERIKALI INAFANYA TATHMINI YA UWEZEKANO WA KUPANGA BEI MOJA YA BIDHAA ZA PETROLI NCHI NZIMA Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema Serikali kupitia EWURA inafanya tathmini ya uwezekano wa...
0 Reactions
1 Replies
320 Views
  • Poll Poll
Habari wanajukwa wa JF Naomba elimu na ushauri kuhusu biashara ya vilainishi (oil and lubricants) vya vyombo ya moto kama vile magari na pikipiki, mtaji kiasi gani unahitajika? location ya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ni kwa wale wanaopenda maisha bora! Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku; wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli wanapeleka kwao, lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia...
14 Reactions
75 Replies
15K Views
Unaweza usiamini ila kwenye mabanda umiza na mabar soda inauzwa 1000 sio kama madukani 700 na maji Lita 1.5 yanauzwa 1500 sasa Wakija wateja wengi ukauza ma kreti mengi ya soda aisee biashara...
2 Reactions
2 Replies
457 Views
Mwaka huu malengo yangu ni kufikisha Milion 12.Ikumbukwe sijawai fika zaidi ya milion 6 ambayo nishafika mara moja nikadumu kwa mwezi mmoja. MWAKA HUU NIMEJIPANGIA SAVING NIFIKE Milion 12...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Hello WanaJF? Mimi ni kijana mwenye miaka 23 but niko na kipaji cha kuwa MC nimefanya kazi kwenye mashule kama matukio matano. Naombeni ushauri nawezaje kuji promote nipo mtwara Thanks
1 Reactions
5 Replies
364 Views
Kwa wale watumiaji wa mayai Kwa lengo la kupata protein wameshasikia mengi kuhusu tetesi za madhara ya mayai ya kisasa na hata Wataalamu wa Lishe wanakiri ya kuku wa kienyeji ni bora zaidi...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu binafsi nilianza kubet 2012 nikaja kuacha 2016. Pia niliijua forex 2017 nikafanya nakushindwa nikaacha nikarudi kisha nikaacha 2019. Sasa Nataka nirudi tena kwnye forex nimegundua tatizo...
15 Reactions
81 Replies
7K Views
Je, wajua kwamba waweza jipatia pesa nyingi sana kupitia Youtube? Labda unajiuliza ni jinsi gani jambo hili linawezekana! Leo nakupa maujanja kuhusu mchongo huu. Video nyingi ambazo hua...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom