Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi? Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara...
17 Reactions
102 Replies
4K Views
Nayaongea haya kwa siku ya leo kwasababu nimestuka sana hata ndugu yangu ambae si haba kafanikiwa kibiashara akiwa rika la early 40s nimegundua kwamba kawekewa kinga na mganga, Ndugu huyu ana...
19 Reactions
78 Replies
6K Views
Ndugu hamjambo, Naombeni mchango wa mawazo tafadhali. Nina milioni moja. Pia nina fremu iko eneo flani hivi uswahilini ktk makazi ya watu. Ni biashara gani naweza fungua uswahilini kwa mtaji...
2 Reactions
5 Replies
7K Views
Naomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...😁😁😁
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa anaefahamu bei ya vocha kwa jumla ili na mimi niuze jumla madukani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs...
43 Reactions
149 Replies
8K Views
Maisha mengi tuliyonayo yalianza kama picha inayojengeka akilini. Hakuna mwanadamu asiyependa vitu vizuri. Ushindani na matamanio ya mwanadamu yanazua mambo mengi. Pale unajaribu hili na lile...
1 Reactions
4 Replies
462 Views
Wakuu kwema? Hivi vibanda vinasaidia sana wafanyabiashara wadogo kuanza kujitafuta. Naomba kujua yafuatayo: 1- kwa anayetaka kununua, vinauzwa bei gani? 2- kwa anayetaka kukodi, kinakodishwa bei...
2 Reactions
3 Replies
551 Views
Wakuu nilikuwa napitia bei za vitochi vya Nokia alibaba naona ni ndogo sana nawaza nijaribu japo kwa piece 4 , ila sina uzoefu wowote naombeni muongozo wakuu
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wazoefu, naombeni mniambie procedure ya kununua bond za BOT za miaka 25 ambazo zitauzwa wiki ijayo. Nikisoma link yao sielewi na bahati mbaya nakaa mikoani. Aliyewahi kununua naomba atiririke...
2 Reactions
4 Replies
565 Views
Nina Shida na kupata control number tra ili nilipie Nilienda juzi wakanipigia makadilio ila kwenye kupata control number mtandao wao ukasumbua so jambo halikukamilika na mwezi ushaisha nikikaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu Siku kadhaa nyuma niliweka andiko hapa lakutafuta mwekezaji kwenye biashara yangu, na nikapokea calls, SMS na Pms kadhaa zingine walitaka kujua nafanyaje fanyaje ili kuweza...
17 Reactions
92 Replies
4K Views
Habari wana JF. Naombeni ushauri juu ya maeneo yenye wingi mkubwa wa watu kwa hapa Dar ambapo ninaweza kuweka biashara ya umachinga (urembo) ya mtaji wa milioni 2 na ikaenda vizuri. Nimeplan...
0 Reactions
2 Replies
787 Views
Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele. Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu kuna biashara nataka kujaribu kufanya ya kutoa bidhaa Kariakoo kupeleka Burundi ila katika pitapita, nimegundua changamoto zifuatazo. 1. Mabadiko ya thamani ya pesa ya Burundi 2...
16 Reactions
93 Replies
17K Views
Nahitaji kuchukua mkopo mdogo hapa ofisini, sasa kuna form za wadhamini kama mbili ila anatakiwa mtu anayefanya serikalini au kwenye shirika kubwa linalotambuka. Mkopo ni mdogo tu na ni hapa hapa...
1 Reactions
4 Replies
350 Views
Ni kawaida shida huwa haipigi hodi naomba msaada hivi naweza kwenda bank ninayopitishia mshahara wngu nikazungumza na branch manager akaniwezesha kupata hiki kiasi 210k kwa makubaliano tu mshahara...
1 Reactions
20 Replies
655 Views
Nitaongelea zaidi uhasibu, kwa sababu ndo fani Ninayoizungumzia zaidi, katika kazi ya uhasibu ina changamoto mbalimbali, kama kulipa loss etc. Mfano siku umefanya mauzo ya sh milioni moja, lakini...
2 Reactions
2 Replies
415 Views
Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo...
12 Reactions
86 Replies
4K Views
Alhamndullillah, Nilileta uzi wa kuomba ushauri humu, kipi kitega uchumi kizuri kati ya bajaj na trekta. Wadau walitoa maoni yao, kila mmoja alishauri kwa namna alivyoelewa, ila wengi...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom