Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu wa JF, Naomba kuuliza ni sehemu gan hapa Dar kwa mwaka huu 2024 Kuna fursa nyingi za kibiashara kwa sisi wenye mitaji midogo kama 3M ambapo maybe kuna nyomi la watu wengi, mzunguko wa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
10 Lessons from MILLIONAIRE SUCCESS HABITS by DEAN GRASIOSI 1. THE POWER OF MINDSET AND BELIEF: This lesson underscores the significance of cultivating a success-oriented mindset and belief...
2 Reactions
1 Replies
407 Views
Wakuu Hivi kati ya kahama na mbeya wapi pako vizuri kwa mazunguko wa pesa,unafuu wa gharama za maisha na ubora wa miundombinu?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Nina mtaji wa milion 7 nataka nianzishe biashara ya hardware, naomba kwa wazoefu wa biashara hii wanijuze wapi naweza pata location nzuri kwa Mkoa wa DSM na kwa mtaji huo ninaweza...
7 Reactions
59 Replies
13K Views
Habari wadau wa JF. Kutokana na kaulimbiu ya nchi yetu ya Tanzania ya Viwanda leo nataka kuwapa funzo/mafunzo ya jinsi ya kutengeneza sabuni za kipande au kufulia. Jiulize wewe uliyekuwa Katavi...
1 Reactions
18 Replies
13K Views
Wataalamu wasomi na wanamajumui kwa kuweka ubinafsi kando na uafrika mbele, hili jambo kama si leo ni siku zijazo laweza leta mapinduzi chanya katika kujikwamua na kuamsha shughuli nyingi za...
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Wanajamvi nina wasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Nimekuwa nukijiuliza maswali mengi sana kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea katika taifa letu pendwa kabisa Tanzania, Je ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mambo vipi wadau wa JF. Leo nimewaletea Kaunda suti za watoto wadogo miaka 2 - 17. Sifa za Kaunda suit 👇 Quality materials ✅ 100% cotton wool materials ✅ Bei👇 Tsh. 95,000/= WhatsApp/call...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu,
3 Reactions
8 Replies
604 Views
Habari ndugu zangu, natumaini wote mpo salama. Niwatakie kheri ya X-mass na mwaka mpya. Swali langu la Leo ni, Je biashara ya Uber na bolt kwa kutumia gesi asilia inaendaje? Zingatia: -Faida ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Huu ni mtazamo wangu binafsi juu ya soko la Hisa (shares) ambalo nadhani unaweza kumsaidia mtu yoyote kwa namna yoyote ile. Nini maana ya uwekezaji katika soko la HISA? Ni kitendo cha kununua...
11 Reactions
47 Replies
15K Views
Guyz habari mm ni mfanyabiashara naomba kujua sehemu ambayo watu wananunua dagaa wachafu kwa ajili ya vyakula vya migugo kwa sasa tuna tani kama 35 za dagaa wachafu lakni pia uduvi ila kwa sasa...
1 Reactions
1 Replies
321 Views
Wakuu habari zenu? Niingie moja kwa moja kwenye mada. Baada ya kusoma habari ya forex humu jamii forum nilitamani sana niijue hiyo biashara . Baada ya muda nikaona post humu ikiwa inaelezea...
13 Reactions
56 Replies
17K Views
Agri acress farm kutokea Morogoro mjini Tanzania wanakuletea huduma bora ya miche mbali mbali ikiwemo miche ya matunda, mbao, maua na migomba. Wasiliana na mmoja wa wanna bustani kutoka Agri...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Hello wanajamii, Baada ya kuwasaidia zaidi ya wafanyabiashara 3000 kujenga biashara mtandaoni, moja ya swali ninaloulizwa sana na watu ni formula nzuri ya kupata wazo zuri la biashara...
2 Reactions
0 Replies
606 Views
Kampuni ya kutoa tathmini ya nchi juu ya uwezo wake wa kukopa na kulipa madeni, credit rating agency iitwayo Moody's imeipandisha daraja nchi ya Tanzania kutoka B2 kwenda B1. Pamoja na hilo nchi...
2 Reactions
10 Replies
932 Views
Salam wakuu, Kama Uzi wangu unavyojieleza hapo juu, nahitaji meza ya chakula (dining table) kwaajili ya nyumbani. Naomba kwa anayefahamu sehemu wanatengeneza meza hizo kwa gharama nafuu kwa hapa...
1 Reactions
3 Replies
308 Views
Je, kuna mtanzania anaingiza kipato kutokana na Teknolojia hii ya artificial? Naomba kama wapo basi tupeane maarifa hapa, iwe artificial intelligence jumlisha na social media basi tupeane maarifa...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya...
31 Reactions
119 Replies
6K Views
Habari ya jumapili wakuu. Naomba msaada wa maelekezo toka kwa mtu aliyewahi kusajili mradi chini ya Tanzania Investment Centre (TIC). Ninahitaji kujifunza jambo kwa uhalisia wake hasa katika...
0 Reactions
1 Replies
374 Views
Back
Top Bottom