Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hivi kwa maeneo kama shinyanga naweza pata flat screen mpya dukan ya bei kama 150000 Na ipi ni kampuni bora na ni inch ngapi
3 Reactions
3 Replies
450 Views
Leo nitakuwa mtomvu wa nidhamu sitaanza na salamu kama nilivyozoeleka. Swali langu: a). Biashara ya magazine (majarida ya matangazo ya baishara) inaweza kufanyika kwa mtaji wa shilingi ngapi...
0 Reactions
5 Replies
622 Views
Kama wewe ni mzoefu vifaa vya majumbani na pia unajua pasi gan inafaa kwa matumizi ya familia kwamba anaweza tumia mtoto, kaka, baba au mama bila kuleta matatizo ya ku overheat au kushindwa ku...
0 Reactions
4 Replies
389 Views
Habar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ninawasalimu wote katika Jumapili hii Njema, na tulivu. Naomba nisipoteze mda na niende kwenye mada moja kwa moja. Baada ya kuwa napata matangazo ya App za mikopo, nikaamua nifanye ka utafiti...
5 Reactions
16 Replies
6K Views
Nauliza jinsi ya kuanzisha biashara ndogondogo sababu Sina mpango wa kuajiriwa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, nina mpango wa kuanzisha cleaning agency, so ninaombi kwa mwenye uzoefu ili nijue mambo mawili matatu. 1) Bei za usafi wa sofa na carpets. 2) Bei usafi wa nyumba nzima 3) Bei kung'arisha...
2 Reactions
14 Replies
836 Views
Naomba kujuzwa kuhusu biashara ya duka jinsi ya kuiendesha kwan nakuwa Kwa kazi lakin nashndwa kuchanganua hii faida au hasara.
0 Reactions
2 Replies
585 Views
. Akasema basi ntasubiri mpaka utakapo pata ndio nitaondoka! Kumbe hapo alishaenda kununua vitu vyake kwa ajili ya safari.. Wife akasema usilazimishe mwache aende tu, basi Mimi kupiga simu kwao...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu, me nahitaji battery ya Solar power ambayo imeungwa na CHARGING CONTROLLER moja kwa moja Kama hili.
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Wakuu, kumekuwa na maneno mengi kuhusu hili. Leo nimetumiwa picha hii toka kwa mdau mmoja kwamba wanayo, sasa sijui kama ni utapeli ama ni real. Kuna clip yake
2 Reactions
27 Replies
11K Views
Igweee... Jamani ni wapi naweza pata hii nguo kwa hapa Tanzania? Very urgent need...
4 Reactions
5 Replies
361 Views
Habari wadau, Nilikuwa nawadharau sana vijana wanaoimbaimba na kucheza cheza TikTok. Nawaona wapuuzi hawana kazi ya kufanya na wajinga. Mtoto wa shangazi yangu ni mmojawapo wa hao wapuuzi wa...
32 Reactions
116 Replies
15K Views
Anaandika Kenge Kwanini mawazo ya biashara hasa kwa sisi fresh youth yanafanana sana? yani ukikamata vijana kumi wa kibongo ukawapa mtaji ukawaambia fanya biashara..Watakimbilia kufungua duka...
11 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari Wana Jukwaa. Karibu katika Andiko hili ambalo nitaeleza biashara hii kinaga ubaga. Tutaanza na topic hizi: 1. Jinsi ya kuanzisha kiwanda kidogo cha Maziwa 2. Jinsi ya Kutengeneza...
35 Reactions
224 Replies
103K Views
Je, unajua umuhimu wa mwamvuli kwenye kutangaza brand yako? Kuongezeka kwa utambuzi wa brand ni mojawapo ya manufaa ya msingi ya kutumia miavuli ya utangazaji kwa kampuni yako. Bidhaa hizi za...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Habari wapendwa, Kuna rafiki yangu (wa kiume) anahitaji mtu wa kumuonesha njia/kushirikiana naye kwenye Biashara Na maanisha anahitaji mtu anayefanya Biashara tayari na anayehitaji mtu wachangie...
1 Reactions
6 Replies
429 Views
Habarini wanajamvi bila shaka mu wazima wa afya, Poleni na shughuli za kila siku za kuendesha maisha, nahitaji msaada wenu wa mawazo kuhusu vifaa muhimu vya kuwa navyo kuendesha biashara ya...
1 Reactions
1 Replies
703 Views
Karibu mkoa wa Lindi kata ya Yangamara kitongoji cha Kilidu. Wakati tupo mbioni kuelekea mavuno ya ufuta tunawakaribisha matajiri na wafanyabiashara kwa nia ya ununuzi wa ufuta. Fuata utaratibu...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wafanyabishara, Naomba kupata Experience kidogo kwa wale waliowahi kufanya matangazo either ya redio ama mtandaoni. Kipi Bora na kinaleta matokeo ya haraka, Kutangaza Biashara mtandaoni...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom