Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari, Nina wazo la biashara ila mtaji unazingua, nitaanza na nilichonacho. Kwa kuwa nimeishi Dar muda mrefu na nimejuwa mitaa na chocho za Dar, hakuna sehemu utanipoteza Dar. Basi...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wadau wnaaotaka kusafiri china na turkey Kuna maonyesho mbali mbali Katika kipindi mbalimbali katika mwaka kama ilivyo kwetu Kuna 7/7. Nina dondoo kidogo...naomba tukutane hapa kupeana huu...
4 Reactions
5 Replies
871 Views
Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusina na wale Wawekezaji ambao incase unaplot mahali wanakuja kujenga kama apartment. Au office kwaanae jua anisaidie plz coz tuna eneo lipo town maeneo ya Ilala...
1 Reactions
2 Replies
256 Views
Wakuu namshukuru Mungu kwa hii pumzi na kwa riziki zake. Mimi ndugu yenu siku za hivi karibuni nimeona ni muda muafaka wa kuanzisha chanzo kingine cha mapato ila bado sijafanya maamuzi kamili...
8 Reactions
54 Replies
4K Views
Matumaini yangu hamujambo wana-JF Napenda kutoa uzi huu nikiwa na experience ya kutosha kuhusu ujasiriamali kwa nchi yetu. Tanzania haina habari kuhusu wajasiriamali kwa sababu zifuatazo: 1...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Kati ya sheria au Rule ngumu katika kujenga na kuimarisha kipato au kusaka utajiri ni hii 1. “Earn before you Spend” Hii rule nimejaribu miaka mitatu sasa siiwezi hasa kwa wafanyakazi ndio kazi...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Rais Samia anafungua hotel ya kisasa mkoani Arusha iitwayo Gran Melia na tukio liko mubashara ITV, TBC na Channel ten. Karibuni sana. ===== Rais Samia Suluhu amezindua rasmi hoteli ya kisasa...
3 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari za wakati huu, Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na jitihada zako za kutafuta mafanikio katika maisha yako. Niseme tu ukweli kwamba ninaandika andiko hili nikiwa katika maombolezo...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Msaada jamani, kwa wale wafanya biashara wazoefu wa kusafirisha mazao nilikuwa nahitaji kujua jinsi ya kupata kibali cha kusafirisha mazao.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello wana JF Ni matumaini yangu hamjambo na wenye afya tele na hata wale wagonjwa namuomba Mungu awaponye haraka. Leo ningependa kuongelea hizi Financial Markets yaan Masoko ya Biashara za...
4 Reactions
96 Replies
8K Views
Hi, Anyone drop any challenge ambayo startups za Bongo/ Africa kwa ujumla zinaface. Mimi ntaanza na Tamaa, startups founders wengi wa Africa wana tamaa akishaanzisha kitu akapata hela tu bas...
4 Reactions
18 Replies
668 Views
Nipo hapa kwa kitanda usiku huu wa manane nikiwa na msongamano wa mawazo na kutafakari mambo mbalimbali kuhusu haya maisha hasa kwa sisi vijana ambao tunajitafuta na bado hatujajipata. Haya...
20 Reactions
36 Replies
5K Views
Anatakiwa kijana mwenye wazo la Biashara linaloendana na taaluma yake ambapo ana hakika litaleta faida, anitafute ni muunganishe afanye hiyo Biashara mwenyewe; (faida watagawana kwa makubaliano)...
22 Reactions
164 Replies
22K Views
Miradi ndio uti wa mgongo wa taasisi zisizo za kiserikali (NGOs), kupitia miradi taasisi huweza kujiendesha, kutimiza malengo yake ya kimkakati (Strategic objectives) na pia kufikia uono wake...
13 Reactions
52 Replies
25K Views
Jmn nahitaji bus zuri lenye huduma nzuri linalotoka Mwanza to Dar, naombeni jina la bus zuri jmn. Maana nmekuta siti za katarama zimejaa.
0 Reactions
2 Replies
832 Views
Habari wakuu, Nimerudi kwenu kwa mara nyingine tena. Mwaka juzi (2021), nilikuja hapa kwenye jukwaa na kutafuta business partner ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwenye Machine shop. Hii kwa maana...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za wakati; Kwanza kabisa nianze kwa kuweka wazi kwamba lengo la mjadal sio kuwakebehi watu ambao wameajiriwa/wanatafuta ajira au wanatamani kuajiriwa.Kama mjadala wangu utaelekea upande...
2 Reactions
13 Replies
780 Views
Habari za humu wakuu. Kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyojieleza,Nimepata wazo la kuanza biashara ya kupack na kuuza chai. Awali ya yote natakiwa nifuate procedure zote za kiserikali,kuanzia...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Je umewahi kutaka kufanya Jambo fulani ila ukaacha kulifanya kwa sababu ya kufikri kwamba hutaweza,utadharaulika,watu watakuonaje na kuwa na hofu na kutokujiamini kwa sababu tu ya kuhisi kwamba...
0 Reactions
0 Replies
283 Views
Kwa sasa kuna michezo ya kubashiri na bahati nasibu mbalimbali, tunacheza kwa kuwa tunataka shortcut ya mafanikio na bado inakuwa shida ni wachache wanapata pesa hizo. Tufanye hesabu ndogo kwenye...
3 Reactions
12 Replies
5K Views
Back
Top Bottom