Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello guys, Nimefanikiwa kufungua Kampuni na kuagiza mzigo wa zaidi ya Mil80. Changamoto iliyopo ni Demand ni kubwa kuliko supply, Naitaji watu kwa kuwauzia hisa za kampuni. Kampuni...
2 Reactions
10 Replies
690 Views
Wakuu habari, Katika namna ya kuendelea kujitafuta nimekutana na wazo la kufanya biashara ya vifaa vya umeme vya majumbani kama bulbus, wire, main switches, zile pipe za kupitishia nyaya na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hellooo!!! Wanajukwaa. Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya. Ningependa kuwasilisha maada isemayo Je? Ni yapi matumizi sahihi ya MIKOPO, na je unaweza kutumiaje pesa za watu wengine "OPM"...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu habari za siku nyingi, Leo ninakuja na andiko kuhusu namna kilimo cha mbogamboga kinavyowanufaisha wakazi wa wilaya ya Lushoto na halmashauri zake. Wilaya ya Lushoto inapatikana katika...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Watu wengi huwa wanapenda kuwa na kurasa za mitandao ya kijamii kwa ajili ya biashara zao kama vile,FB,twitter,Whatsap n.k. Wengine hujiongeza na kuwa na blogs,na hata kuwa na website kabisa.Hii...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
LEO tarehe 04/10 Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !! Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!! Ulishawai pitia hii hali...
28 Reactions
114 Replies
8K Views
Kwann tanzania hatuna direction kwene miji yetu !! Yote inajiendea tu zig zaga no plan no ambition. Hatuna mji hata mmoja ambao n smart city wala hakuna mpango!!! kama unajua mpango upo tuambie...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Wafanyabiashara tunawekewa vizuizi vingi sana, TBS yani mpaka madukani, haya hiyo hella ikishalipwa ndo inaenda wapi??? 150000 kila duka Tanzania na Tanzania maduka ni kama 1,000,000 maana yake...
2 Reactions
12 Replies
781 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt Ally Laay (wa pili kushoto) akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia) wakionyesha mkataba wa mkopo wa dola za Marekani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau, Naomba msaada kwa wenye uzoefu wa biashara ya vitu vya nyumbani. Naomba kufahamu makadirio ya mtaji, changamoto na uzuri wa biashara, na mahitaji yote ili kufungua biashara hii...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari wakuu, Kwa wale wapambanaji wenye interest na biashara ya dagaa tunaweza kufanya biashara mimi sasa nipo kisiwa cha GOZIBA bei ya dagaa kwa sasa kwa gunia la dumu kumi ni 180000 mpaka...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Hello wapendwa natafuta mtu wa kunisaidia marketing niko Dar es salaam nina kampuni tumesajiliwa na tunatoa receipt za EFD tunadeal na general supplies sema kwa sasa tunasupply...
3 Reactions
4 Replies
449 Views
Kabla hatujaenda kwenye maada ngoja tumsaidie maana ya e-commerce kwa asiefahamu: (In a layman way) e-commerce ni uuzaji/ununuaji wa bidhaa au huduma kwenye mtandao mahala popote. Mfano: Umekaa...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
1. CRDB - Bilioni 199.61 2. KCB - Bilioni 61.65 3. Azania - Bilioni 45.48 4. NMB - Bilioni 45.34 5. Stanbic - Bilioni 36.21 6. Exim - Bilioni 25.11 7. First Housing - Bilioni 23.08 8. TCB -...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa. [emoji117]Kuna kitu kimekuja akilini mwangu, na kinaniambia endapo vijana watakitilia maanani, basi uwezekano wa wao kupata mafanikio ni mkubwa. [emoji116] 1. Kujenga urafiki...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepokea na kujadili taarifa ya hatua zilizofikiwa za utekelezaji wa maelekezo ya Spika wa Bunge kuhusu Malalamiko ya wakulima juu...
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Wakuu nipo katika hiyo dillema. Kusema kweli Mimi ni business oriented man. I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel. Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari za wakati huu Wana JF, Bila kupoteza muda twende kwenye mada moja kwa moja. Nilikopa bank ya STANBIC mwaka huu kupitia salary slip. Na mshahara wa mwezi uliopita deni lao halikuonekana...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amewaagiza wataalam wa uthibitisho wa ubora kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS), TMDA na SIDO kuwaelimisha wajasiriamali namna ya...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
Back
Top Bottom