Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau, wenye fedha mwaweza kununua hisa kwa hii kampuni ya kuchimba mafuta Tanzania. Kumbe kuna dalili njema za kuweza kuanza kuvuna mafuta? Registered and Principal Office Level 7 , 283 George...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu mi naomba kujuzwa maana nilishitukiwa tu kuona kwenye tv ufunguzi wa mauzo ya hisa pale DSE. Utaratibu wa kununua hisa ukoje kwa tuliochelewa? Asante.
0 Reactions
54 Replies
12K Views
wakuu habari ya wakati huu. naomba kwa yeyote mwenye uzoefu au elimu kuhusu utengenezaji wa sabuni ya mche anidadavulie hapa. pia je, Ajira hii inafaida kiasi gani . inalipa au malighafi zake...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Hello habari wana jamvi, mimi ni mkazi wa dar-es-salaam. Nahitaji msaada wa kupata location za vyombo vya ndani vya mtumba kwa bei nafuu. natanguliza shukrani zangu kwenu. Asante!
1 Reactions
3 Replies
2K Views
........... (Salamu) Wakuu kwa wale wafanyabiashara au wale wenye elimu ya biashara , nina biashara yangu moja naifanya, sasa kwa sasa nataka nifungue branch nyingine ya pili mtaa mwingine, (nipo...
1 Reactions
6 Replies
956 Views
Naomba wenye uzoefu nayo hii Biashara(Ya Kuuza Nguzo za Umeme za Miti) tushee ideas mbali mbali kuhusu uendeshaji wake na dondoo mbali mbali za hii biashara.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Naomba ushauri juu ya biashara ya nguo za watoto pamoja na mazaga zaga yanayo husu watoto Nina 5 Milioni, io n pesa ya kununua mzigo tu, namaanisha mbali na kodi ya chumba Je kwa uzoefu wa...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari. Je wapi naweza kupata chupi na soksi kwa bei poa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Tabia za kila namna huku duniani.Kuna tabia za watu maskini,kuna tabia za matajiri na aina nyingine nyingi za makundi ya kitabia.Kabla ya kuanza kuelezea kuhusu tabia za watu wanaotafuta...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello wanajamvi Mimi nikijana wa miaka 23 nimetokea Songea baada ya kumaliza chuo mwaka huu nikaona bora nijiajiri Mimi mwenyewe kutokana na saving niliyopata kwenye boom Natatanguliza...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta Msimamiz wa apartment Iliyopo Arusha Sakina. Mwenye uwezo wa kufanya majukumu yafuatayo. *Kupokea wageni na kuhakikisha wanapata huduma zote zinazo tolewa kwenye apartment yetu kwa muda...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Wapenda wana Jamii Forums, je naweza nikapata shirika litakaloniwezesha kuanzisha mradi wa kuanzisha ujenzi wa shule ya msingi kwa ajili ya kupunguza tatizo la watoto kutembea umbali mrefu kwa...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Natumaini wote tu buheri wa afya, na kwa wale wenye changamoto basi Mwenyezi Mungu awape wepesi warudi kwenye afya njema. Ninafikiria kuwekeza kweye madini ya dhahabu yaani niwe nanunua kuwekeza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
1. Global Alliance 2. DECI 3. Rifaro Africa 4. MTFE 5. Oriflame 6. QNet 7. Kalynda 8. Mr. Kuku 9. Forever Living Products 10. D9 Club 11. AIM Global 12. Bf Suma 13. Edmark 14. Tiens 15. GNLD 16...
12 Reactions
49 Replies
5K Views
Naibu Waziri Kigahe: Tanzania ni Salama Kwa Ufanyaji Biashara na Uwekezaji Afrika Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb. Ametoa wito kwa wawekezaji na wafanyabiashara kutoka...
0 Reactions
0 Replies
375 Views
Mchanganuo wa biashara ni hatua muhimu katika mchakato wa kuanzisha au kuendeleza biashara. Inahusisha uchambuzi wa kina wa mambo mbalimbali yanayohusiana na biashara yako, na inaweza kusaidia...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Magari yake yatakua na namba SU hata kama yanafanya biashara. Kwangu naona ni IDEA nzuri kuounguza gharama za kusafirisha vifurushi.
36 Reactions
217 Replies
25K Views
Naombeni msaada hivi ukiagiza bidhaa online mfano pieces 50,000 za urine container kutoka Alibaba zenye thamani mfano sh. 2500000 ushuru wake hapa bongo unaweza fika shilingi ngapi
0 Reactions
3 Replies
578 Views
Salaam wanajamvi, Naomba kufahamu maduka ya jumla ya laptop aina mbalimbali kariakoo
1 Reactions
2 Replies
594 Views
Salam wadau Ni takribani wiki mbili sasa nimeshindwa ku-clear invoice ya kununua gari kutoka Japan kutokana na ukosefu wa Dola sokoni. Nimewekwa kwenye lisit ya kusubilia, hila kila nikienda bank...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom