Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za asubuhi Nilikuwa naomba kuuliza hii biashara ya kuuza maji ya kunywa Katika vituo mfano wa atm imeakaaje ( faida na hasara zake) Naomba kuwasilisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi Kuna biashara nimeona ikianza kushika Kasi dar es salaam, uzaaji wa maji ya kunywa kwa gharama nafuu ya shiling Mia mbili kwenye vituo mfano wa ATM hii imeakaaje wataalamu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu... Niende moja kwa moja kwenye mada ni wakati gani utajua biashara unayofanya imekufa au imefilisika...nimejiuliza hili swali kwa nyakati tofauti na nimeshindwa kupata jibu la moja...
3 Reactions
6 Replies
410 Views
Habari za Muda! Huku tunainroduce Bitcoin Cloud Mining ambae ni Genesis-mining Nahisi mwatu wenge anafahamu mpya investment kama Bitcoin ( Kama ujasikia unaweza kucheki huku - Historia ya...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Daremall.com an ecommerce site based in Tanzania has been launched and became the first Ecommerce site to accept cryptocurrency in Tanzania. Users can place orders and pay seamlessly using...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Leo nataka kuwafahamisha Watanzania wenzangu juu ya kitu ambacho wachache ambao wamepata nafasi ya kuelewa ni nini, wananufaika huku wengi wakibaki hawana idea ni nini kinachoendelea. FORBES...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kwa anayefahamu chimbo la bidhaa za Jumla, za Flash Disks, Memory Card, na Phone Accessories.. Location iwe Arusha au Dar.. Sana sana Arusha kama zipo..
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wananchi, nimekuwa na wazo kwamba tuweze kuwareport wenyenyumba wasumbufu either hapa hapa au tufungue telegram. Mtu akiwa anapanga nyumba acheki telegram na thread afanye maamuzi sahihi...
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Nimekaa nimefanya tathimi biashara ya kufanya kwa mtaji kidogo nikapata wazo ninunue bonanza machine izi za kuchezesha mia mbili mbili naomba kujuzwa garama za usajili GBT,halmashauri,pamoja na...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye rasilimali madini kwa wingi yakiwemo Madini Mkakati ambayo mahitaji yake yanazidi kuongezeka kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
301 Views
Jana wakati naangalia Taarifa ya habari nimeona CRDB Bank wamekuja na Huduma ya CRDB GREEN BOND. Hii inaweza kuwa Fursa mpya Kwa wenye pesa iliyokaa tu bila kazi. Embu mwenye kujua zaidi atujuze...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu nimekua twitter nina muda sana ninachokiona humo ni harakati!… Nafuatilia harakati za kanda ya ziwa ziko moto na ushenzi wa bongo na siasa kidogo!! Lakini pia ni mtazamaji wa zile video!…...
0 Reactions
13 Replies
884 Views
Habari, Kuna hili soko linaitwa soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) hapa nchini kwetu na kuna wauzaji wa hisa na hizo bond Wengi tunavutiwa na habari zao hawa watu wa hisa na bond na pengine...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini, wanajamii wa forum nimatumaini yangu kuna hamjambo Kuna jambo linanitatiza sana. Kwa sasa ni mwanafunzi wa shahada na naingia mwaka wapili lakini kila nikirudi likizo nyumbani swala la...
3 Reactions
11 Replies
824 Views
Habarini ndugu zangu..! Kizuri kula na Mwenzio, kwa maana hiyo ndio njia pekee ambayo mimi na wewe tunaweza itumia kugusa maisha ya wengi na sote tukatimiza malengo yetu kwa kasi. MAISHA NI...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Nahitaji hiki chombo used.Naomba nipewe location zilipo
1 Reactions
7 Replies
537 Views
Kwa mikoa ya kibiashara especial local root za kutoka dar- arush Mwanza-Dar Kuna haja wa ATCL AIR TANZANIA kuongeza muda wa siku wa safari yaani root ziwe nyingi. Naamini kutokana na ndege...
1 Reactions
0 Replies
397 Views
Wadau habari za jioni hii pls naomba mwenye uelewa anitofautishie tofauti iliyopo kati ya cake shop, minbakery na bekary. Nitashukuru
1 Reactions
2 Replies
959 Views
Mimi ni kijana wa miaka 22 nimemaliza chuo mwaka huu nina degree ya kodi, baada ya kumaliza chuo kuna sehemu ya biashara nilipata ya mgahawa iko pwani. Wiki mbili za mwanzo biashara ilienda...
7 Reactions
37 Replies
3K Views
Naibu Waziri Kigahe Awataka Wakuu wa Mikoa Kufanya Maonesho ya Utalii Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Exaud Kigahe (Mb.) amewataka Wakuu wa Mikoa yote ya Tanzania kuhakikisha wanafanya...
0 Reactions
1 Replies
337 Views
Back
Top Bottom