Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wapendwa jf Kama kuna sehemu panauzwa tela used la power tiller 1.5tons naomba kufamishwa na bei yake
0 Reactions
3 Replies
585 Views
Nina mtaji mdogo, nataka kufungua duka la hardware za umeme. Changamoto zake ni zipi?
1 Reactions
3 Replies
782 Views
Habari wakuu, nina swali; Nimekopa hela CRDB na kufungua biashara yangu, ila kutokana na mahitaji zaidi kuna kifaa natamani kuongeza kwenye biashara yangu, kutokana na uhitaji wake wa haraka...
0 Reactions
2 Replies
414 Views
Yawe Makubwa Angalau kama yale ma tranka ya shule makubwa. Yawe imara/magumu. Yawe mazima sio yaliyochakaa.. Nayaonaga mara nyingi kwenye kazi za kiserikali n.k Nishawahi kuyaona sehemu kipindi...
0 Reactions
16 Replies
931 Views
Habari wanajukwaa, Dhumuni langu kubwa la kuporomosha uzi huu ni kuomba au kuwataka wale magwiji au wazoefu wa mambo ya migodini (kununua na kuuza pia na kusimamia karasha ili kuzalisha pesa kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapenzi wangu, Kuna rafiki yangu anataka kufungua biashara ya nguo ipi itamfaa. Hii yakuprint tshirts na blauzi au kuletewa nguo kutoka njee na ninguo gani zitakuwa na wateja??
5 Reactions
15 Replies
575 Views
Habari zenu Leo ni siku nyingine tunamshukuru Mungu kwa kuliona jua hadi sasa lakini pia kwa neema ya kuona mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa ndugu zangu waislamu lakini kwa wakristo nadhani bado...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Naombeni idea ya biashara ambayo ninaweza kufanya ndani ya mji wa dodoma kwa mtaji wa million 2, kodi na mahitaji mengine ipo budget ya 1m pembeni Natanguliza shukrani
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimefanya biashara kwa miaka kadhaa. Nimefanya na watu mbali mbali wake kwa waume, ninaowajua kwa sura na wengine kwa mawasiliano pekee. Nimefanya na wa masafa ya mbali na majirani pia. Kati ya...
13 Reactions
33 Replies
3K Views
Wadau naomba kufahamu aina ya kodi ambazo fedha inayowekwa fixed deposit kwenye bank za biashara. Faida inakatwa kwa asilimia ngapi, kodi ji zipi zinakatwa? Please help
0 Reactions
5 Replies
470 Views
Nauza kontena la kuhifadhi ubaridi kwa ajili ya matumizi mbalimbali kama samaki,nyama au ndizi..lina urefu wa futi 40 gharama ni milioni 30 Napatikana kwa namba 0656652250
0 Reactions
1 Replies
350 Views
Wakuu wa Nchi, Natafuta hao aina ya samaki konokono wanaitwa oysters, kwa watu walioko Tanga na Dsm, please naombeni msaada wenu kama unajua mahali wanauza hii aina ya samaki please...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wakuu naomba mwenye uzoefu na ujuzi wa biashara ya kuuza gadgets mtandaoni anisaidie mawazo. Kuhusu Mtaji wa kuanzia, chimbo la kupata mzigo, namna ya kupata wateja, jinsi ya kupanga bei na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanzania Yazindua Kiwanda Kikubwa cha Vioo Afrika Mashariki na Kati Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt Ashatu Kijaji (Mb.) amesema uzinduzi wa kiwanda kikubwa cha vioo Afrika Mashariki na Kati...
1 Reactions
6 Replies
868 Views
Habari za wakati huu kwa majina naitwa joh au johanes ni muongoza watalii ndani ya hifadhi ya Serengeti ningependa kuwakaribisha wote kuja kutembelee vivutio vilivyoko ndani ya hifadhi zetu za...
0 Reactions
3 Replies
522 Views
Karbuni Sana Serengeti
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Hi guys habari, naomba mwenye kujua lolote juu ya biashara ya vyombo vya plastic ivi vinavyouzwa mitaani Kwa Bei ndogo kabisa ,Kuna mtu anahitaji kufanya lakini hajui A B C D zake, yupo dar ...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
We are a local tour & safari company in Tanzania well educated in Fauna,Flora and culture preservation.The company has the aim of providing the best experience a client can possibly imagine.We...
1 Reactions
0 Replies
233 Views
Habari wakuu. Kumekuwa na apps nying mtandaon za mikopo ambazo nyingi ni za uongo.. Naomben kujua ni app gan inayotoa mkopo bila ubabaishaj
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hii ni maalumu kwa hustlers yaani vijana wapambanajj wenye ndoto zao za kufika mbali kimaisha, Kuna vitu lazima ukate minyororo ili upate utulivu wa akili katika kufanya Mipango yako.... Miaka...
33 Reactions
60 Replies
3K Views
Back
Top Bottom