Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Night club(madisko ya usiku ya ndani) ilikuwa biashara nzuri na iliyovuma kwa muda mrefu miaka ya 90's hata miaka ya 2000, hata huko vijijini au wilayani kumbi za nyasi, mabwalo au kumbi za harusi...
13 Reactions
90 Replies
27K Views
Kifo ni sehemu ya kila mwanadamu, ni sherehe ya mwisho. Kutokana na ongezeko la watu kuga dunia, wanafamilia hujichanga na kupendelea sherehe ya mwisho ya mpendwa wao itafana kiasi gani. Watu wa...
1 Reactions
6 Replies
512 Views
Wakazi wa Halmashauri ya Songea Vijijini wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji wa makaa ya mawe ambayo inatarajia kuleta tija kwa watanzania kutokana na uhitaji mkubwa wa madini hayo ndani na...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Habari yenu wakuu, Naomba kufahamu chimbo la remote za jumla za Tv kwa Kariakoo
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Global Islamic Finance Awards (GIFA), Profesa Humayon Dar (kushoto) akikabidhi tuzo ya huduma bora za zinazofuata misingi ya dini ya kiislamu ‘the Best Upcoming Islamic Banking...
0 Reactions
2 Replies
781 Views
Habari wadau, Kumetokea sitofahamu hivi karibuni kati ya wakusanya madeni na waendesha minada ya CRDB BANK kitengo cha kukukusanya madeni baada ya CRDB benki kutoa kazi kwa madalali hao kisha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI DKT. KIRUSWA AUTAKA MGODI WA TEMBO NICKEL KUANDAA MPANGO WA ENEO LAO ▪️Asema Rais Samia anatamani kuona utekelezaji wa mradi huo uendelee kwa kasi ili kutimiza lengo la kuanzishwa*...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
Utafiti uliofanywa kwa bidhaa zisizo za vilevi pamoja na maji umeyapa maji ya Kilimanjaro tuzo ya Superbrand Afrika mashariki kutokana na ubora wake. Maji ya Kilimanjaro huzalishwa na kampuni ya...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Jamaa kaenda duka au kibanda x kununua bidhaa kadhaa, kesho yake mke wake kaenda kibanda au duka hilo hilo kununua bidhaa kama alizonunua mume wake jana Kwa nini muuza duka umwambie mke wa jamaa...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Mfumo wa franchise ni mfumo wa biashara ambapo mmiliki wa biashara au kampuni (inayojulikana kama "franchisor") hutoa leseni kwa mtu au kampuni nyingine (inayojulikana kama "franchisee") kuruhusu...
8 Reactions
6 Replies
759 Views
Habarini... Kuna rafiki yangu anafanya kazi ya ofisini ila muda wake wa kuingia ni saa nne asubuhi... nimemshauri kuwa kabla ya kuingia ofisini anaweza akafanya kitu cha kumuingizia hela... sasa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nina ShambaPori lenye ukubwa wa heka 100 lipo Gwata mkoa wa Pwani ambalo limejaa miti mikubwa sana hivyo natafuta maboss ambao watahitaji kuvuna mikaa na kuni tuongee biashara napatikana kwa namba...
1 Reactions
0 Replies
338 Views
Habari, Poleni na majukumu Nina pikipiki yangu aina ya TVS 125 hivi ni mchongo gani wa pesa naweza kuufanya kupitia pikipiki hii ukiachana na Bodaboda Wataalam nipeni michongo mdogo wenu
1 Reactions
4 Replies
784 Views
Habari zenu wakuu. Nina idea ya biashara ila nina changamoto ya mtaji, hivyo nimeshawishika kuingia bank kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba yangu.. swali ni, je? Bank gani itakuwa option bora...
3 Reactions
68 Replies
6K Views
Kwa namna gani vijana wanaweza kutumia uwezo wao ipasavyo ili kutimiza ndoto/njozi/malengo yao bila kurudishwa nyuma na mazingira au changamoto katika jamii wanayoishi? Swali hili limekuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Assalam alaykum, Habari zenu wapendwa Mimi ni mhitimu wa chuo, ni muaminifu sana kuliko UMUGHAKA uaminifu wake kwa Ally Mpemba. Nilibahatika kupata ukarani katika Sensa ya mwaka 2022 namshukuru...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kilimo kina msimu, hilo tunalielewa, msimu wa masika, vuli, kipupwe na hata kiangazi. Pesa hazina msimu. Ukifanya kazi kwa bidii na ukizitafuta, mwaka mzima unaweza ukawa kwenye masika ya hela...
29 Reactions
94 Replies
6K Views
ningependa kujua kama kuna mtu yeyote mwenye data juu ya misharaha ya NSSF na allowances zake! Natanguliza shukrani!
0 Reactions
36 Replies
14K Views
Wapendwa samahanini kwa usumbufu, mimi ni kijana wa miaka23 nina mtaji wa 120k naombeni mnishauri biashara ya kufanya, nipo mkoa wa Pwani Kibaha Loliondo.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
A lapsed donor is a donor who used to contribute to an organization but who has not donated within a specified amount of time. Usually, that time period is twelve months. However, some...
2 Reactions
0 Replies
442 Views
Back
Top Bottom