Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wasalaam wadau, Naomba kufahamishwa chimbo la vitu nilivyoelekezwa hapo juu na mtaji wa kuanzia ikiwezekana. Nahitaji kufungua duka huku DODOMA Ili angalau kamkono kaende kinywan maana changamoto...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa waagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi kuhakikisha bidhaa hizo zinakaguliwa ili kulinda afya za Watanzania, na wenye Viwanda...
1 Reactions
0 Replies
337 Views
Habari wadau Kama wiki hizi tatu nilkuwa nafatilia biashara ambazo ni profitable business outside of our country, nimegundua biashara ya mkaa ni biashara ambayo inweza kuleta billions of money...
2 Reactions
3 Replies
713 Views
PROF. SOSPETER MUHONGO - TANZANIA IWE NA VYANZO VINGI VYA UMEME KUFIKIA MEGAWATI 10,000 ILI KUKUZA UCHUMI NA PATO LA WATANZNAIA Mbunge wa Musoma Mjini (CCM), Mhe. Profesa Sospiter Muhongo...
0 Reactions
1 Replies
447 Views
Kama una mtaji wa kuanzia laki 7+ na unahitaji kupata faida kuanzia laki 3+ per month njoo inbox tuongee biashara ya nguo za mtumba nitakuelezea ukikubali tutafanya
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS. Nataka nijiunga na huduma hiyo. so natka kufahamu vigezo, Company nzuri zinazofanya pamoja na gharama zake. nitashukuru
1 Reactions
17 Replies
3K Views
HESHIMA KWENU WAKUU Nimekaa nikiwaza sana kuhusu biashara ya mazao haya mawili. Sasa naomba mwenye kufahamu uendeshaji wa biashara ya kununua na kuuza haya mazao mawili (kahawa na parachichi)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nimefanikiwa kujenga nyumba ya kupangisha eneo la chuo cha mipango Dodoma, ina vyumba kumi na tayari watu wanaishii. Nina shida ya mkopo mil 20 kwa ajili ya kuchimba kisima na kujenga uzio...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari ya uzima wana jamii forum Naomba msaada juu ya mchanganuo wa kufungua library classic ya movie na series HD/4K ipoje na imekaaje soko lake kwa sasa. 1. Mahitaji kiujumla 2. Faida na...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Habarini WanaJamii nilikuwa naomba kupata kujua bei ya tambi za kupima hapa Dar es salaam. Na je zile za pakti za dukan nazo ni bei gani. Asanten sana in advance
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu nataka kuweka Insurance kwenye mashine zangu za kilimo i.e Tractors. Ni kampuni gani nzuri kwa biashara kama hiyo?
0 Reactions
6 Replies
350 Views
Habari wakuu, ni week sasa nipo chunya makongolosi kuchungulia fursa. Kipindi natoka mbeya kuja huku nilipanda gari moja na mdada mmoja tulikaa seat za upande mmoja nikaanza kumdadisi anafanya...
11 Reactions
39 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kutokana na changamoto mbalimbali haswa za kifamilia na binafsi, ninafunga office yangu ya spea za Pikipiki iliyopo Dodoma mjini maeneo ya...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Biashara ni kutatua changamoto za watu. Watu waliopo nje ya Dar es Salaam hupata shida kufuata bidhaa Kariakoo Dsm. Imagine mtu anafunga safari toka Songea au Kigoma, Mwanza, etc. mpaka Dar es...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wa ndugu, Napenda ulizia ni biashara ipi inaweza stawi na kukua kwa mtaji wa kiasi cha shillingi laki 7, biashara yenyewe au ujasiliamali wenyewe uwe ni mkoa wa kilimanjaro. Maana...
1 Reactions
3 Replies
892 Views
*HEBU TUONGEE KIBIASHARA SASA:* Ukipata nafasi ya kufika kule *Mbozi Mbeya*, ukakutana na habari za watu wanaotajirika kutokana na *kilimo cha kahawa*, kwa kweli unaweza kuhweuka, na kujiona kama...
41 Reactions
39 Replies
8K Views
Wakuu habari na poleni na majukumu,nisiwachoshe napenda kufahamu hii biashara kwenye vipengele 1.upatikanaji wake 2. Soko lake 3. Bei yake 4. Changamoto zake. Nashukuru. Shangoo wa kulyamba.
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Habari, Nimejaribu google lakini napata wauzaji wa perfume tu. Natafuta wale wajasiriamali wanaotengeneza wenyewe perfumes Arusha. Whatsapp 0656388678.
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Habari wakuu. Hapa nimepambana since asubuhi hadi sasa kijasho kinanitoka, kuna mfumo mpya umetambulishwa na Tamisemi kwa wale wanaohitaji lesseni za biashara unaingia hapa. Tausi.tamisemi.go.tz...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu habari za kazi. Nina juice dispenser ya mitungi mitatu, lakini ilitengenezwa maalumu kwa kutumia umeme. Nataka kwenda kuitumia mahali ambapo hakuna umeme, ndipo nikawa najiuliza je...
0 Reactions
6 Replies
750 Views
Back
Top Bottom