Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hellow members mimi ni mjasiliamali nahitaji shea butter nami niuze wanaojua machimbo plz naomba mnijuze
0 Reactions
0 Replies
286 Views
Anaandika Sadick Tusia huko 'X' zamani Twitter ........... Biashara nyingi sana huwa zinakufa baada ya wamiliki wake kufariki na uchunguzi wangu mdogo nilioufanya asilimia kubwa ya biashara...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Did you test Business mentality in you? Do you have a house maid/house girl/ house boy who assists you in your house hold? Having agreed some wages let say Tsh. 30,000 a month. At the end of the...
0 Reactions
1 Replies
324 Views
Ili kuunga mkono ilani ya uchaguzi ya CCM leo nami nimeona nichangie angalau connection ya machimbo kadhaa ya vitu mbalimbali huko China. Haya ni machimbo ambayo nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa...
5 Reactions
30 Replies
4K Views
Kuuliza si ujinga, walisema wahenga. Nami kwa kuheshimu methali hii naomba kuuliza bila uoga, hivi hizi ATM ni mtu yeyote mwenye mtaji anaweza kufungua ATM ? kama Kuna mtaalam basi afafanue na...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa. Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa wala...
12 Reactions
193 Replies
14K Views
NAIBU WAZIRI KIHENZILE: BANDARI NYINGINE KUJENGWA MTWARA Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile amesema pamoja na kuwa wizara hiyo ina mipango ya muda mfupi katika usimamizi na matumizi...
1 Reactions
1 Replies
479 Views
Tarehe 20/06/2023 nilipigiwa simu na watu wa AliExpress Ofisi za Dar es Salaam wakanieleza kuwa mzigo wangu umeshafika Dar, niende ofisi zao za Dar mtaa wa migombani nyumba namba 8, plot namba 65...
14 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu nikitaka kufungua duka Zenji na mie naishi Bara kuna utaratibu wa kufuata au naweza tu jichanganya nao nikafungua nikaendela na business. Nataka kuweka branch Zanzibar lakini nature ya...
0 Reactions
1 Replies
616 Views
Ni kawaida sana kuona watu wakifuga kuku, ng'ombe, mbuzi, nguruwe, n.k. Lakini ni nadra sana kuona watu wakifuga samaki licha ya kuwa mazingira yetu yanafaa sana kwa shughuli za ufugaji samaki...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Umewahi kujiuliza Kwanini kila aliyefanikiwa online anakwambia soma hizi skills??? Copywriting Closing skills Media buying Freelancing Trading Content creation Marketing research Audience...
4 Reactions
7 Replies
600 Views
Habarini wakuu Nina eneo langu Dodoma maeneo ya kisasa, nyuma ya St. Gasper hotel, eneo lina ukubwa wa sq 1000.... Kwa nature ya eneo hili sasa hivi naona biashara ya apartment inalipa sana, mimi...
6 Reactions
2 Replies
736 Views
Kuna aisiye ijua biashara hii.? Ok Kama wapo ni biashara inayo jihusisha na utoaji wa mikopo midogo midogo ya dharula. Kwasasa ni biashara iliyo shamiri kila Kona ya Tanzania huwezi pita mji au...
8 Reactions
22 Replies
5K Views
Bila kupoteza muda, naomba nifafanuliwe na kunielewesha juu ya hii biashara mfano Mtaji wake ni sh ngapi? Malengo Kwa siku au Kwa wiki sh ngapi? Changamoto zake ni zipi Na mengine ya ziada...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Tumeshuhudia miaka ya nyuma kabla ya 2015 Shirika la ndege kuwa karibia kufa kabisa! Serikali ikapambana kununua ndege,,, na awamu hii bado ndege mpya zinazidi kuletwa. je ununuaji huu unaenda...
0 Reactions
6 Replies
591 Views
Huduma zipi zinatolewa online nataka kujua ili hata mtu mwenye computer na printer aanze biashara. Mfano: Rita- vyeti vya kuzaliwa
0 Reactions
2 Replies
342 Views
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata madini ya COLTAN ili tuweze kufanya biashara, Mnunuzi yupo tayari. Ahsanteni.
2 Reactions
4 Replies
464 Views
Jiji lina vijana wengi sana ambao kwa namna moja ama nyingine wamekulia ama kuzaliwa kabisa katika jiji la Dar es salaam na wengi wao wameishi maisha ya hadhi hapo miaka ya 90s-00s, wakazi wengi...
32 Reactions
56 Replies
4K Views
Habari wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada. Mwenye/Wenye uzoefu wa biashara ya kununua na kuuza nywele, ni wapi naweza kupata, Hair Wigs kwa hapa Dar? Natanguliza shukurani zangu
1 Reactions
1 Replies
536 Views
Back
Top Bottom