Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Bei 75,000 Goba Dar es Salaam 0685416752
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Tanzania, nchi iliyoko Afrika Mashariki, imekuwa ikitambuliwa kama mojawapo ya maeneo ya uwekezaji yenye fursa nyingi barani Afrika. Hii ni kutokana na rasilimali zake tajiri, mazingira mazuri ya...
4 Reactions
10 Replies
941 Views
Chanzo cha data hizi ni kwenye official website ya benki husika, benki nyingine hazijawekwa sababu hazijaweka taarifa za akaunti kwenye website zao. Kama unataka kufungua akaunti mpya kwa kutumia...
29 Reactions
53 Replies
24K Views
Nakuja mbele yenu natafuta gari ya kufanyia kazi za tax mtandao nikiwa na account zote za kazi hii, pia ata ikipatikana gari ndogo corola n.k ikiwa kwenye hali yoyote pia nahitaji kwa kazi za...
2 Reactions
3 Replies
330 Views
Habari ndugu wana jamvi. Naomba kujua tofauti iliyopo baina ya open cheque na close cheque. Ni vigezo vipi unastahili ili kulipwa open au close cheque? Je, ni kweli fedha za Serikali hazipaswi...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Kwa wanaofahamu lengo langu nataka ninunue gunia za mchele kutoka Mbeya kuja Dar es salaam kwa ajili ya biashara. Nataka nifahamu bei ya usafirishaji. Na pia nifahamu sehemu nitakayopata magari...
5 Reactions
33 Replies
12K Views
Wakuu, naomba akili ya biashara,pesa ninayo na sijui Cha kuifanyia.(nimebet nimepiga mpunga) Location: Lindi In cash: Mil 3
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu, Leo nimewaletea mchongo wingine. Nafikiri kila mmoja anafahamu smart watch nini? Kama haufahamu smart watch nisaa ya mkononi inayotumika kama kisaidizi cha Simu ya mkononi...
13 Reactions
46 Replies
5K Views
Habarini wakuu, Natumai mnaendelea vizuri pia poleni na majukumu. Mimi ni kijana wa miaka 22 na pia ni mwanafunzi wa chuo nikisoma kozi ya Mechanical engineering ngazi ya degree na pia naingia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za...
8 Reactions
73 Replies
2K Views
Tanzania tuna Dakatari wa uchumi. Aliyejimwambafai na kutueleza kwamba mambo yote ya kiuchumi wa nchii tumwachie yeye. Sisi na akina Luhaga Mpina tuendelee kujadili Mambo ya kiganga na kucheza...
2 Reactions
3 Replies
301 Views
Afrika Kishirikiana Kutatua Changamoto ya Usafirishaji Bidhaa Baina ya Nchi Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amesema Nchi za Afrika zimekubaliana kushirikiana katika...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Compressor ina ujazo wa 150l, inatumia mafuta. Imetumika kwa mda wa mwezi mmoja tu haina shida yoyote. Bei 950,000/= Mawasiliano 0769452934 or 0685854119
0 Reactions
1 Replies
512 Views
Habari ,naomba kuuliza bei ya maharage na mchela ni sh ngap kwa debe mwezi huu wa tisa (9) mwaka 2023 Bei mchele wa Kyela na mbalali na bei ya maharage ipoje
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam Wana JF, Kama kichwa cha habari kinavo jieleza hapo juu,baada ya mapambano makali ya kujinasua kiuchumi,hatimaye nimepanga kufika mjini Dar es Salaam hususani maeneo ya Kariakoo kwa ajili...
1 Reactions
5 Replies
393 Views
Kama wewe ni dalali au mtu unaeitaji kiwanja/shamba au nyumba Kibaha karibu. Nina viwanja vingi Kibaha kwa mfipa, vilivyopimwa na ambavyo havijapimwa. Viwanja vinaanzia million 6.5 kwa...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Yawezekana una mtaji na hujui wapi utapata frem au umeshatafuta sana frem lakini hupati Frem. Lakini sio tu Frem ila unahitaji Frem iliyo katike best location. Huwa sinaga uchoyo katika kuinua...
12 Reactions
42 Replies
4K Views
Wana jamvi sina maneno mengi naitaji kuandikisha jina la biashara/kampuni yangu brela naombeni kujua gharama na namna ya kufnya mpk nifanikiwe
0 Reactions
3 Replies
437 Views
Habari wanajamii, kuna hii huduma ya lipa kwa namba, mwenye ufahamu naomba anifahamishe jinsi ya kuzipata zile line za lipa hapa na mwenye nazo anafaidika nazo vipi mteja pale anapolipia...
2 Reactions
13 Replies
18K Views
KARIBU Mo cargo Company Limited, has the right and affordable Logistic Solutions to your Cargo be, it small or big. With our in-depth domestic experience ( East and Central Africa ) in Clearing...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom