Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Samahan jamn naomba mnisadie ,,Nataka kufungua duka la urembo wa wanawake(cheni ,hereni,pete n.k) duka ambalo sio kubwa sana la kawaida tu samahan iv kwa haraka haraka natakiw niwe na mtaji wa...
0 Reactions
1 Replies
371 Views
Jamani hii ishu ya dollar kutonunulika na wananchi popote kwenye taasisi zenye fedha imekaaje? Wapi tunaweza nunua?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nisaidien kujua. Kati ya cover za cm. Transparent Na NILLKIN cover ipi nzuuri
0 Reactions
5 Replies
431 Views
Ukweli ni kwamba yajayo yanafurahisha watanzania tusubiri maumivu ambayo yawezekana hatujawahi kuyapata Jana nilienda kariakoo kuchukua mzigo wa majora ya vitambaa vya shule vinaitwa ISTEM mwezi...
1 Reactions
1 Replies
456 Views
Zama za kuanzisha biashara na kukaa kusubiria wateja waje, zimepitwa na wakati. Ushindani katika biashara umekuwa mkubwa sana na una hatarisha biashara nyingi zinazomilikiwa na watu ambao siyo...
1 Reactions
2 Replies
398 Views
Habari Wana jf Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu. Nikifatilia story za Elon Musk ili...
5 Reactions
115 Replies
6K Views
Taasisi ya Kifedha ya Bayport imeeleza namna ya kukidhi vigezo vya kupata Mkopo , pia imesema kwamba hakuna haja yakusafiri muda mrefu au kuandika nyaraka kuomba Mkopo. Afisa Uendeshaji Mkuu wa...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Habarini wakuu! Toka majuzi nimekuwa nikijiuliza maswali mengi hili suala la wajasiriamali kuwa wengi nyakati hizi tofauti na miaka ya zamani let say 90's. Kipindi cha miaka ya 90's wajasiriamali...
9 Reactions
69 Replies
3K Views
Wana JF, Ninaomba mniambie, kwa watu waliowahi kuwekeza wanapata manufaa gani. Je, huu mfuko ni sawa na kununua hisa? Je, unapataje manufaa? Mwanye uzoefu anieleze tafadhali, asante.
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Naibu Waziri Mhe. Kigahe Awataka Wafanyabiashara Kutumia Fursa ya Soko Huru la Afrika Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe amewataka wafanyabishara, wajasiriamali na makampuni...
0 Reactions
1 Replies
540 Views
Moja kwa Moja kwenye mada, Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji.. Kigezo kinachotumika ni...
7 Reactions
407 Replies
55K Views
Habari vp wanajukwaa. Mm ni kijana naomba msaada wa ushauri kuhusu karasha la kusaga mawe na kuwa unga. Je kuwekeza katika karasha inalipa au vip na kama kwel inalipa ni jinsi gan inavyo leta...
2 Reactions
1 Replies
728 Views
Salaam! Naomba anayejua kibali cha kuuza mkaa kinapatikanaje - wapi na kwa bei gani kwa muda gani (miezi 6 na mwaka). Pls help me with relevant info. Asante! Habarini? Ninaomba kuifaham hii...
1 Reactions
337 Replies
120K Views
Kwa mahitaji yote ya security system usisite Tupigie 0758 476 215 kwa Bei Nafuu na ubora wa hali ya juu iwe cctv camera motor gates intercom intruder alarm electric fences Tracking devices bila...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Kwa mahitaji yote ya security system usisite Tupigie 0758 476 215 kwa Bei Nafuu na ubora wa hali ya juu iwe cctv camera motor gates intercom intruder alarm electric fences Tracking devices bila...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Habari Wana Jamvi, Naomba Ushauri Kijana Mwenzenu,Mtoto Wenu Juu ya hili Jambo. Kama Kijana Daima Natafuta Njia ya Kunipatia Passive Income Huko Nikitimiza Baadhi ya Vindoto Vyangu Vidogo vidogo...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari! Jamani natafuta mtu anaehitaji kuanzisha kampuni ya ulinzi. Ninayo leseni lakini sina mtaji natafuta mtu mwenye mtaji tufanye partnership Kama umekuwa interested Mawasiliano. 0672650624
1 Reactions
8 Replies
932 Views
Mama yangu kastaafu utumishi.kapewa.mafao milioni 100.anataka ushauri ajenge.nyumba yakupangisha au aweke fixed deposit bank ambayo kwa urahisi itampa kama laki saba kila mwezi. Ushauri please
6 Reactions
95 Replies
8K Views
[emoji736][emoji3493]𝐇𝐄𝐋𝐋𝐎!!![emoji118] 𝐔𝐍𝐀𝐇𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐆𝐎𝐃𝐎𝐑𝐎? 𝐔𝐓𝐀𝐙𝐈𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐓𝐔 𝐁𝐄𝐈 𝐍𝐈 𝐏𝐎𝐀 𝐓𝐔𝐍𝐀𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐈𝐒𝐇𝐈𝐀 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐏𝐎 𝐁𝐔𝐑𝐄𝐄𝐄𝐄𝐄 𝐎𝐅𝐈𝐒𝐈 𝐙𝐄𝐓𝐔 𝐙𝐈𝐏𝐎 𝐃𝐀𝐑 𝐃𝐎𝐃𝐎𝐌𝐀 𝐍𝐀 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 NAMBA ZETU 0657050325 0763542515...
2 Reactions
0 Replies
447 Views
Connecting with new donors is crucial to growing your nonprofit’s supporter base and ultimately raising more for your cause. New donors invigorate your nonprofit with a fresh wave of funding and...
2 Reactions
0 Replies
928 Views
Back
Top Bottom