Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari zenu wotee ? Mwaongwera Mlimola Mwareli Mgonile Kamwene Nzeze Oyo aore Mwarae Sawubona Unjani Moni Mimi Sijambo. Kwa Muda wa miaka kumi na Zaidi nimekua nikijishughulisha na shughuli za...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi karibuni kumekuwa na uhaba wa sarafu ya Dollar Duniani, kitu ambacho kimepeleka pia sarafu za nchi nyingi barani Afrika kuyumba, na vitu kupanda bei bila mpangilio. Kwa sababu mimi pia ni...
5 Reactions
145 Replies
4K Views
Misitu ni eneo la ardhi lilifunukwa na miti. Misitu inatumika kwaajili ya makazi,nishati, chakula, dawa na vipodozi. kwa ujumla misitu inasaidia katika kupunguza, mmonyoko na kutunza na...
0 Reactions
1 Replies
576 Views
Habarini wakuu, Kama kuna mtu ana uelewa na hichi kitu nitaomba msaada. Nahitaji ku register kampuni au biashara. Ila kuna mara ya mwisho nilisajili biashara nilivooenda TRA kwa ajili ya TIN ya...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Habari Wana biashara. Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza, naomba msaada wa kujua hii biashara kwa undani. faida zake hasara zake upatikanaji wa Mali ghafi nk.
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Waziri Mhe. Dkt. Ashatu Aridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa Ofisi ya WMA. Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameridhishwa na Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Wakala wa Vipimo...
1 Reactions
0 Replies
362 Views
Naibu Waziri Kigahe Azitaka Taasisi za Wizara Yake Kupanga Mipango Inayotekelezeka Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb.) ameiagiza Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Habari wakuu. Nimemaliza chuo nimesoma microbiology degree. Kwan sasa nipo mtaani napambana na maisha. Nimekuja na wazo hapa la mikopo mnishauri mnalionaje. Nikiwa chuoni nimeona wanafunzi wengi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wakuu, nina duka langu nimenunua kutoka kwa mtu, huyo mtu aliniuzia kwa kuwa yeye, alishindwa kuliendesha kwa kuwa mauzo yote aliyokuwa anapata alikuwa anatumia kwenye ujenzi wa nyumba yake...
4 Reactions
26 Replies
22K Views
Ndugu zangu nawasalimu kwa jina la serikali ya muungano Tanzania. Nipo kwenye mjadala mzito na mke wangu kuhusu hii mifuko ya UTT. Tumepata pesakiasi Fulani baada ya KULIPWA fidia na Sasa...
5 Reactions
60 Replies
9K Views
Wasalaam Nianze kwa kuwapongeza benki ya KCB kupitia KCB FOUNDATION kuanzisha program ya jiajiri ikiwa na lengo la kumpa ujuzi kijana ambaye hana ajira aweze kujiajiri na kujikwamua kiuchumi...
1 Reactions
1 Replies
507 Views
Tarehe 25 Agosti 2023: Baada ya Benki ya CRDB kufungua tawi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa amewakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya Tanzania kuja kuwekeza kwenye fursa...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Habari zenu wakuu, Nipo wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma nahitaji kufanya biashara ya kuuza mayai jumla na rejareja Kuhusu masoko yapo ila changamoto ni wapi nitapata mzigo kwa bei ya chini kidogo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafadhali naomba msaada wenu wa Mawazo wadau, Ni biashara gani yeyote ya mitaji ya chini ninaweza kufanya ikanipatia faida kuanzia 10k kwa siku? Kwa Mazingira ya Dar Es Salaam
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Habarini wadau. Natafuta basi la kutoka Dar es Salaam to Kampala ambalo lina huduma nzuri Ahsanteni
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi,nimekuja kwenu naomba kujua iko hivi Mimi nina wadogo zangu wa kike wawili na ni mjasiriamali nataka kuwaokoa kwenye ishu ya kuhangaika na ajira nataka niwashilikishe kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST...
12 Reactions
99 Replies
10K Views
Wadau kwema? Ninafikiria kuanzisha biashara ya kucheza mchezo wa Paintball Guns, naomba kufahamishwa wapi naweza kuzinunua pamoja na utaratibu wa kuzimiliki. Asante
2 Reactions
6 Replies
790 Views
Asalam wakuu kwa yoyote anayefahamu mahali au duka naloweza kupata hii box au kama kuna mtu anauza.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama upo Arusha na una wazo la biashara kwa mtaji wa elfu hamsini (50,000) ila huna mtaji niandikie meseji inayoelezea wazo lako kisha tuma kwenda namba 0768174862. Nitatoa mitaji kwa mawazo...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom