Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Haiwekani mimi nimepanga frem labda laki moja kwa mwezi, nakuja kutaka tin namba mnaniambia niletee mkataba wa pango, nikasheleta mnaniambia nilipe 10% ya Kodi niliyolipa kwa mwaka halafu mimi...
11 Reactions
46 Replies
3K Views
Habarini, Leo ndugu yangu kaingia cha kike baada ya kuchelewa basi la Newforce kutoka Dar kwenda Sumbawanga na kupanda basi la Majinjah special. Alikata tiketi ya Newforce siku 2 kabla leo...
0 Reactions
6 Replies
986 Views
Niko morogogoro Bei ni 400000
1 Reactions
0 Replies
156 Views
Hello waungwana, Nipo mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ukiacha ualimu wangu wa Serikalini, hii ndo hobby yangu. Faida ya kuwa master kucha: 1) Uhakika wa kula ni nje nje, kulala njaa utake mwenyewe 2) Uhakika wa constant flow of income ni 100% 3)...
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu, Kwa wafanyabiashara wanaotumia efd machine kuna ulazima wa kutoa Z report kila siku hata kama hujauza kitu kwa siku husika?
2 Reactions
14 Replies
2K Views
EWE ndugu nakuomba Husika na kichwa chahabari hapo juu,lengo na dhumuni nikitaka ujuzi na maarifa mapana juu ya biashara ya VIFAA vya sora na umeme.MAWAZO YAKO NDOKUFANIKIWA KWETU
1 Reactions
5 Replies
329 Views
Unaweza usielewe kichwa ya habari ila maana yangu ilikua ni moja tunapoongelea moyo tunaongelea kile kitu unachopenda, katika vile tuvipendavyo ndio vina fursa nzuri ndani yake. Nimewahi na...
29 Reactions
30 Replies
5K Views
Wanajukwaa na wasalimu kwa jina la Jamhuri Tanzania. Ndugu zangu kiukweli nahitaji mtu ama Taasisi yeyote ya kuweza kunisaidi kumalizia miradi yangu ambayo nimekwisha ianza. 1) Mradi wa kwanza...
11 Reactions
71 Replies
4K Views
Msaada wenu waungwana, nahitaji wazo la biashara yoyote/kitu chochote kitakacho nikiingizia faida kuanzia Tsh. 10,000/= na kuendelea.nikiwa na mtaji wa 1.5m
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana. Kwa mwenye connection na Mtu au Kampuni yoyote inayojishughukisha na ununuzi wa mazao tajwa; Nipo tayari kufanya nao...
1 Reactions
13 Replies
835 Views
Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu (mwalimu), nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili, duka la mahitaji ya...
11 Reactions
62 Replies
7K Views
Wana Jamiiforums sasa ni muda wa kuangalia fulsa vijijini kwenye mazao....ni mkoa gani kuelekea mavuno unaweza ukachukua bidhaa mjini na kwenda kijijini kibiashara ukapata kufanya biashara...
2 Reactions
0 Replies
434 Views
Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa...
4 Reactions
70 Replies
6K Views
Wanaforum naomba kujua kwa yeyote mwenye kujua sehemu wanapouza mayai ya jumla kwa Dar es Salaam. Trey ni sh ngapi na unatakiwa kuchukua trey ngap ili upate kwa bei ya jumla?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Au ni mimi tu na biashara yangu vipi huko wenzangu maana wateja huu mwezi ni wamanati sijawahi experience.
1 Reactions
13 Replies
932 Views
Habari Naomba mwenye uzoefu wa faida ya haya madude, yanalipa pesa nzuri? Nataka niweke kibarazani kwangu Baadhi ya Michango toka kwa Wadau ======= Hayauzwi, ila unaongea na kukubaliana nao...
0 Reactions
25 Replies
20K Views
Mauzo ya Biashara za Mtandaoni yanakadiriwa kufikia Kiasi cha dola za Kimarekani Trilioni 6.3 mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 10.4 ikilinganishwa na mwaka 2022. Ongezeko kubwa zaidi...
0 Reactions
3 Replies
752 Views
Habari Wana jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa Apo ju. Je, Ni kweli Kuna free movement across SADC members. Source: ITV, Katika kipindi Cha dakika...
0 Reactions
2 Replies
329 Views
Wakuu heshima zenu! Bila kupoteza wakati niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada, mimi ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo Mwanga Kilimanjaro, mpango wangu hasa ni...
7 Reactions
157 Replies
28K Views
Back
Top Bottom