Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari naomba mtu anaejua jinsi ya kulipia matangazo instagram ili kuwafikia wateja au wahitaji wa huduma ninazotoa naomba anielekeze vizuri maana sina utaalamu mkubwa kihivo. Mwaka jana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wataalamu wa biashara! Nina wazo la kuanzisha biashara ya vifaa vya umeme pamoja na vyombo vya umeme. Naomba Kwa mtu mwenye uzoefu anipe mwongozo Kwa upande wa faida na changamoto za hii...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, I hope u mzima wa afya unavyopitia thread hii. na kama hauko poa, i pray urudi katika afya yako mapema. To cut the story short, Leo nitaelezea jinsi ya kutangaza biashara yako kwa...
7 Reactions
20 Replies
12K Views
Wakuu heshima yenu Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6, Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku Naona hii faida kama ndogo sana, Vipi wakuu...
9 Reactions
79 Replies
7K Views
Ukisikia kufungua Nchi ndio huku Sasa na Kwa haya yanayotokea Rais Samia Anastahili Tuzo ya Uchumi.. Dr. Samia ni akili. kubwa wengine wamekaririshwa Makaratasi 😁😁. Benki ya CRDB imesema itatoa...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amesema Serikali itaendelea kuvijengea uwezo viwanda vya ndani vinavyozalisha saruji kabla bidhaa hiyo haijaruhusiwa kuwa kati...
0 Reactions
2 Replies
372 Views
Habari za muda huu wananzengo,naomba kufahamishwa biashara ya Chapchap ambayo naweza kuweka pesa chap nikanunua mzigo na kuuza nibaki na faida.mtaji milioni 4.Nakusudia biashara zile za ulanguzi...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari ya muda huu wana jukwaa natumai mmeamka salama, sina mengi ya kuandika, ni kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Naombeni ushauri wakuu nina malengo ya kufungua duka la dawa Dar es salam...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu zangu tunakumbuka kuwa Branch na Tala walikua wakichuana sana na kutupa mikopo ya papo kwa hapo kupitia simu yako ya mkononi. Wapo watu wengi walionufaika sana mikopo hiyo kwa namna tofauti...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Salaam wanaJF, Naomba kuuliza kuhusu aya mawe kama ni madini, ni ya aina gani na yanathamani gani. mimi sio mzoefu wa madini wakuu.
0 Reactions
8 Replies
860 Views
Habari wakuu nina mzigo wa maboga safi ya kienyeji takribani 500 yapo Mtwara Mjini nawakaribisha tufanye biashara tuwasiliane kwa namba 0693391566.
0 Reactions
7 Replies
703 Views
Wadau habari ya wakati huu, naomba kufahamu namna ya kupata TIL ya uwakala wa Tigo, voda, Airtel na Halotel lakini kwa jina la kampuni yangu... Pia nataka kujua commissions za wakala Kama wakala...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Viwango vya ubadilishaji wa fedha za kigeni vina jukumu muhimu katika uchumi wa dunia, na kuathiri biashara na uwekezaji kati ya mataifa. Kiwango cha ubadilishaji kati ya sarafu mbili huonyesha...
1 Reactions
4 Replies
954 Views
Habari zenu, Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu kama kuna mtu mwenye ujuzi namna ya kuingiza pesa basi nahitaji kujua angalau nielewe hii kitu maana nimekuwa nikisikia sijui online...
7 Reactions
112 Replies
7K Views
Wakuu nahitaji mnisaidie experience hasa kwenye biashara ya kuuza mayai ya kuchemsha, nina wazo la biashara hii lakini sijajua changamoto zake na faida zake kiufupi naomba mnipe madini kuhusiana...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Naona mmejitahidi Sana kukwepesha kwepesha UKWERI...... Naomba niwaambie watanzania Wengi hawaoni hayo majengo au Ile halaiki kichwani mwao wakisikia uzinduzi wa ikulu Dodoma....... Hii ndo...
2 Reactions
2 Replies
579 Views
Hello habari zenu, Niko interested na biashara ya Vyuma Chakavu, tafadhari mwenye hints Kuhusu faida na changamoto zake tujuzane..
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari zenu Wakuu nataka kuanzisha biashara ila sina elimu yoyote kuhusiana na namna ya ulipaji wa kodi ya mapato. Kwa wenye uelewa naomba kuelimishwa kuhusiana na ulipaji wa kodi ya mapato...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Mei 22 - 23, 2023. Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
2 Reactions
1 Replies
287 Views
Habari! Mimi ni kijana graduate wa Computer science and technology. Nimespecilize kwenye masuala ya programming hususani Full stack development (Website & App) Na Sasa nafanya Blockchain na data...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom