Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

AdSense is great, and if you want to learn more about it read on. But you should know, I actually make more money with affiliate marketing than AdSense. click here to sign up for my 5-star course...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu, Kumekuwa na threads nyingi sana hapa JF kuhusu uwekezaji kwenye mashamba ya miti kwa ajili ya mbao. Naamini wako wengi waliovutiwa na uwekezaji huu wa muda mrefu ambao...
10 Reactions
144 Replies
30K Views
Habari za muda huu nduguz. Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hizi sigara mpya zimeingia mtaani zinaitwa BLACK DEVIL, hivi ofisi zao kwa hapa Dar, wanapatikana wap?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari JF Nina plan ya kuanzia kampuni ya ujenzi na nimekuja kwenu kuomba ushauri katika hili namna ya ku manage ofisi kama hii. Malengo yangu ni kuanzisha huduma ya Ujenzi wa nyumba. kupaka...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Enyi wafanya biashara wa secondhand | Used | Mtumba Nguo | Viatu | Mikoba/School bags nk. Ni wapi unanunua bidhaa zako kati ya Tanzania | Kenya | Uganda? Sababu zipi zinakushawishi kununua...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu nataka nifungue duka la vifaa vya umeme mbeya chunya, mwenye uzoefu na hii biashara anipe ABC Taa za ndani Flexible wire Switch socket Extension Taa za nje Etc
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Mimi ni kijana mpambanaji niliweza kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza peanut butter ila nilikumbwa na matatizo hivyo biashara ikasimama. Natafuta mtu aliye serious mkoa wa...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wakuu. Kwa wenye windows 10 zisizofanyiwa activation yaani ina bango la windows not genuine. Mwarobain wenu ninao. Nitakuwekea genuine windows 10 product key kwa elf 25 tu. Nakufanyia...
0 Reactions
6 Replies
522 Views
Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili Tukipata vijana 100 wanachama, na kila...
9 Reactions
54 Replies
5K Views
Tazama naja upesi kumlipa kila mmoja sawa na matendo yake.
0 Reactions
3 Replies
266 Views
Ni Duka langu la Nguo. Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya, katika hali isiyo ya kawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya nikiwapigia wateja wangu, huwa Ndani ya Siku mauzo ni karibu 150K...
13 Reactions
112 Replies
5K Views
Wakuu..naomba kujua freight forwarder wa kulete mizigo kutoka Uturuki mpaka Tanzania. Wawe waaminifu na gharama nafuu.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
SIRI ILIYOJIFICHA KWENYE MTANDAO WA EBAY NA JINSI YA KUTUMIA EBAY KUTENGENEZA PESA. Ebay? Ndiyo ni Ebay!!! Natumai umeshawahi kusikia au kukutana na kitu kinaitwa EBAY katika makala hii...
10 Reactions
68 Replies
13K Views
Usafiri wa mabasi kutoka Dsm kwenda Mwanza kumekua na mchuano mkali wa biashara kati ya kampuni mbili Allys star bus, Katarama express wana jamiiF huko kanda ya ziwa kunani?
0 Reactions
7 Replies
767 Views
Pengine ulikuwa unasumbuka namna ya kufungua akaunti yenye uwezo wa kupokea malipo nje ya nchi. Ila leo nmekuja na suluhisho. Hauhitaji kuwa na laini ya kenya au kitu kingine. Cha muhimu ni uwe na...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada wana JF, hivi naweza kubadili dola yenye series 2013, mana nmesikia uwaga zinaexpire.
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Leo naomba kupata maoni Juu ya biashara ya kununua na kuuza Vitu Used vya majumbani mfano Furnitures, Vyombo, TV, Vingamuzi, Fridges, vitanda, magodoro n.k... Kuna watu ambao wanahama mikoa...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetangaza kuanzia leo tarehe 1/5/2023 kuanza zoezi la ufuatiliaji katika Mikoa yote wasafirishaji wa vifurushi/ vipeto kuhakikisha wanatoa risiti za EFD kwa wateja...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
SERIKALI IMETOA UFAFANUZI KUHUSU UNUNUZI WA TANGA CEMENT UNAOFANYWA NA TWIGA CEMENT Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Kila mtu, kikundi au taasisi ni tamanio lake kuona ikikukua kufikia ubora au malengo waliyojiwekea. Namna bora ya kukua ni kutoa huduma au kuuza huduma huku ukiwafikia walengwa katika ubora ule...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Back
Top Bottom