Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tafadhali. Kama unayo Manual Transmission SUV tubadilishane na hii Crown Royal namba 'E' yako iwe alau namba D na hali nzuri. Mine ni full document very fine. Tuchekiane DM. Chuma iko vizuri mno.
3 Reactions
8 Replies
777 Views
Kabla ya kuingia kwenye share, vitu gani lazima vizingatiwe???
1 Reactions
4 Replies
354 Views
Habari wakuu, nawakaribisha katika mfumo huu mpya wa kidigitali kwa ajili ya majaribio *149*46*14# Buree kwa watumiaji wa Vodacom, Tigo na Airtel Nunua Bidhaa kupitia Instagram, Facebook...
2 Reactions
3 Replies
812 Views
Habari zenu wana jamvi! Napenda kuwatangazia kuwa nauza mafuta ya alizeti kwenye ujazo wa lita 20 na lita 5. Mafuta haya yamechujwa vizuri kabisa na ni salama. Bei ya mafuta kwa ujazo wa lita 20...
1 Reactions
5 Replies
705 Views
Habari za leo wakuu: Siku hizi mawakala wapya wa NMB wanasajiliwa bila ya kupewa zile mashine za kutolea risiti badala yake wakala anafanya kupitia simu yake ya mkononi hivyo mteja anaondoka na...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Srinagar (Jammu na Kashmir) Idara mbalimbali ziko bize kujiandaa kwa mkutano wa G20 utakaofanyika Srinagar, huku zingine nyingi zikiwa zimekamilisha maandalizi yao. Pia kuna programu ya ziara ya...
0 Reactions
0 Replies
339 Views
Habari wapendwa, Poleni na majukumu Kuna mwenzangu alifanya maombi ya uwakala wa M-pesa, na hatua zote alishazifanya ikawa katika harakati za kupatiwa till number yule alokuwa anahusika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SEKTA BINAFSI NI NYENZO KATIKA KUIBUA MIPANGO NA FURSA ZA KIFEDHA Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amesema ushiriki wa sekta binafsi chini ya ubia kati ya...
0 Reactions
0 Replies
638 Views
NAIBU WAZIRI VIWANDA - SIDO LWOSAA KUKARABATIWA KWA SHILINGI MILIONI 293.99 Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amesema kuwa zaidi ya Shilingi Milioni 293.99...
0 Reactions
0 Replies
358 Views
Habari za leo Hivi karibuni kumetokea wimbi la uchache wa machine za NMB kwa mawakala hivyo baadhi ya mawakala walilazimika kutumia NMB via Selcom Lakini kutokana na changamoto kati ya NMB na...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Mhe. Khamis Hamza Khamis, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kukuza...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Habari za jioni Wakuu? Leo nimependa kujua biashara ya uuzaji wa kemikali kwa wale wote wanahohusika na hii biashara Naomba mnipe hints kuhusu biashara hii katika kila kitu kuanzia mtaji...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
KUNTI MAJALA AHOJI KWANINI TANGA CEMENT ILAZIMISHWE KUUZWA TWIGA CEMENT Mhe. Kunti Majala, Mbunge wa Viti Maalum tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga...
0 Reactions
3 Replies
664 Views
Mhe. Sylivia Francis Sigula - Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana Mhe. Sylivia Francis Sigula, Mbunge Viti Maalum kupitia kundi la Vijana tarehe 05 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia...
0 Reactions
2 Replies
621 Views
Mhe. Njalu Silanga, Mbunge wa Jimbo la Itilima Mhe. Njalu Silanga, Mbunge wa Jimbo la Itilima tarehe 05 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
MBUNGE MHE. GETERE - TANGA CEMENT INA HIFADHI YA MALIGHAFI YA SARUJI HUKU TWIGA CEMENT WANA MITAMBO MIZURI YA KUZALISHA SARUJI Mbunge wa Jimbo la Bunda Vijijini Mhe. Boniphace Mwita Getere...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
MBUNGE JUDITH KAPINGA ASISITIZA UTARATIBU UFUATWE BAINA YA TWIGA CEMENT NA TANGA CEMENT Mbunge wa Viti Maalmu Vijana Kupitia Kundi la Vijna, Mhe. Judith Kapinga jana tarehe 04 Mei, 2023...
1 Reactions
6 Replies
889 Views
Abdulghafar Idrisa Juma, Mbunge wa Jimbo la Mtoni Mhe. Abdulghafar Idrisa Juma, Mbunge wa Jimbo la Mtoni tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Mhe. Ramadhan Suleiman Rmadhani, Mbunge wa Jimbo la Chakechake "Hadi sasa hakuna ubishi kwamba yapo maamuzi ya Mahakama ya Ushindani wa Kibiashara (FCT) kwenye kuzui mchakato wa Twiga Cement na...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
MIRADI YA KIMKAKATI YA NISHATI KUIMARISHIWA ULINZI Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa wamekutana kwa ajili ya kupanga...
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Back
Top Bottom