Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu, Kama mnavyofahamu matatizo ya umeme yanakwamisha sana shughuli hasa zinazohitaji computers, naomba kuuliza kwa wale wanaozifahamu backups za computer je ni bei gani zinapatikana
1 Reactions
8 Replies
599 Views
Kadili taasisi inavyokuwa ndivyo idadi ya wafadhili inavyoongezeka, kitaalamu tunaita "Increase of Donor Base". Katika hali hii, taasisi inapaswa kuwa na utaratibu wa kuboresha taarifa za...
3 Reactions
0 Replies
984 Views
Ukiwa Shule uliwacheka sana walimu juu ya mavazi yao. Uliona habadilishi viatu na nguo zinahesabika. Haya tuambie baada ya life la kitaa umeonaje uhalisia wa maisha ya kujitegemea na kulea...
2 Reactions
8 Replies
667 Views
Nimekuwa na wazo sasa la kufanya biashara online. Naomba kwa wale wenye uzoefu wa biashara hii faida, changamoto na mbinu. Karibuni
0 Reactions
3 Replies
504 Views
MBUNGE NDAISABA ASHIRKI HAFLA YA MIAKA 10 YA CRDB KUTOA HUDUMA ZA KIBENKI KUPITIA MAWAKALA Mbunge wa Jimbo la Ngara Ndaisaba George Ruhoro tarehe 08 Mei, 2023 alishiriki Hafla ya kuadhimisha...
0 Reactions
1 Replies
448 Views
Salamu Wakuu wa Jukwaa. Mimi ni moja ya wafanyakazi katika Taasisi wilaya Ya Ngorongoro Mkoani Arusha, mahala nilipo ajiriwa ni karibu sana na Kenya almost kilomita 20 kuingia nchi Jirani. Huku...
21 Reactions
43 Replies
9K Views
Wakuu wajasiliamali mambo ni vipi? Tukiendelea na hustles za kila siku leo nmekuja na hii.,, Nimebahatika kupata printer mpya kabisaa buree brand ni EPSON L850 ina uwezo wa kuprint coloured...
2 Reactions
26 Replies
10K Views
Mnamo Mei 11 hadi 12, Google ilizindua rasmi Android 13, mfumo wa uendeshaji wa kizazi kipya. Kama mwanzilishi wa kimataifa katika teknolojia ya elektroniki, kampuni ya simu ya TECNO ilikuwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, nimepitia pitia mitandao ya huko kwa wenzetu nimeona kwamba huwa kuna unga ama vimiminika vinarejesha rangi za nguo zilizopauka rangi. Kwa hapa kwetu nimeona nguo hasa hizi za...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mie ninafanya biashara za sendol za kimasai, ila sipati kazi nyingi kama zamani na maisha haya naonelea huu muda napoteza Bora nifanye vyote yaani ni ajiriwe huku nikiendela na biashara ya...
4 Reactions
18 Replies
719 Views
Katika uchenjuaji wa makinikia yenye dhahabu wawekezaji wengi hulia kwa kuwekeza fedha nyingi na kupata faida kidogo au hasara. changamoto hii hutokana na uzembe wa mtalaam mwenye dhamana ya...
1 Reactions
2 Replies
951 Views
Habari Wapendwa, Natafuta chimbo la mafuta ya samaki au mafuta ya pamba anajua tafadhari nijuze.
1 Reactions
3 Replies
972 Views
Wadau tufahamishane kuhusu gharama za mashine mpya ya KUKAMUA ALIZETI . Na wenye UZOEFU mtuambie CHANGAMOTO ZAKE
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Unajua moja ya mambo yananikera kwa muda mtefu ni tabia za MADALALI sio kuuza vitu bei juu hapana nikuchelewesha BIASHARA kwasasa mimi natafuta gari IST au Vitz bajeti 6mil. Lakini nakutana na...
7 Reactions
46 Replies
6K Views
Habari, Hill Medical Equipment ni kampuni inayo jihusisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa tiba(medical equipment) katika mikoa yote ndani ya tanzania. Pia hill medical equipment tunauza vifaa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama heading inavyosomeka, nahitaji kisimbuzi cha azam cha dishi, sio lazima kiwe complete na dishi kwani naweza nikaunga kwa kutumia dishi lolote nililo nalo. Zingatia: Kisiwe yale matolea ya...
0 Reactions
3 Replies
560 Views
Habarini za muda huu wana jukwaa, nauza iphone 7 plain kwa bei ambayo ipo in mint(excellent) conditions kabsa na ina sifa zifuatazo: Iphone 7 plain 32 Gb Ram 4 Battery 100% 280k price...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Habari wana JamiiForums, mimi ni kijana wa kitanzania ninahitaji msaada wa namna gani ninaweza kupata mfadhili au wafadhili wa miradi (project) kutoka ndani au nje ya nchi kwa yeyote. Anayefahamu...
1 Reactions
16 Replies
12K Views
Mimi nimuajiriwa wa Kijijini chenye idada ya Watu 2300 ,shughuli zao kubwa ni kilimo cha mahindi Kwa Sana maharage Na Mpunga kidogo ,zao la mkonge limetawala baadhi wazee wanapga pesa za mkonge...
3 Reactions
13 Replies
650 Views
1. Biashara ya kuuza vocha za simu; 2. Biashara ya vibanda vya kupiga simu; 3. Biashara kutembea na Camera kupiga picha; 4. Biashara ya Disco vumbi; 5. Biashara ya Kuonesha Video (VHS); 6. Kusoma...
11 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom