Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Baada ya muda kidogo kufuatilia vifo vinavyotokana na biashara hizi mbili nimegundua kuwa utofauti uliopo baina ya biashara hizi ni kwamba Betting haiitaji mtaji mkubwa wa kifedha bali inahitaji...
6 Reactions
22 Replies
6K Views
Habari wakuu, Najaribu kutafuta biashara salama ya kufanya ambayo itanipa Mzunguko Mzuri. Nimefikiria kuhusu biashara ya used simu kutoka Dubai / Europe , changamoto ni sina experience na sijui...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya Forex kupata reputation mbaya hapa Bongo hasa baada ya makanjanja kuiharibu, sasa nadhani ni mwakati tuwasikilize waliofanikiwa kupitia Forex, huenda tukapata mawili matatu ya maana...
0 Reactions
51 Replies
13K Views
Jamani habarini humu. Kwa yeyote anaefanya biashara uganda na Tanzania kuna mambo nahitaji msaada kidogo comment hapo then nitakuchek pm
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Fred Vunjabei ameamua kuweka duka lake Zanzibar kuwapa ahueni ya kununua vitu kwa bei ya juu. Kabla hata hajaanza kazi keshaanza kupata mizengwe na Manispaa ya Mjini Zanzibar. Ngazi za...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Wazee kama mada inavyojieleza, hapa nina kiasi taslim 150k ila nina uhitaji wa 250k, Je, ninaweza kufanya nini ili kiasi hiki kitimie ndani ya muda mfupi? Nipo mkoa wa Manyara. NB; Sitaki habari...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
MUSOMA VIJIJINI - VIJIJI VYETU VYOTE 68 VINA MIRADI YA MAJI SAFI NA SALAMA Miradi hiyo ya maji iko kwenye hatua mbalimbali kama ifuatavyo: *Vijiji 2 vinatumia maji ya visima virefu *Vijiji 32...
0 Reactions
1 Replies
496 Views
Habari Wakuu, Bila shaka Mungu ametupa uzima hivyo hatuna budi kumshukuru..! Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la kuanzisha uzi huu...... Naomba wajuvi, wenyeji na hata wafanya biashara...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau mimi ni mchimbaji mdogo kutoka Kanda ya ziwa pia nafanya biashara, mwaka 2021 nilitembelea chunya, tunduru na mbinga katika harakat I za kazi yangu kabla ya kurudi mwanza kwa masuala ya...
2 Reactions
1 Replies
485 Views
Wakuu habari, Nisaidien kitu Hapa hivi kwa mtaji wa million moja nawezafanya biashara ipi wakuu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BOOKKEEPING TERMS. Tumesema bookkeeping sio kwaajili ya wafanya biashara tu, hata mtu binafsi anaweza kuweka rekodi zake kutokana na shughuli zake za kila siku. Sasa kuna maneno madogo dogo ya...
16 Reactions
20 Replies
7K Views
Je, ungepata pesa kama hizi za Laizer ungezifanyia nini?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habar wana jf nna wazo la biashara ila sina mtaji[emoji27] wazo langu ni kufungua pharmaceutical industry or cosmetic industry tz hivyo mtu yeyte ambayo yupo stable financial anahitaji kuivest aje...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Nawa salimu kwa jina la M/Mungu. Niko na wazo la muda mrefu, nataka nianze Biashara ya uunganishaji (Assembly Business) kwa Bidhaa mbalimbali. Changamoto yangu Ni: 1. Nitumie njia gani ili...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Hongereni kwa kazi. Kumekuwa na nyuzi nyingi za maulizo na nyingine za kuhamasishana juu ya biashara na njia anuai za kuingiza kipato. Uwepo wa jambo hill unaashiria kiu lakini namba ya kuikidhi...
3 Reactions
3 Replies
383 Views
Habari wanajukwaa.... karibu uchangie hii mada kwa leo inakujia mara moja kwa week. #FUNGUKA. .......
6 Reactions
70 Replies
2K Views
Anatafutwa wakala wa Dubwi au slot machine mwenye biashara maeneo yoyote ya kigamboni. Commision ni 20% ya token za kila mzunguko. Kwa maelezo zaidi nicheki 0654867115
1 Reactions
0 Replies
668 Views
Wakuu habari zenu... Natamani kujua kuhusu hii biashara ya kutengeneza na kuuza mvinyo wa zabibu... Mtaji Vifaa Upatikanaji wa mazao Jinsi ya kutengeneza Kuhifadhi Soko lake... Karibuni kwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari za wakati huu; Leo nataka nilete darasa fupi la jinsi ya kutengeneza website (Tovuti ) kwa ajili ya biashara yako kwa gharama nafuu kabisa.Nitaanza kwa kuelezea kidgo tovuti ni nini na...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Ukiwa masikini! Hakuna mtu anataka kujua chanzo cha umasikini wako, ila ukiwa na hela, watakuuliza umepata wapi. Kuna mwaka flani nilifungua ka-biashara, nikiwa na kamtaji Tsh milioni 2,800,000/=...
4 Reactions
9 Replies
821 Views
Back
Top Bottom