Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za wakati huu wanaJF hususani hili jukwaa la biashara na uchumi. Mimi naitwa Egtone Emily (25yrs) mhitimu wa chuo kikuu cha Dodoma (shahada ya sheria). Nahitaji kuanzisha biashara ya...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari ya Wakati huu.. Kiwanda Cha kutengeneza Kalamu za wino (Pen) hapa Tanzania. Naomba kufahamishwa wapi kilipo Kiwanda Cha kutengeneza Kalamu za wiko/peni hapa Tanzania. Nataka kuanza...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Je, unatatizika kuungana na watazamaji wako na kujenga chapa yako? Je, unataka kujitokeza katika soko lenye watu wengi na kuwahamasisha watu kununua kutoka kwako? Usiangalie zaidi ya uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Nimehudhuria mihadhara mingi sana ya Biashara na Ujasiriamali kwa miaka 3 sasa. Na katika mihadhara hii nimekutana na speakers wazuri lakini wanastories mbaya. Baadhi yao wanastories nzuri...
4 Reactions
3 Replies
552 Views
Habari JF Mimi kama mwanafunzi wa chuo kikuu, leo hii nimeamua kuwasaidia wanafunzi wenzangu kwa kuwapa mpango mzuri wa biashara. Usishangae sana, uzuri? Wa mpango huu wa biashara unaweza kuanza...
1 Reactions
11 Replies
762 Views
MHE. KIKWETE AELEKEZA WARATIBU WA TASAF KATIKA HALMASHAURI KUPATIWA ELIMU YA KUWAHUDUMIA WALENGWA KWA UPENDO. Lengo la kuanzishwa kwa TASAF ni kuwawezesha watu wasiojiweza kabisa kiuchumi...
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Wakuu habari zenu Samahanini poleni na kazi naomba mnijulishe kuhusu soko la zao la karafuu Soko lake la uhakika ni wapi na huwa wanatengenezea Nini in common 🙏🙏🙏🙏 karibuni
0 Reactions
1 Replies
590 Views
Kuna jamaa yangu mmoja kanipigia simu asubuhi ya leo akiwa Mwanza akinitaka nijiunge na hili shirika kwa ahadi ya kunufaika kiuchumi baada ya kushiriki mafunzo yao na kutoa kiingilio cha Tz shs...
0 Reactions
5 Replies
470 Views
Ukiangalia katika ubunifu na technologia bado tuko nyuma sana. Kifupi tunamatatizo mengi kuliko majibu (ufumbuzi) Parachichi tulikua tunalima miaka yote mi tangu mtoto!!!..lakini bado tumelala
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwema! Sitemi cheche nyingi wala, ukiachilia mbali vigezo vingine vya kufanya biashara kama bidhaa nzuri, customer care etc, ila uchawi nambari one ni LOCATION Pekee. (Physics inasema Location...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari za majukumu vijana wenzangu? Nimekuwa na interest ya kufanya biashara ya spices katika masoko ya nje na sasa naona ni wakati Wa kuanza kuitendea kazi interest yangu, maana ni biashara...
4 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari, Kumekuwa na taarifa nyiiiiiingi kutoka serikalini kuwa wajasiriamali wanapata mikopo kutoka benki mbalimbali ikiwemo TADB, mimi nakataa taarifa hizi kwa 100%. Nimeona wanaopata mikopo...
2 Reactions
2 Replies
806 Views
MHE. ZAYTUN SWAI AMUOMBA RAIS SAMIA MASHAMBA YAFUFULIWE ILI KUINUA UCHUMI WA ARUSHA Mbunge wa Viti Maalum CCM - Arusha na Mjumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge Mhe. Zaytun Swai amemuomba...
1 Reactions
2 Replies
569 Views
Mambo mawili yanaua biashara mikoani na kukuz biashara Dar. 1. Mitandao ya kijamii. 2. Urahisishaji wa kusafirisha bidhaa. 1. Mitandao ya kijamii imerahisisha sana mawasiliano ya muuzaji na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimewaza biashara ya kufanya nikapata wazo la kununua pool table mbili ambazo nitaziweka sehemu mbili tofauti. Mwenye kujua bei ya pull table nzuri na imara anijuze na pia mwenye kuijua biashara...
1 Reactions
35 Replies
36K Views
TANESCO YAPONGEZWA KWA KUZALISHA, KUSAFIRISHA NA KUSAMBAZA UMEME NCHINI. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepongeza uongozi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kwa jitihada zake...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Habari wakuu, Kwa yeyote anayeuza rim paper kwa bei ya jumla anicheki pm nahitaji pic 80, kwa matumizi ya stationary
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Mtanzania mwana JF, Makadiro ya Kodi ni Kwa kila mlipa kodi. Huwa yanafanyika muda wowote kuanzia tarehe 1,January hadi tarehe 31,March kila mwaka Kwa Yeyote atakae chelewa kufanya...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za muda huu Wana jamii forums, Naomba kuuliza kuhusu biashara ya uuzaji wa nguo za watoto za mitumba kuwa inalipa? Na vipi kuhusu changamoto zake? Na je,hii biashara inaendeshwa vipi...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Samahani wakuu, ninamtaji wa milion 10 nipo Njombe, naomba ushauri nifanye biashara gani ya mazao? Nina interest na biashara za mazao.
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom