Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za usiku wanajamvi. Kwanza nikiri kuwa nilifanya uzembe Kwa kuleta ujamaa kwenye biashara. Nashughurika na Mambo ya Logistics sasa last year kuna jamaa yangu mmoja alifungua kampuni ya...
17 Reactions
42 Replies
2K Views
Habarini wadau, Samahani nilikuwa naomba kujua jinsi ya kuwa wakala wa rangi za majumbani, je ni vigezo gani mtu anatakiwa kuwa navyo, na kiasi gani mtu anatakiwa kuwa nayo ili awe wakala wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa kueleweshwa maana TRA hawajanielewesha Kila nilipohitaji. Juzi nilifika Ofisi za TRA kwa ajili ya kufanyiwa makadirio ya kodi. Nikakutana na ofisa pale nikazungumza nae na...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Njoo uchukue share kwenye jukwaa langu TangaTalk kwa Tsh 20,000 ni 50% njoo dm
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana JF, Nataka kufahamu process zote za kusajili kikundi cha kikoba, kitu gani kinahitajika na wapi pakuanzia. Mwenye uzoefu naomba anifafanulie hatua zote
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz. Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
1 Reactions
56 Replies
7K Views
SHANTA GOLD MINE KUANZA KUMIMINA DHAHABU KUINEEMESHA IKUNGI, MBUNGE MTATURU AFUNGUKA SHANTA gold mine sasa Kumimina Dhahabu kuineemesha Ikungi. Ni baada ya Kusimama kwa muda mrefu takribani miaka...
0 Reactions
6 Replies
783 Views
Mkuu kwema? Pole na uchovu wa safari ya kuperuzi JF. Boss, ebu tuongee kidogo kuhusu hii mitandao ya kijamii mpaka leo imekusaidia chochote ? Au unaonaga mauzauza tu 😅? Graduate uliyehitimu...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kuna huu mfuko unaotarajia kuanza hivi karibuni Faida Fund ambao ni kama UTT, mwenye taarifa zaidi atujukishe kuhusu huu mfuko Faida Fund. Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wakuu Kuna mteja yuko nigeria Nawezaje kupokea pesa kwa njia nafuu toka huko hadi hapa Tanzania?
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Salaam ndugu, Mimi ninayo TIGER EYE,SUGILITE,PYRITE,CHRYSOCOLLA,QUARTZ,LAPIS LAZULI AND CARNELIAN.Mwenye kufahamu soko au kununua madini hayo.Tuwasiliane.NB:Kama kuna mwenye taarifa za bei zake na...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Ndg ZANGU kwayeyote anaetumia mtandao wa AliExpress naomba kujulishwa namna ya kufanya malipo Kwa bidhaa itayofanyiwa order wao wanaelekeza nifanye Kwa card nami sinakadi ndio maana nauliza kama...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau habari zenu very soon nitafungua mgodi wa sunstone naomba sana support ya mawazo kwa wazoefu/ wanaofahamu kwa kina kazi hii inavyokwenda. Asanteni Sana.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello bra and Sist. Naomba msaada wa kuanzisha shule (Sekondari ya kisasa ) yenye madarasa manne na ofisi mbili za walimu. Shule hiyo iwe katika mazingira ya Dar es salaam. pia na njia ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafuta mtu anaetoa mikopo..nina shida na mkopo wa laki tano nipo tayari kulipa riba 30% Tutaandikishana na utakuja mpaka napoishi kwenye makazi yangu. 0692407964..nipo tayari hata leo
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini? 1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Kampuni ya Greenchain ya Shanghai, nchini China itatembelea Tanzania mwezi Machi 2023 kwa ajili ya kukutana na wazalishaji wa Pilipili aina ya Tajin (Sweet And chili pepper au kitaalamu Capsicum...
2 Reactions
3 Replies
970 Views
Habari, Nahitaji kupambana na utafutaji wa maisha kinamna nyingine hii biashara ya kutegemea kitu kimoja kama chanzo cha mapato naona inafanya maisha yawe magumu na nafuu kwa muda.kwa sasa...
7 Reactions
20 Replies
6K Views
Ukumbi mpya wa KIMATAIFA Upo Masaki Dar wa mikutano na matamasha unaitwa The super dome una kila kitu ndani yake Fixed sound system LED Screen Stage Fixed Lights Fixed Camera Tables and...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi everyone. I believe everyone has those good business ideas worth millions of money and hoping to practice on them one day. Unlike the capital, potential market is the one factor that can...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom