Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hujawai kuchunguza bidhaa nyingi zinazotoka nje na ndani kuona nembo halal. Nembo halal inayobandikwa kwenye bidhaa kama vyakula ikiwa imeambatana na nembo za idara nyengine mfano TBS, ISO, tunza...
0 Reactions
3 Replies
761 Views
Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu, nipo DAR ES SALAAM. Nahitaji kuanzisha biashara, nina mtaji kiasi cha 1,000,000. Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye, lengo kwa siku nipate faida...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Steji ya kutengeneza bidhaa inayoweza kuchukua mda mrefu inataka mtaji na sio njaa kama hizi za kutengeneza kemikali moja pombe tofauti na madawa tofauti. Kuna makala nilipata kuangalia jinsi ya...
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Naomba mwenye uelewa wa kufungua kiwanda cha mikate garama na vifaa vyake vyote vinavyo hitajika anipe ABC
2 Reactions
28 Replies
13K Views
Nimekua nikipata maoni ya watu mbalimbali kua ukianza biashara iwe kubwa au ndogo bila kwenda kwa babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio. Naombeni maoni yenu wana JF maana tupo na...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wakuu? Mimi nipo mkoani Mtwara, nimefikiria kuanza biashara ya bucha ya mbuzi, changamoto ni upatikanaji wake! Na utaratibu wa kuanza hii biashara upoje! Naomba kwa mwenye uzoefu...
0 Reactions
6 Replies
987 Views
Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank Pic (ACB) inapenda kutangaza uteuzi wa Mwenyekiti wake mpya, Bi. Catherine N. Kimaryo. Bi Kimaryo ni kiongozi mahiri, mwenye weledi na mbobezi katika...
1 Reactions
2 Replies
503 Views
Habari wapambanaji... Katika harakati zangu za kuufukuza kabisa umaskini nimeweza kuwekeza kwenye duka la nguo za kiume hapa DODDMA, linaitwa Mserereko Outfits. Bei zangu ni sawa na hamna. Nipo...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Wanajamii naombeni mnisaidie taratibu na kanuni za kuzifata ili kupata authorization za kuwa wakala wa bank tajwa hapo juu. Nisaidieni tafadhali.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kutokana na maendeleo ya sayansi ya teknolojia na maendeleo ya kidigitali imekuja mitandao ya kijamii ambayo imeambatana na mambo mengi ikiwemo mawasiliano, burudani, sehemu ya kutunza kumbukumbu...
0 Reactions
5 Replies
600 Views
Salam kwenu wakuu, Kuna jamaa yangu anataka kufungua photo studio. Frame tayari anayo kinachohitajika ni mashine ya kusafisha picha za passport, picha kubwa saizi kuanzia 4*6 na kuendelea...
0 Reactions
22 Replies
18K Views
Poleni na pilika za kutwa na hongeren pia kwa ibada Mchango wangu ni mdogo sana Ila unaweza kukusaidia 1:kama unataka kufungua duka tafuta eneo lililochangamka lenye movement ya watu kwa...
18 Reactions
35 Replies
3K Views
Siku kadhaa zilizopita naibu waziri wa kilimo Anthony Mavunde katika mkutano na wahariri jijini Dodoma uliolenga kutekeleza ushiriki wa vijana katika kilimo cha biashara program itakayo ongeza...
10 Reactions
95 Replies
7K Views
Salaam, Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu...
26 Reactions
47 Replies
3K Views
Wasalaam, Ukifanya kauchunguzi kadogo kwa familia nyingi zenye uchumi imara (achana na accidental millionaires), utagundua kuwa ni mipira ya mbali iliyopigwa au kuchezwa na watangulizi wa familia...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Wadau nina ela za kigeni za Norway na Korea nimezunguka mabank mengi wanasema hawafanyi Exchange. Ni wapi naweza zibadili. Natanguliza shukrani
0 Reactions
9 Replies
765 Views
. .
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Habari za usiku ndugu? Natumai mu wazima wa afya. Nimekuwa nikiwaza namna nzuri ya kuwekeza pesa yangu niliyoipata hivi karibuni, 3m. Nikataka kuiweka katika fixed account lakini kila nikiwaza...
2 Reactions
8 Replies
608 Views
Nataka nihame kutoka Mbeya kwenda Dar es Salaam ila nina chombo cha moto (bajaji) nataka nihame nayo. Hivyo naombeni taratibu za kufuata ili niweze kuhama nayo na kuifanyia kazi nitakapo fika...
2 Reactions
3 Replies
855 Views
Tokea kipindi cha nyerere serikali ilipenda kuwa mtu mkubwa wa kufanya biashara ila mwisho wa siku vimekufa na vengine kutoweka. Jambo ambalo bado tuna rudia bila kukoma ni ili *Shirika la...
1 Reactions
4 Replies
296 Views
Back
Top Bottom