Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Forex inakupa matumaini sana lakini ukweli ni kua haiwez kukutoa utaendelea kupoteza hela kisa kuangaika na signals! Unaweza jiona unaweza kwenye demo acc Ukiingiza hela ndo utajua! Kuna namna...
12 Reactions
120 Replies
16K Views
Habari wakuu? Natumaini mko poa!, Mimi ni kijana naishi kijijini baada ya mipango ya kazi kubuma. Kijiji ninachoishi zamani tulikuwa tunalima na kufanya ufugaji ila miaka miwili iliyopita shuhuli...
0 Reactions
9 Replies
762 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana ninayesaka fursa kutoka mkoa wowote ule ili mkono uende kinywani. Nimekuja kwenu leo kuuliza fursa zinazopatikana Mbeya ili niweze...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ukiwa kkoo kama una kichwa kinafanya kazi haraka haraka utagundua BIDHAA nyingi sana hasa viatu,nguo, jersey za mpira n.k zinauitaji mkubwa sana kwenye mataifa tajwa hapo juu. Kam kweli mtu...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Katika hotuba nimesikia kuanzishwa kwa kodi ya malori. Nijuavyo mimi wenye malori wanalipa kodi kama wamiliki maana ukaguzi wa risiti za usafirishaji unafanyika mbele ya macho yetu. Sasa hii kodi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina mpango wa kufanya biashara ya m-pesa, halopesa na tigopesa. Naomba mnieleweshe kuhusu biashara hii kwa kuwa mimi sijajua ni wapi pa kuanzia. Mliowahi kufanya kufanya shughuli hii naomba...
0 Reactions
1 Replies
617 Views
Wakuu kwa anayejua kampuni ya kuprint jarida la page 20 ukubwa wa A4 naomba mawasiliano au gharama harisi
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba kujua kama CRDB Bank wamesitisha kutoa mikopo ya watumishi na Biashara kwani nimeomba mkopo wa watumishi wiki ya tatu sasa bado hawajaingiza hela mpaka sasa wananipa story tu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Napenda kufungua center itakayokuwa inatoa mafunzo ya computer kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato Cha nne pamoja na wadau wengine Naomba mwongozo wenu juu ya wazo hili au anaejua...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari za leo wakuu! Asee kama kuna mtu anayefahamu wapi vifaa vizuri kwaajili ya uchoraji Tattoo hupatikana? Pia kwa yeyote mwenye uelewa wowote ata uzoefu wa biashara hii naomba anisaidie ABC...
1 Reactions
2 Replies
583 Views
Wakuu salamu Naomba kufahamishwa jinsi ya kutoa hela iliyopo kwenye cryptocurrency kuja kwenye Tsh kwa njia ya mitandao ya simu kama Voda, Airtel,Tigo nk Pili,naomba kujulishwa jinsi ya kutumia...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari wakuu Maisha kwa sasa yanaenda kasi sana, Sisi vijana katika harakati za kutafuta pesa tunakutana na changamoto nyingi sana ,sasa kuna hii njia inaitwa "kupiga hela online ,ukiwa na simu...
20 Reactions
179 Replies
26K Views
Kwa wale walioko kwenye soko la kuuza used computers na spare part au accessory zake na wanatafuta soko la kununua vifaa hivi kwa bei poa ya jumla karibuni UAE, soko linajitosheleza kabisa...
1 Reactions
5 Replies
966 Views
Naulizia maeneo ya kufanyia biashara ya bucha ambayo kuna mzunguko mkubwa wa watu na uwezekano wa kupata wateja wengi pamoja makadirio ya kodi ya fremu. Niko eneo la daressalaam
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Degree mwaka wa kwanza chuo kikuu cha Ushirika Moshi. Ni mnufaika wa mkopo kutoka Board ya mikopo lakini nalipiwa laki 4 tyuu kwenye ada ya masomo ambayo jumla ni Milioni 1...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kawaida binadamu hatuchoki kutafuta, ila baada ya kuwaza walau angalau niweze kupata kipato cha elfu 15 kwa siku namaanisha 450K kwa mwezi nkaamua niingie kwenye ufugaji wa kuku... Natamani...
4 Reactions
2 Replies
932 Views
Dollar ya Marekani inazidi kuimarika. Shilingi ya Tanzania inazidi kudhoofika. Tangu robo ya kwanza ya mwaka, Dollar moja imekuwa ni sawa na shilingi 2310 kwa mujibu wa BoT. Robo ya pili...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
KILA MWENYE NAMBA YA NIDA KUANZA KULIPA KODI SERIKALI ya Tanzania, inapanga kutoa namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN), kwa kila mwananchi mwenye namba ya utambulisho wa taifa (NIDA), ili...
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Naomba kujuzwa kuhusiana na survey app zinazo lipa vizuri bila kubabaisha.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari.. Mimi ni kijana ninafanya kazi kwa shirika Mkataba wangu unatarajia kuisha mwaka huu mwezi wa 12. Naombeni Wanajf tuambizane biashara ipi kwa kijana anaweza kufanya na kuingiza Faida...
1 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom