Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari mdau! Nina Tamani sana kuwekeza Zanzibar. Nahitaji mawazo na ushauri kwa waoifaham vizuri. Pros and Cons Upatikanaji ardhi(beach Au inland) Service Demands Challenges. Nitashukuru sana.
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Mapolisi wasio na weledi wakiamua kuingia kwenye biashara zako huwa ni wakorofi sana na ni hatari sana. Je uliwahi kukutana na usumbufu wao kwenye biashara yako. Kuna muuza laptops flani...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Natumaini mnaendelea vema katika harakati za kuusaka mkate wa kila siku. Nimekuja hapa nahitaji msaada, kuna malipo natakiwa kupokea, lakini njia nilizokuwa natumia kupokea fedha kutoka kwa watu...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Wakuu habari. Rejea kichwa cha uzi. Ninataka kujua nini kilisababisha hawa giant kufa kifo cha mende. Nini shida na walikuwa na prospect kubwa sana ya kugrow. Na nataka kujua zile pos machine...
5 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wakuu, habari za kushinda? Poleni na majukumu. Siku ya leo nimeona post ya bbcswahil kuhusiana na almasi ya ajabu iitwayo enigma. Sasa nina jiwe kama hilo niliokota miaka 7 iliyopita...
0 Reactions
5 Replies
522 Views
Mtaji Tsh 700,000 unatengeneza mikokoteni 10 kila mmoja kwa Tsh 50,000 jumla mikokoteni 10 Tsh 500,000 unatafuta vijana 10 unawapa mikokoteni na kila mmoja mtaji wa miwa wa Tsh 20,000 jumla kwa...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari Ngudu Wanajamii naomba kusaidiwa kwa yeyote mwenye uzoefu, Je! ni vitu gani vya mhimu kujiridhisha navyo kabla ya kufanya maamuzi ya kununua kiwanja au plot hasa vya makazi au biashara .
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman habari za asubuh,nahitaji msaada wenu wa mawazo nimekosea kutoa pesa kwa wakala nikawapigia voda baada ya maongezi wakanambia ile ela imetolewa kwny namba ya huyo wakala niliokosea kwa...
0 Reactions
2 Replies
509 Views
Habari, naomba niende kwenye mada. Nimefanikisha kutengeneza mfumo(system) wa uwekezaji ambapo watu wanakua wanawekeza pesa(kama hisa). Ni mahsusi kwa mtu Alie nabiashara tayari na anahitaji...
1 Reactions
2 Replies
721 Views
Ni kweli au nimeelewa vibaya
1 Reactions
5 Replies
573 Views
Habari wana Jamii forums Kwenye maisha tunapitia changamoto nyingi ambazo kuna kuanguka na kukosa wa kukushika mkono, wa kukufariji hata wa kuona thamani yako hata kidogo. Unakumbuka wakati...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Habarini wakubwa Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu Mimi ni kijana wana miaka 23...nina mtaji wa milion 2 Wakubwa naomba mnishauri naweza kufanya biashara ya aina gan ...
3 Reactions
7 Replies
11K Views
Closed
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Salam Salam wapigania Uchumi. Nina Toyota hiace(dungu) ipo Tanga mjini. Nafikiria niisajili ifanye moja Kati ya kazi (routes) zifuatazo; 1. Kufanya town route(daladala) 2. Kufanya routes za nje...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa budget ndogo ya kuweza kuanzisha biashara ya kutengeneza pikipiki kuanzia Bei ya vifaa, vipuli na kadharika
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hao jamaa wa AHJ nikaona offer zao sio mbaya sana, sasa wadau wa kuagiza magari, naomba 123 kuhusu huu mtandao.
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Nilihamisha mshahara kutoka NMB kwenda CRDB, tatizo wakati nahamisha nilikuwa nadaiwa salary advance. Baada ya kuchelewa kulipa Kwa muda wa wiki moja nikawekwa kwenye blacklist. Wazoefu natoka...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Ndugu zangu mie ni ni mfanyakazi kama siyo kibarua, nalipwa 500,000 kwa mwezi lakini kila nikijitahidi kupanga bajeti nashindwa. Najikuta nikipewa mshahara tarehe 24 kufika tarehe 10 ya mwezi...
10 Reactions
73 Replies
32K Views
Habari wadau anahitajika mtu alaiyemaliza civil engineering Haijalishi uzoefu awe mkazi wa arusha Mawasiliano 0622115570 or 0712206032
0 Reactions
1 Replies
536 Views
Tunakubaliana kuwa watu weng baada ya corona wamejua thaman ya kula kwa afya ikiambatana na kula zaid vyakula vya asili vyenye virutubisho muhim na kwa wingi. Sasa mimi nina ndoto ya kufunga...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom