Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari za jioni unaesoma thread hii, kuna mtu alini invite Tala foundation nikakubali na kuangalia kuhusu wao na nikaona kwamba wanatoa mikopo ya chapchap.... Basi nikajaribu kuwasiliana nao kwa...
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Hbarini wafanyabiashara. Binafsi ni kijana nimeingia 31, ni muajiriwa seikalini shirika flani, Nilikuwa navutiwa sana na ujasriamali hivyo na mimi nikaona nisijivunge. Nikaona nifungue...
8 Reactions
132 Replies
16K Views
Jamaa yangu ana kiasi Cha Tzs 18m. Anataka kufanya biashara ya online tv, nimemwambia aachane nayo, afanye biashara ya saloon ya like na kiume. He ungekuwa wewe ungemshauri kitu gani
4 Reactions
12 Replies
959 Views
Mnamo mwaka 2019 Tanzania ilifanya marekebisho ya sheria yake ya Makampuni ya mwaka 2002 na kuleta mambo kadhaa mapya. Marekebisho hayo yaliletwa na sheria ya “The written laws (Miscellaneous...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kuna jamaa yangu amekaa sana nje, shughuli aliyokuwa anafanya huko nje ni ya clearing and forwarding, Ila kutokana na huu ugonjwa shughuli zimepoa sana. Anategemea kurudi nchini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Je kuuza kipande kimoja Cha sabuni nitoe risiti na mnunuI adai risiti?
0 Reactions
7 Replies
704 Views
Naomba mwenye uelewa anisaidie nataka kuanzisha biashara km ilivyoelezw hapo juu je n hatua gn z kufata? Je changamoto zkoje? Na faida zkoje? Kwa maana comission zkoje?
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu mimi ni fundi simu katika kuimarisha huduma nazotoa nimeamua kununua ultrasonic cleaner kwa ajili ya kusafisha saketi zilizoingia maji nilikua naombaa msaada wa zile liquid za kusafishia na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa sasa karibia kila kitu kimepanda bei hadi soda na hakuna matarajio ya bei kushuka. Chanzo cha hali hii ni nini? Wanasiasa mbona wako kimya siyo CCM wala Chadema hakuna anayehoji, kulikoni...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello guys! naomba anaejua anijuze. Nina project nime develop nikaipeleka bank flani hapa wamekua interested na hio kitu but wanataka waone prototype ndo wafanye investment. Prototype inagharim...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari za mchana raia wawajibikaji, bila shaka mu wazima. Naomba ushauri kuhusu *Mtaji *Maeneo mazuri kibiashara *Undeshaji. Biashara ya mgahawa wa nyama choma, aidha kitimoto/mbuzi au ng'ombe...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari JF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii. Hivyo naomba mtu...
1 Reactions
3 Replies
915 Views
....Kama Umekuwa ukipost bidhaa kwenye WhatsApp status yako kisha watu wakaishia Kuview Tu bila Kununua basi kuna uwezekano unafanya kosa mojawapo kati ya haya 7 Kabla sijakwambia hayo makosa...
16 Reactions
18 Replies
3K Views
Dubai ni mji wa kiv=biashara ambao watu kibao wanaenda kufata mizigo yao na kuiuza hapa bongo. Naamini kuna wazoefu humu wengu wanaofata mizigo huko Dubenga, tunaombeni ushirikiano. Binafsi...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
maisha yana kwenda kasi sana.kipindi cha nyuma kabla mchina kutuletea mabaja ya kubebea mizigo kulikuwa na m'badala wa usafiri ambayo ni maguta na matoroli ambayo yana tumia mataili ya gari. Huyu...
1 Reactions
1 Replies
647 Views
Habari wana jamvi. Samahani wanajamvi, ninawazo la kutaka kufanya biashara ya kufungua duka la vyombo vya ndani. Kama kuna anaejua sehemu vinakopatikana kwa bei ya jumla jumla lakini kwa bei...
1 Reactions
3 Replies
38K Views
Habari za saa hizi wadau. Samahani, kwa wale wenye hujuzi wa Skrill naombeni mnisaidie, Ni document gani unakumbuka uliwasilisha kwenye kipengele cha Adress Verification na wakakubali. Maana kila...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba kufahamu kwa undani mji wa Katoro. Fursa zake za kiuchumi, kilimo, ufugaji, biashara, miundombinu, makazi n.k. Je ni sehemu salama pia? Asanteni.
2 Reactions
407 Replies
70K Views
Project management (Usimamizi wa miradi) ni matumizi ya ujuzi maalum(skills) na zana(tools) ili kufanikisha malengo kwenye muda uliopangwa. Ujuzi wa Project management unakusaidia kuboresha...
1 Reactions
3 Replies
857 Views
Karibu tupeane ya nayo pendekezwa mitaani kwetu Hii ni IDEA naigawa kwa wale wenye kuitaji maana me sina uwezo wa kuiendesha . Ni biashara ya huuzaji wa mafuta ya petrol ktk vyombo vya usafiri...
5 Reactions
51 Replies
7K Views
Back
Top Bottom