Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Hawa jamaa wanafanya maisha yanakuwa magumu.. wanatusababishia hasara kubwa, wanakata umeme bila taarifa yoyote Ile. Wanatakiwa wawe na namba za customer care kama ilivyo Kwa mitandao ya simu...
0 Reactions
11 Replies
18K Views
Je Kuna mashine za kuosha makapeti? Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya jambo hili naomba anijuze tafadhali , maana kuna makala moja nimesoma nikaona kwamba sehemu ambazo wanaosha magari wanafanya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJAMII Kwa wale ambao pengine wanamfahamu BENJAMIN FERNANDES ama umekuwa ukimfuatila katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hasa Instagram na Facebook. utakuwa umekutana na...
7 Reactions
74 Replies
22K Views
Taifa kama taifa ni LAZIMA litafute namna ya kuchukua pesa za wanaobet ili kuziingiza kwenye mfumo unaoleweka wa kiuchumi!!! Tukitumia mfano wa mtu anayefahamika na wengi kwa mfano, Diamond...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za muda wakuu. Hapa nimepata fursa nzuri kidogo ambayo natarajia kuifanya lakini sitaki kukurupuka. iko hivi , kuna rafiki yangu yuko canada nimemwomba anitaftie computer for...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu nipo Dodoma huku ni fundi simu, changamoto ya Dodoma hawana vifaa vingi huwa napata changamoto baadhi ya bidhaa wateja wakihitaji kama hapa kuna battery ya sony xperia xz nilikuwa nahitaji...
1 Reactions
6 Replies
696 Views
Kumekuwa na changamoto kubwa kuhusiana na lipi ni eneo sahihi la kuiweka biashara yako,watu wamekuwa na kasumba na kujifanyia hadi imefikia hatua hawajui athari zimeletwa na nini. Na hii...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Tumeshusha RIBA Leo tumetangaza punguzo kubwa la riba za mikopo ya kilimo na mikopo ya wafanyakazi ili kuchochea ukuaji wa uchumi nchini; [emoji2389] Riba ya mikopo ya kilimo imepunguzwa kutoka...
1 Reactions
6 Replies
950 Views
Nimekuwa mnunuzi wa bidhaa mbali mbali kutoka China kwa kupitia kikuu ambapo bidhaa naipata kwa siku 14 na sijawahi pata tatizo lolote..Lakini changamoto nayoona kikuu Wana wigo mdogo wa bidhaa...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar wakuu ...kama kichwa cha habar hapo juu Namuomba yeyote mwenye ujuzi juu ya cryptocurrency ajitokeze kuna kitu aniseidie kutatua Iko hivi nili meet na manzi mmoja kwenye social network...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Kwa bei za kahawa zilizoanishwa na Benki ya Tanzania, kuanzia mwaka 2002 hadi mwaka 2020 bei ya kahawa aina ya Arabica imekuwa kubwa kuliko bei ya robusta kwa mauzo ya kilogram moja kwa Dola za...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama unataka kuingia kwenye kilimo ni muhimu kujua bei za soko za bidha unazotaka kujihusisha nazo ili kujua zao ambalo litakulipa zaidi na ukajikwamua kiuchumi Kwa takwimu zilizopo bei ya Kilo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika ulimwengu wa biashara,kuna aina mbili za wateja Kuna wateja ambao ni LOYAL na wateja ambao ni ROYAL mteja ambaye hayuko katika kundi moja katia ya hili basi sio mteja. Mteja ROYAL ni...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
Hi Forgive my post in English. Are there any property websites that cater exclusively to Tanzania? I'm thinking of starting one and would be grateful for your assistance. I would also appreciate...
1 Reactions
3 Replies
644 Views
Hii milioni 25 ni baada ya kutoa kodi ya pango. Biashara zote nina experience nazo. So kwa ushauri wenu, kati ya hizo ideas, ipi itanipatia mapato ya nguvu......
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wana bodi salam. Ukiwa mjini na unafanya kazi kwenye majengo makubwa ya mashirika au hotel kubwa kubwa, unaweza toka ofisini usijue kinachoendelea mtaani. Sababu ni kuwa wana automatic power...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Aina ya biashara ni vifaa vya ujenzi, sio ya materials kubwa bali handtools na essentials. Karibunii...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wana Mwz, Natumaini mtanisaidia maeneo mazuri hapo Mwanza mjini yaliyochangamka kwa ajili ya biashara ya vipodozi. Karibuni..
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kujua maana ya bar codes na matumuzi yake.
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nina wazo la kufungua saluni ya kiume, lakini sijui mashine ya kunyoa ni bei gani,kiti na kioo, kuhusu redio nitanunua sabufa, naombeni mawazo ndugu zangu na bado kijana atakaye kuwa kinyozi huwa...
1 Reactions
17 Replies
26K Views
Back
Top Bottom