Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari za jioni wana JF Kwa heshima na taadhima nimeamua kuwa Mjasiliamali. Ni kwa kipindi cha miaka 4 sasa nikiwa kwenye ajira ya makampuni,nimekuwa mtumishi mwema kwa kipindi changu chote na...
0 Reactions
8 Replies
19K Views
LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanaotaga yani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia...
22 Reactions
63 Replies
14K Views
Wakuu habari za wakati huu, i hope mko wazima wa afya na mlio dhaifu basi Mungu awatie nguvu. Niende direct kwenye hoja yangu. Nimekua very broke kwa kipindi cha miezi michache tangu kibarua...
9 Reactions
54 Replies
18K Views
Jamani mwenye elimu ya kutosha juu ya uanzishwaji wa biashara ya ukandarasi anifahamishe nataka kuanzisha biashara hiyo nina kama TZS. 12m, mchakato unakuwaje? Thanks in advance.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Mimi kijana wa Kitanzania mwenye umri kamili wa miaka 26, mwenye Degree moja ya Procurement, ni mjasiriamali wa biashara ya chakula, Matunda na Forex ..lakini bado naitaji kuongeza kitega uchumi...
13 Reactions
22 Replies
6K Views
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi nyingi za watu wanaoandika ama kujinasibu wanafanya forex humu JF kwa takribani miaka 4. Nimekuwa nikigundua falacies nyingi sana (uwongo) na upotoshaji lakini ni moja...
29 Reactions
150 Replies
41K Views
Habari za jioni wakuu napenda kujua utaratibu wa kufuta leseni ya biashara nataka niifute ili nifanye biashara bila leseni kuepuka gharama za kikokotozi cha TRA , Najua tupo wengi tunaotaka...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Ninataka kuanzisha genge mtaani kwetu lakini liwe la kijitali. Liwe kwenye frame kubwa, bidhaa ziwe zimepangwa vizuri, mhudumu awe msafi kabisa. Kila kinachouzwa kiwe kimesafishwa. Bei ya bidhaa...
19 Reactions
17 Replies
6K Views
Ndugu zangu, kwa uzoefu wangu nimegundua Vietnam wana nguo nzuri sana (kike na Kiume) na bei zake pia ni nzuri. Natamani sana kufanya biashara ya kuuza nguo kutoka huko. Naomba kwa wenye uzoefu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar. Nilikuwa naomba. 1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Ukipata fremu Karibu na shule Basi uza vitu pendwa kwa watoto Mimi mwenyewe nafanya biashara hio ni nzuri Sana kwani watoto kamwe hawatakukopa wanapewa hela Kuna chocalate kibao km shaped...
1 Reactions
1 Replies
776 Views
Habari wakuu. Mimi si mtaalamu wa business lakini Tanzania tumeanzisha commodity exchange na nimesoma kuwa imeanza kazi mwaka jana mwezi wa kumi. Jambo zuri sana. Commodity exchange ni eneo au...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Kuna bidhaa nilikuwa nataka kuinunua siku si nyingi Aliexpress na kuna hela nilikuwa naisubiri ili niship kwa DHL au Fedex. Lakini naona kuanzia leo wameweka Discount kubwa sana ambayo inalast...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello, napenda kuuliza kwa mtu mwenye kuelewa juu ya AIM GLOBAL Hawa watu ni kweli wanaweza kukusaidia kupata kipato cha ziada kupitia biashara za bidhaa zao au ni janja janja?
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kama kijana mtanzania mwenye naono ya kufika mbali mno kimeisha na kupata kipato cha Halali mkono ili uende kinywani. JamiiForums ina watu wenye maono mbalimbali...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba mwenye uzoefu na biashara ya uwakala wa bank na huduma nyingine za kifedha kama M-pesa nazingine naomba kujua mtaji wa kuanza nao na makadirio ya faida ambayo hupatikana kwa mwezi.
4 Reactions
28 Replies
13K Views
Tulizoea miaka mingi kwamba barabarani kutawaliwa na SCANIA, lakini cha kushangaza zaidi Mchina kaja kufanya mapinduzi ya haraka sana kwenye mabasi ya mikoani. Jana nilitoka zangu morogoro nikawa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Copy and paste Sunday news 👋🏽 ya kuanzia siku 😂 Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Chato miaka kumi inayo kutakuwa hot cake, referral hospital inamaana wakazi wa Geita wenye wagonjwa Chato watatafuta sehemu za kulala. Stadium Kukawa na match lazima guest house na hoteli zijae...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom