Habarini wakuu. Natumaini mko poa sana, narudi kwenye hoja yangu. Hivi kwanini haya makampuni yanayo dili na kurekebisha mashine zile za EFD wenyewe sio watoa risiti?
Nashangaa maana...
Juzi kuna jamaa yangu kanipigia simu akawa ananieleza vitu sivielewi elewi.
Ni kitu kinaitwa Mr. Kuku Farms akidai ni mradi mkubwa wa ufugaji kuku una physical presence na ni kampuni iliosajiliwa...
Wana JF naomba msaada wenu.
Ninafanya utafiti wa biashara ya kutengeneza siagi ya karanga. Nimerithi mashine ya kutengeneza peanut butter ila sina ujuzi wa soko hasa la Dar es Salaam. Mimi naishi...
Habar za muda waungwanaaa naomna niende moja kwa moja kwenye mada naomba kujua jins gan naweza kutambua madin feki na kama una changamoto zinazojitokeza kwenye biashara ya madini share nami nataka...
Wakuu kama ilivyo mada hapo naomba kueleweshwa zaidi juu ya maisha ya nchi ya Seychelles na fursa zinazopatikana huko kibiashara.
Naamini humu ni kisima cha elimu.
Baada ya kuisoma ilani ya chama tawala CCM na kusikiliza hotuba ya rais alipokua anafungua bunge watanzania wengi tuliiona nia ya dhati ya serikali yetu kuboresha uchumi kwa kiasi kikubwa haswa...
Nahitaji kuanzisha biashara ya wine inayotengenezwa kwa kutumia asali.Naombeni ushauri maoni au taarifa yoyote inayoweza kunisaidia katika hii biashara ninayotarajia kuanza
Sijui kama wewe ulishafika hii stage, lakini kuna muda kwenye maisha unaona kabisa kila mtu anakukataa. Wale washkaji zako wa dam dam wanakufungia vioo, ndugu zako wanakupotezea, majirani...
Biashara ninayoizungumzia hapa ni biashara ya grosari ambayo itajumuisha banda la chipsi , nyama choma , supu , chapati.
Ipo hivi, kwanza inabidi zipatikane fremu angalau mbili avunje kati...
Habari zenu wakubwa kwa wadogo
Kijana wenu nimekuja hapa kuomba msaada wa kufahamishwa kuhusu utaratibu wa kuwa wakala wa soda za pepsi au cocacola pamoja na bia
Kwa yeyote ambaye yuko kwenye...
Naomba mwenye uelewa mzuri wa hii biashara atupatie somo vizuri
1.Mtaji
2.Maeneo ya kupata hivi viumbe
3.Vibari
4. soko
5.namna ya usafirishaji na gharama zake
6.Namna ya kupata connection za...
Habari za jioni wadau, najua wengi wetu tunaendelea na majukumu kama kawaida.
Oky hemu niingie kwenye point.
Bidhaa za hawa wanajiita Alliance In Motion Global
Mfano moja inautwa: mychoco...
ukimiliki moja wapo kati ya blog zilizoelezewa kwenye makala hii ni rahisi kuingiza kipato kila mwezi
Blog ni nini?
Blogu ni aina ya tovuti ambayo inatoa taarifa za kila siku za tasnia Fulani...
Mimi ni mfanyabiashara mdogo ambae bado sijafikia level ya kukopesheka benki. Nina shida ya mkopo wa milioni moja na nusu ili niweze kukuza biashara yangu. Dhamana niliyonayo ni hati ya mauziano...
Wale Ndg. Zangu wa kutumia fursa nawapeni taarifa kiroho Safi biashara ya Tangawizi ishaingia MDUDU huko kilo 1 kwa Sasa 800 TZS kutoka @5,000/= wiki moja iliyopita.
Source: Sokoni Kariakoo Shimoni.
Hongera Jemedari & Mzalendo Nambari 1 Nchini Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Matumizi Sahihi ya Rasilimali Zetu Huleta Matokeo Chanya Kwetu Sote.
Tuliahidi
Tunatekeleza
Tunasonga Mbele Kwa Kishindo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.