Habari, nimehitimu chuo(Lingusitic teacher) ninawazo lakufungua photo na local video production (Songea)
Nataka ingia bank omba mkopo (3mil.) kwaajili ya printer navifaa vingine.
Camera...
Habari wanajamvi
Nahitaji kuchukua mkopo wa MILION 60 mkataba wa miaka 6.
Je, bank gani wanaweza kunipa huu mkopo bila usumbufu?
Nina-asset ya nyumba 4 na shamba lenye heka 5 la mazao takudumu...
Habari zenu?
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Je kwa mtaji huo wa milion 4 naweza kufungua duka la nafaka kwa jumla na rejareja? Naombeni mchanganuo wenu pia faida na hasara zake.
Asanteni.
Kuna uhusiano gani kati ya mafanikio yako na uchawi ushirikina?
Mafanikio katika nyanja zote ni lazima nguvu za Giza zihusike ?
Kwa wale mnaotumia nguvu hizo naomba mtupe uzoefu wenu...
Umuofia kweni.
Hivi sukari, diesel na cement ikipanda bei ndiyo zinazoashiria mfumuko wa bei?
Huku mtaani bidhaa nyingi zinapanda bei kimya kimya lakini naona maisha yanasonga kama kawaida. Huko...
Wandugu,
Nimekuwa nasikia kuwa soko la Korosho huko Duniani sio nzuri hali iliyopelekea wakulima wetu kubaki na korosho zao.
Mtazamo wangu: Kwa kuwa mikoa ambayo haizalishi Korosho ambayo ndio...
Swali 1:
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, ningependa kufanya biashara ya kuuza genge, naomba msaada wenu mwenye kujua naweza nunua wapi vitu vya sokoni kwa bei nzuri na nikimuajiri mtu aniuzie...
Heshima yenu washika dau wote wa Jf
Ebana kwa Mara ya kwanza nakuja kwenu pamoja na wenzangu ningependa kufahamu ni vitu vya aina gani au mambo Gani unaweza kufanya ili kutengeneza pesa online au...
Jamani hii ni wiki ya pili sasa najaribu kuwatafuta mawakala wa soda za Pepsi nashindwa kuwapata
Naitaji soda cret Mia moja,
Kila ninavyojaribu kupiga kwa namba zao ambazo ziko mitandaoni huwa...
Wakuu wanajukwaa naomba kufahamu bei za mazao haya hasa mkoa wa Morogoro kama ikipendeza kwa Kilombero.
.Mchele per kilo
.Maharage ya jano na soyo per kilo
.Mahindi per kilo
.Choroko per kilo...
Naweza kusema ni hujuma au kutokua na mkakati maalum wa utendaji kazi, unakuta mistari ya magari ni mitatu, namaanisha kuna mstari wa kwanza, wa pili na watatu.
Ukifika unaweza kuingia mstari...
Mfuko wa Kusaidia Jamii wa Vodacom (Vodacom Foundation) kama kampuni ambalo lilikuwa na ukomo wa ahadi ambalo linasaidia jamii na hivyo halikuwa na malengo ya kukuza biashara au uwekezaji...
Habarini,bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,kwa nini walimu wengi wamekamatwa na Qnet wakati halide zao za maisha zikiongezeka kwa tight
Majibu yenu yatasaidia kuwakomboa au...
Hellow wakuu,
Kutokana na ugumu wa ajira vijana wengi waliohitimu vyuo wamekuwa wakitaka kujiajiri.
Mfano mtu anataka kufanya biashara ya bucha, anamfuata mwenye bucha kiroho safi kutaka kupata...
Wakuu...tusaidiane mawazo
"How do u sell a product thats already in street/market...mtaani"
Yaani unauzaje bidhaa ambayo ipo tayar mtaani.
Najua wadau mko vizuri humu.
Hili swala ndo kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.