Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Wakuu, nina mpango wa kuuza nyama ya ng'ombe ya Tanzania nje ya nchi. Kwa anayefahamu naomba anielekeze ni namna gani naweza kuanza hii biashara. Natanguliza shukrani zangu.
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Karibu sana katika ziara itakayofanyika kuanzia tarehe 28 January hadi 4 February nchini Comoro. Sent from my iPhone using JamiiForums
6 Reactions
23 Replies
7K Views
Hellow Mambo vipi wanajamii.. Kama alivyo mungu mkuu ametuamsha Tena na bila shaka tu wazima. Leo ninakuja na hili nimeajichanga changa nimeipata 1.2 milioni na nimepanga kuanzisha Banda/ kiduka...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Salaam wakuu naomba kutoa ufafanuzi kidogo kama watafutaji na wapambanaji wazo ndio kila kitu ukiwa na wazo ni rahisi kutengeneza pesa! Napokea ujumbe mwingi pm watu ambao wako serious...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji kufungua store ya vyuma (all metal) naomba kujua kiasi gani cha mtaji niandae.🙏🙏🙏
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Ninahitaji kutuma pesa internationally kutoka Tanzania kwenda India. Njia kuu nilizozisikia ni Western Union na Moneygram.. Katika hizi ipi ni bora na kwa nini? Je, makato...
0 Reactions
13 Replies
17K Views
Katika hali iliyotarajiwa mahoteli kama Ngurdoto, Saphire hotel, Kibo palace na nyingine nyingi zimefungwa kwa kukosa wateja baada ya Tanzania kuingia uchumi wa kati na pato la mtanzania kupanda...
11 Reactions
63 Replies
6K Views
Habari wadau! Tafadhali nahitaji kufundishwa namna ya ku operate 3D VACUUM SUBLIMATION MACHINE pamoja na mambo yote ya msingi yanayotakikana katika ujasiriamali huu! Tafadhali mjuzi wa mambo hizi...
2 Reactions
1 Replies
908 Views
Unaweza usiamini hiki ninachoenda kukiandika lakini nina asilimia 1000 hili jambo litatokea katika ulimwengu huu wa kidigitali. Nina uhakika kwa nchi kama Marekani na China ATM MACHINE hazitakuwa...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu, Tueleweshane hapa kodi ipi ipo sahihi na ipi imezuka kuanzia ngazi ya Kijiji, Halmashauri, Manispaaa, Miji midogo mpaka Jiji halafu Taifa inaweza kutusaidia kuelewa juu ya masuala ya kodi
2 Reactions
2 Replies
915 Views
Tanga ndie nyie ndio mnaotupaka mafuta ya mgando na lotion kwani katika maduka yote tanzani lazima utakutana na mafuta kutoka kwenye Viwanda vyenu hili halihitaji ubishi Tanga pharmaceutical &...
11 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama utangulizi unavyosema nahitaji watu wenye uwelewa juu ya biashara ya simu faida na hasara zake pia upatikanaji wake mtaji mimi nipo Mbeya mjini.
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama mtu ukitaka kufix hela kwenye account kwa miezi 3 au sita ili upate riba/faida, ni bank ipi ina rate nzuri kwa miaka hii? tf.
2 Reactions
82 Replies
9K Views
Nataka mkopo wa 4.5m Kabla ya saa 10, naweka gari dhamana, kwakweli nina shida ya haraka, Mashart ntayafuata atakayo Gari ni Vits new model ya mwaka 2009, Napatikana Dar as salaam
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Biashara zipi zinatembea hasa kwa MIKOANI ukiachana na mkoa wa Dar, Wadau wa mizunguko ya hapa na pale katika kusaka life, tusaidie michongo au mchongo ulio HOT kwa Kipindi hiki Cha lala salama...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nipo Moro wadau nataka madili na mishe nazoweza fanya huu mkoa za kunipa hata 10000 kwa siku. Munipe mishe wadau wa Moro.
3 Reactions
127 Replies
10K Views
Habari JamiiForum, Ninalo wazo la muda mrefu kuhusu biashara ya kuuza bidhaa kwenye minada au maeneo yaliyochangamka. Sina mtaji kwa sasa ila nina gari dogo succed kwa ajili ya kubeba bidhaa za...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
KUCHOMA MELI MOTO, The ancient Greek warriors ni moja kati ya Majeshi yaliyo yanapambana kwa nguvu zote katika historia ya Majeshi ya Enzi Hizo, Na hii si kutokana na walivyo fundishwa au Silaha...
65 Reactions
126 Replies
20K Views
Mimi ni mfanyabiashara, ya kuuza spea za malori, biashara ipo katika jengo la ghorofa 3 yani chini, 1st na 2nd floor, chini ndio biashara ilipo na juu ni makazi, sasa nilitaka kujua kuna malipo...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Usafiri wa magari umeonekana kuwa na tija kwa jiji la Dar. Kukutanisha muuzaji na mnunuzi imekuwa ni biashara inayokuwa kwa kasi. Nawaomba, wajuvi, mchangie nasi uzoefu, uendeshwaji na changamoto...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Back
Top Bottom