Na wakati huo inaonesha kanisa katoliki ni la kiserikali Na lazima niamini hivyo kwasabu nikipiga hesabu misingi yote ya kidini ilikuja kwa njia kiutumwa Na najua serikali ya italia kanisa la...
Nahitaji fundi wa kushona nguo za kike na kiume, mwenye uzoefu na anayeweza kumshauri mteja ashone vipi ili apendeze.
Ofisi ipo Sinza, awe ni mkazi wa Dar es salaam.
0629834522
Kazini nimefukuzwa, sina akiba, sina chochote; nipo home nina mke na watoto wawili, umri wangu ni 35.
Nipo nyumba ya kupanga ila nina kiwanja.
Naombeni ushauri, pesa ya ujenzi sina kwa sasa...
Habari Wakuu!!
Kwanza awali ya yote namshukuru Mungu kwa uzima tulionao, Maana tunakaribia kumaliza mwaka, ni mengi sana Mungu ametutendea aiseee, na kwa Neema yake natumai tutavuka salama.
Leo...
Heshima kwenu wakuu, Twende kwenye mada Niliagiza mzigo kampun iyo hapo juu, mpaka kuwasili ilionesha wiki 6 ambayo ni tar 16 ya mwez huu wa 8 toka tareh 12 ya mwez wa 7. Sas ile tarehe imewadia...
Naomba kujuzwa kuhusu hizi app za kutumia pesa toka ughaibuni kuja Tz. Nasikia kipindi hili cha uchaguzi zimezuiwa kwa muda kufanya kazi hapa Tanzania.
Live your dream project
ni mradi ambao unahitaj vijana wake kwa Waune waajiriwa na wasio ajiriwa ili kusaidia vijana waweze kuzifikia ndoto zao,kumiliki maisha yao bila kutegemea ajira hivyo ukiwa...
Karibu ujipatie school bags za kisasa mapemaa kabla msimu wa shule haujafika! Ni water proof bags hata mvua ikinyesha maji hayaingii ndani kulowesha daftari. Quality yake ni nzuri Sana. Utapata...
Wananunuzi wa bidhaa sokoni wametakiwa kununua bidhaa zilizo pimwa katika mizani ili kuepuka kupunjwa.
Hayo yameelezwa Novemba 4, 2020 na Denis Misango, Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo Mkoa wa...
Iweje jiji dogo kama la Mbeya waweze kuwa na usafiri hadi jioni lakini jiji kubwa kama Mwanza washindwe kuwa na usafiri wa uhakika wa kutoka Mwanza -Dar (jioni)
Sio wote tuna uwezo wa kukwea...
Ipo hivi wakuu, kuna biashara ya rafiki yangu ambayo ni ya familia ambayo ilikuwa inaenda vizuri tu inaingiza milioni 8 kila mwezi na ndiyo inayolisha familia
Sasa ile ni biashara ya familia na...
Habari wakuu,..
Naomba mawazo ya biashara ambayo nikifanya naweza kua billionea fasta, haijalishi mtaji kiasi gani. Ni biashara gani nikiifanya nakua Billionaire fasta ...?
Tiririka hapo chini...
Direct to the point.
Wakuu baada ya hustling za maisha Dar nataka nikafanye biashara kati ya Dodoma au Manyoni. Nimepata kufanya biashara ya vipodozi (cosmetics) au vifaa vya simu.
Naomba kwa...
Swala la kuibana mitandao ya jamii msilichukulie poa, baadhi ya biashara huitumia hii mitandao kama njia ya kupata wateja na inasaidia sna, utakuta mtu kafungua duka Kariakoo au Temeke lakini...
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yaani vyumba 3, sebule, jiko, dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha, vyumba vyeye...
Waungwana, poleni na majukumu yenu, enzi hizo nilikuwa mlevi wa pombe lakini kimaajabu tu nikaweza kuacha, nikahamia kwenye sigara, huko nako nikapambana nikaweza kuacha kabisa!
Sasa si ndio...
Salaam Sana,
Nimebahatika kupata pikipiki mbali ya kuwa inasaidia familia ikiwemo kufata majani ya ngombe. ila ningependa kuliko ipaki kijiweni niifanyie biashara.
Najua humu mna wajuzi wengi...
Habari wadau, Nataka kuagiza mizigo kutoka China
Nimejuzwa kwamba kuna makampuni yanahusika na kuleta mizigo mpaka hapa Tanzania.
Sasa najua wengi pengine kwa haraka haraka mmeona ni heri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.