Sukari imeadimika, sukari imekua adimu, sukari zimefungiwa kusiko julikana je ni ukaidi wa bei elekezi au nikweli viwandani production imepungua.
Wajuzi wa mambo mtujulishe wapi machimbo tunaweza...
Je umekuwa ukijiuliza juu ya benki gani ina matawi mengi na waajiriwa wengi Zaidi nchini? Vipi kuhusu mali zake na faida ipatikanayo? Mchango wake katika bajeti ya serikali ni wa kiwango gani...
Kuna dogo wa kiume hapa, ni kijana nimemfahamu muda mrefu na ameshanifanyia vitu vingi kwa uaminifu. Ningemuajiri mdada ila sina ninayemfahamu kwa ukaribu.
Nafikiria ni afadhali nimuajiri huyu...
Je, ukitumia kisima kama hiki na source ya maji ikawepo, je? kuna ufanisi gani katika kusambaza maji ndani yakawa yanatomika chooni bafuni na jikon, na huku bafuni bomba la mvua linatumika,je...
Heshimu kwenu wakuu
Nataka kuanza biashara ya kuleta samaki dar kutoka moro ifakara niuze kwa bei ya jumla 4000 na rejareja 5000 ni samaki wakubwa waliobanikwa vizuri...
nakaribisha maoni na...
Salama JF?
Kutokana na jinsi Mambo yanavyoenda nchini siku hizi siangalii wala kusikiliza taarifa za habari za ndani.
Nimewapa jukumu watoto wangu kuangalia taarifa ya habari ili baadaye...
Hali si shwari, Corona virus imeleta madhara makubwa katika sekta ya utalii
A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo
B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo
C -...
Congo, Zambia, Malawi Watarudi rasmi bandari za Msumbiji! Uganda Rwanda, Burundi watarudi bandari ya Mombasa!
Wakulima watasota na mahindi na maharage na mpunga ambao uwa wana export miaka 2...
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) nchini Tanzania imesema, bei ya mafuta ya taa, petrol na dizeli zimepungua kwa baadhi ya mikoa kuanzia leo Jumatano tarehe 6 Mei 2020...
Wakuu habari,
Nina elewa ni vizuri kibiashara vizuri kuviambatanishe pamoja PLUMBING (mabomba ya maji na fittings zake) na SANITARY WARE (sinks aina zote na vifaa vya bafuni) coz ni sector mbili...
Asikwambie mtu nlikuwa nadhani kufukuza mtu kazi kitu simpo, nshawahi kushuhudia jamaa yangu aliifata bodaboda yake stendi akamnyanganya funguo kijana anaeiendesha mbele ya umati mkubwa nidhani...
Kwa kipindi sasa raia wamekuwa wakilalamikia bei ya sukari kupaa na utetezi mbalimbali ukittoka kuhusu sababu ya kupaa kwa bei hiyo. Sababu ikitolewa kuwa ni mwezi wa ramadhani au kufungwa kwa...
Habari za muda
Nina mtaji wa Tsh Laki 3.
Nipo Mwanza
Naombeni mnisaidie kunipa business ideas kulingana na mtaji huo nilo nao.
Mbarikiwe sana
Serious answers please kuna vijana wengi...
Naomba msaada kwa wenye uzoefu wa kusafirisha bidhaa toka Dar kwenda Zanzibar.
Sijajua kama bandar ya Zanzibar ina maushuruengi kama ya Dar au laa, mimi nataka kusafirisha mayai naya-park vizuri...
Wanapango habari?
Hebu shuka / tiririka hapa ni mbinu gani unatumia kupata soko la bidhaa zako. Tiririka wote tujifunze kutokana na uzoefu wako .
Tusiwe wachoyo na maujanja ya maisha. Sina...
Je, ni bidhaa gani kutoka bara la Ulaya (Europe) zinafaa kwa biashara Tanzania. Kuna kampuni inasafirisha mizigo moja kwa moja East africa, ningependa kufanya partnership pamoja nao.
Asanteni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.