Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari ya wakati huu? Naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja. Kwanini biashara nyingi za watanzania zinayumba hadi kufa pindi baba au kiongozi wa familia anapofariki? Mambo ni tofauti kwa...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Naelewa kuna kodi nyingi zinazostahili kulipwa TRA, ila kuna taratibu nyingi pia katika kuzilipa hizi kodi pamoja na kuandaa taarifa nyingi kwa nyakati tofauti katika mwaka. Naomba kwa wale...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
AU report estimates 20 million job loses in Africa due to coronavirus A recent African Union (AU) study reveals that about 20 million jobs are at risk on the continent as a result of the impact...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
i need to be self employed with sufficiency resources that will be flowing to me in abundance and avalanches. Naombeni mwenye kitabu cha Robert "Rich kid smart kid" PDF anisaidie wapendwa wa JMF.
1 Reactions
0 Replies
564 Views
Kwa Hili Janga tulio nalo utakubaliana na mimi kwamba bado food Industries inabakia kuwa Industries muhimu na ya kipekee kabisa na pia inaaminika ndo itakuwa ya mwisho kabla ya Human civilisation...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wakuu, Naomben mawazo yenu mama yangu amepata mafao ya kustaafu, ameniomba nmshauri afanyaje. Yupo maeneo ya Iringa, nimesema sehemu ili hata unapotoa ushauri uangalie na mazingira...
1 Reactions
64 Replies
8K Views
Wadau naomba kufahamishwa, nina malengo ya kutoka kwenye sole proprietorship na kufungua kampuni, ila nina biashara mbili tofauti na ninataka nizitofautishe majina. Naona kusajiri kampuni mbili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ripoti mpya ya mwaka kuhusu Takwimu na Makadirio ya Biashara iliyotolewa jana Jumatano na Shirika la Biashara Duniani WTO, inasema biashara duniani inakadiriwa kupungua kati ya asilimia 13 hadi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu,ni wapi naweza kupata mkopo kwa kuweka kiwanja kama dhamana,naomba mwenye kufahamu anijuze. ♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari zenu wana jamvi. Ninakuja mbele yenu kuomba ufafanuzi kwa wajuzi juu ya namna ya kuanzisha game station. Je, ninatakiwa niwe na mtaji kiasi gani? Ni sehemu gani ninaweza pata mashine...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jaman wana JF nikatika kipambana na maisha yetu haya nataman kuanza biashara yamitumba kutoka Dar kwenda mikoa ya kanda ya ziwa. Je, Kwa makadrio ya mtaji wa kiasi gani naweza anza nao.? Je...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Hii ni kutokana na kufungwa vyuo nipo tu hapa Bagamoyo nikisubiria vyuo vifunguliwe ingawaje sina uhakika kama itakuwa mapema. Nina kama 500,000/= kwa wazoefu wa biashara na wenyeji wa maeneo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
UTAMBULISHO KUHUSU UWEKEZAJI Uwekezaji ni operesheni ambayo baada ya uchambuzi wa kina inaahidi kulinda mtaji pamoja kuleta marejesho (ya kifedha) kutoka kwenye mtaji huo. Maneno ya kuzingatia...
7 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba mwenye uzoefu na biashara ya barafu shule za msingi anipe mchanganuo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Inasemekana hadi sasa sekta ya Utalii ndio imepata pigo kubwa sana kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa Corona. Wataalamu wanasema nchi zinazotegemea sana utalii katika uchumi wake zitayumba sana hata...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Huko Duniani hata hapa Tz tumekua tukishuhudia mastaa wengi wakiwa na REALITY TV SHOW, mfano mkubwa kwa mbele ni ile show ya kina KIM KADASHIAN na familia yake. Huku bongo nadhani ile MAISHA PLUS...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Takwimu zinasema watanzania idadi yetu ni milioni 50 Bila shaka serikali inaweza ikasaidia kukazua vyuma kwa kutoa milioni 50 Ambapo hapo sisi kama taifa tuna uhakika wa kila mwananchi...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari zenu wadau,naamini wengi wetu tupo poa sana licha ya tishio/janga lilipo mbele yetu. Nina imani kubwa kwamba pamoja na jitihada zetu kujikinga Mwenyezi atatuepusha na hili. Nisiwachoshe...
3 Reactions
24 Replies
6K Views
Habari wakuu Yeyote ambae anauza Pikipiki aina ya Boxer au TVS iliyotumika sio zaid ya mwaka mmoja. Engine CC150 itapendeza ikikosekanwa ata cc125. Isiwe imewahi kufanyiwa matengenezo kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom