Habari za muda huu wana JF? Nina ndoto ya kuwa wakala wa banks (commercial banks), naomba mwenye uzoefu zile machine za wakala unanunua au unapewa bure na banks accompanied with conditions au...
Habari wakuu.
Kwanza naomba kudeclare, hili sio tangazo la biashara.
Tuendelee, kwa sisi wakaazi wa mjini Dar es Salaam hasa wafanya biashara wa vinywaji baridi na watumiaji wa bidhaa hizo ni...
Kwa vijana waliomaliza Form Four mwaka huu wanaosubiri matokeo yao ninawashauri wakati huu mkiwa mpo tu nyumbani mnasubiri majibu ya matokeo yenu, nendeni mkajifunze ufundi wa kompyuta na simu...
Habari wakuu,
Ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza, kwamba kuna watu wanasema kuacha kazi na kuamua kufanya mambo yako ni kujiingiza kwenye mkenge ambao maisha yako yote utajutia
Najiuliza na...
Habari wanajamvi ?
Natumai mpo na afya njema(jambo la kumshukuru mungu) lkn kama nitofauti na nilivyotumaini basi mungu akupiganieni mrudi katika hali za sawa.
Lengo na madhumuni ya kuanzisha...
Mambo zenu,
Nataka kufunga kampuni baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa biashara, anayejua process anipe fasta. Haina deni na documents zote ziko okay. Naanzia wapi na naishia wapi?
Karibuni
Labda unawaza kuhusu kujikita katika ujasiriamali katika muda huu. Pengine tayari wewe ni mjasiriamali tayari mwenye biashara moja au zaidi. Leo tutaangalia changamoto unazoweza kukutana nazo kama...
Mambo vipi wadau.
Leo nilienda showroom maeneo ya Magomeni kuangalia gari ya bei rahisi nikakuta Passo ni milioni 8.5 ndo bei rahisi zaidi. Sasa nikapita mitandaoni kuangalia bei za Passo Used...
Kwa mara ya kwanza nilimsikia kwenye semina za fursa za clouds. Anaitwa Dr. Derrick.
Kwa jinsi anavyoongea, ni kama kwamba ni kwa vile ana uwezo mkubwa wa kuona fursa na kuchukua hatua na kwa...
East african business doing cross-border transactions have less than two years to use their cheque books after which all bulk payments in the region will be done electronically.
The EAC-payment...
Wakuu wa JF hope mko poa sana na maisha yanaenda fresh pande zenu.
Ninaandika uzi huu kwa uchungu sana kuhusu rafiki yangu wa kufa na kuzikana (he Is like a brother to me), huyu jamaa...
Wakuu ni ipi sabuni nzuri za kung'arisha ngozi simaanishi kuchubua namaanisha kung'aa kutakata
Ni wapi naweza kupata kwa hapa Dar na pia bei zake zikoje na vipi kuhusu kojic soap?nitapata wap na...
Wakuu amani iwe nanyi. Hii ni mada ya swali,
Kumekuwa na mawazo mbalimbali kuhusiana na Jambo hili.
Je wadau mna maoni gani kuhusiana na jambo hili? Ni kweli au ni uongo? Je utafiti wa wabobezi...
Rela Estate hasa Maduka ni swala ambalo nazani linaenda linaisha na halina Feature kabisa.
Kwa sasa ni dhahiri huhitaji Frame ili ufanye biashara kitu ambacho huko nyuma hakikuwezekana kabisa...
Hatimaye Serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kusindika mbogamboga maana sasa hivi akina mama wengi wanafunga mboga zao, Serikali imeamua kuboresha na kuandaa kiwanda...
Habari za Jumapili ndugu wa JF
Mliowahi misa ya saa 12 punde mtarejea. Na wale wa saa 3 jiandaeni. Na wale wa sala kila siku naimani mmeipata ya alfajiri kwa uwezo wake Mungu Mkuu Aliyejuu. The...
Habari wanajamvi,
Kutokana na ugumu wa ajira mtaani baada ya kugraduate nimefikiria nikapata wazo la kufungua bookshop hapa mtaani kwetu.
Soko la vitabu lipo maana kuna shule,makanisa na...
Street vending business is important for the economy and the livelihood of the poor less educated people in developing countries, as it provides employment, and a means for survival. However...
Habari Tanzania!
Leo naomba nilete mada inayohusu changamoto zinazojitokeza katika Mazao ya Kimkakati yanayolimwa katika mikoa mbalimbali kama vile: Korosho, Chai, Kahawa, Alizeti, Mawese...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.