Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Jana CEO wa ATCL amesema shirika lake liko katika mipango ya kufanya baadhi ya huduma lenyewe bila kutumia wakala, na kati ya huduma hizo ni ile ya chakula na vinywaji ndani ya ndege. Matindi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu ni biashara gani ndogo yenye mtaji kuanzia 30k mpaka 100k anayoweza kufanya mwanachuo na ikampa kipato?? Napata shida nawaza nijiingize kwenye shughuli gani nipate kipato?? Sent using Jamii...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Ni kweli serikali inataka faida ili irudishe pesa iliyotumika kununulia ndege 8. Lakini bei ya ticket bado zipo juu sana. Hivyo mjitahidi kufanya kama ilivyokuwa Fastjet ili kila Mtanzania afaidi.
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Habarin, kwa anayejua machimbo ya kuuzia dagaa Nyasa kwa dar es salaam naomba anifahamishe Nakuomba uje pm kwa taarifa zaid
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Greetings everybody! Ni tumaini langu weekend yako inaenda vizuri. Leo tunakutana tena ambapo kama ada nakupatia darasa muhimu kabisa katika eneo la online money making. Leo nataka nikuonyeshe...
9 Reactions
27 Replies
6K Views
Nawasalimu ndugu wakubwa na wadogo pia Naomba mnifahamishe kuhusu mashamba ambayo hayajapimwa. Je kuna athari gani ya kununua shamba ambalo halijapimwa na serikali? Mfano Umenunua shamba huko...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Salute, Naomba nianze kwa kunukuu na kunukuu baadhi ya mistari kwenye vitabu vya dini "Mwanume utakula kwa jasho" "Ewe mvivu mwendee chungu" " Asiye fanya kazi na asile" "Hapa kazi tu" Okay...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
UNALETA USOMI MTAANI? UTAKUFA MASIKINI..!! Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa. Katika miji na maeneo yote; wenye...
9 Reactions
17 Replies
7K Views
Ndugu wapendwa mimi ni kijana mwenye uchu wa maendeleo,ninapatikana Dar es salaam nataka nifungue office ya kutengeneza alluminium,Mm si fundi bali nataka kuajiri mafundi na niwalipe kulingana na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina mpango wa kuanza kufanya biashara na mtaji minimum 1.5M ila kwasasa sina asije kukuongopea mtu eti mtaji sio lazima pesa uwongo, yaani nimekaa nimepiga mahesabu jinsi yakupata icho kihasi...
18 Reactions
46 Replies
6K Views
Rafiki yangu mpendwa, Hadithi za watu waliofanikiwa huwa zinatupa hamasa kubwa sana kwamba hata sisi pia tunaweza kufanikiwa. Huwa zinatupa ile hali kwamba kwani wao waweze wana nini na sisi...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Nimepata kuona baiskeli nzuri Toka Johannesburg South Africa. Kwa wenyeji na wajuzi nahitaji kusafirisha zije dsm. He ni njia zipi. Au Nani freight forwarder wa mzigo Toka gauteng mpaka dsm. Bei...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Salam kwenu nyote. Wakuu kuna rafiki yangu yupo Nyanda za Juu Kusini huko anafanya biashara. Last week alinipigia simu na kunijulisha kwamba amefuatilia sana till ya MPESA iliyo katika jina lake...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Watu wengi wanatafuta mahali salama kwa ajili ya kuendeleza ama kuanza biashara. Kuanza biashara si kazi ndogo kuendeleza biashara ni kazi rahisi (kuliko kuanza). MSINGI +siwezi kutumia maneno...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mshahara ni malipo/ujira anaopokea mtu baada ya kutekeleza majukumu yako katika kipindi fulani kwa mujibu wa makubaliano. Mshahara unaweza kuwa mkubwa au mdogo kwa kulinganisha kiwango cha...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Kwanza nianze kwa kusema kwamba kuajiriwa sio vibaya,kufanya kazi kuajiriwa sio kosa,wala kuishi kwa mshahara sio dhambi.Watu wengi huwa wanakuwa na tafsiri mbaya sana wanpoona watu tunahamasisha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wana forum, Mimi ni mfanyabiashara. Nipo kwenye kundi la wafanyabiashara wadogo kwani nina duka linauza vifaa vya umeme, hasa umeme wa solar. Ninauza battery ya solar, solar panels...
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Katika andiko hili napenda kuzungumzia kuhusu kitu kinaitwa Profil and Loss statement (P&L) kwa wahasibu. Kwa wenye ujunzi kidogo wa Uhasibu wanaelewa maana ya P&L na umuhimu wake katika...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari Tanzania! Umewahi kujiuliza ni kwa kiwango gani Ushauri wa Kitaalam (Consultancy) ni muhimu katika uanzishaji, endelezaji na kufanikisha shughuli zetu za Kibiashara, Miradi mbalimbali...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom