Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Biashara yeyote duniani ikianzishwa watu wenye biashara huanzisha ushindani wa kutafuta wateja. Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo watu hushindana kujenga fremu za biashara lakini hawashindani...
11 Reactions
68 Replies
7K Views
Naomba mwenye ujuzi na uzoefu wa namna ya kutengeneza maandazi ya biashara. Lengo ni kuuzia maduka madogo madogo yanayonizunguka mtaani. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello. Jamani nimeenda sehemu fulani kupata chakula na vinywaji, lakini bill ilivyokuja nikashangaa kila kitu kimekuja kwa receipt yake na kila kinywaji kina VAT yake! Mfano: Soda 4 zimekuja...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ndugu zangu naombeni kunifahamisha fursa inayopatikana mkoa wa kigoma kwa wenyeji wa mkoa huo hasa wilaya ya kibondo ,nataka nihamie kigoma .Natanguliza shukran.
3 Reactions
21 Replies
7K Views
Tannesco tafadhali tujulisheni ni mgao umerudi tena ama?
1 Reactions
5 Replies
755 Views
Wakikufanyia figisu lazima uchumi wako utadorola tu Venezuela 500,000%
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Habari za muda huu wadau,naomba kusaidiwa kutambua hili ni jiwe gani? Nimekutana nalo nikichimba kisima.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Nahitaji kuingia rasmi kwenye biashara hii Naomba msaada wenu jamani! Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
74 Replies
8K Views
Natumai muwazima.niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni mkazi wa dar es salaam kutokana na vyuma kukaza nimepata wazo.la kwenda kununua mzigo wa sabuni kule kigoma nije nifanye biashara ya...
1 Reactions
18 Replies
9K Views
Amani ships first gold consignment from Tanzania '''Junior Amani Gold has completed the first shipment of gold from the Geita mineral and gem hub, in Tanzania, to a refinery in Hong Kong. About...
4 Reactions
47 Replies
5K Views
Wakuu, Poleni Na majukumu.Rejea kichwa cha habari hapo juu. Mwenye uzoefu wowote Wa biashara amwage nondo hapa tuweze kujifunza hii baishara. Nimeona majiko mawili makubwa maeneo ya kimara...
0 Reactions
21 Replies
15K Views
nasajiri kampuni yangu kupitia mfumo wa kielectroniki nimefika sehemu sijaelewa kama kuna mtu anaweza kunipa msaada anisaidie,naiataji kujua (company consolidated form ni form hipi hii na ikoje...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza kabisa nimpongeze Mh.Raisi Magufuli na Mh.Waziri wa mali asili. Mimi kama kijana mtanzania nimejiajiri kwenye hii sector. Ninaitangaza nchi yangu kwa hali na mali. Nimefanikiwa kushawishi...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari Kama kichwa Cha mada kinavyojieleza ni kwamba tarehe 3/2/2019 Makato mapya kwa watumiaji wa benki ya makabwela yataongezeka Kama nilivyojaribu kudodosa. Cash withdrawal fees kwa ATM...
9 Reactions
45 Replies
34K Views
Pole na hongereni kwa kuwa wenye afya njema. Na kwapamoja tuwaombee wale wote ambao wakati kama huu hawana nafasi ya kusoma haya tuliopata pumzi ya bure na tukayasikia, kuona, kusoma na kuchangia...
11 Reactions
164 Replies
19K Views
Kama nilivy anza hapo, naomba tupeane muongozo au tujuzane kuhusu Radio Transmitter kwa undani haswa namna ya kuipata na gharama zake na ukubwa karibu kwa maoni na mchango wako.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale wawekezaji wa ndani na wenye viwanda (Mwijage) kama mie hasa kusaga nafaka naomba niwape ushauri kidogo. Biashara hii ni nzuri kwa mtu mwenye shughuli nyingi kwani inahitaji minimum...
12 Reactions
25 Replies
8K Views
Habari wadau, naomba mwenye kufahamu namna ya kupata leseni ya biashara ya duka la mtandaoni tafadhali naomba anijuze taratibu zake na pa kuanzia nawasilisha
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Baada ya kupata loss kidogo nikakaa benchi kujitafakari kidogo Nilichogundua: 1/ Hakuna biashara isiyokua na hasara. 2/ Hasara inapaswa kuichukulia kama changamoto na utafute solutions...
6 Reactions
143 Replies
19K Views
Binafsi napenda sana biashara za mtandaoni. Kama kuna mtu anaweza nisaidia biashara ya online ambayo siyo ya kushirikisha mtu kama ilivyo Forex, kama inalipa, naahidi kumlipa pesa ili mradi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom