Wadau...nawaomba msaada wa wazo la biashara. Nina 20 million cash kwa account.
Mie ni mfanyakazi...kazi yangu inanibana sana...lakin nafanya kazi kwa siku 5 kwa wiki...na mara nyingine kusafir...
Bandugu..
Naombeni ushauri ,nataka nipeleke nguo mitumba vijijini kw hapa dom, je itanilipa??
Changamoto? Je?
Kwa aliyewahi kufanya biashara hii afanye ku share experience yake.. Plz.
Maana...
...ninahitaji mkopo kwa ajili ya kujenga jengo la ghorofa 5, Sinza karibu na jengo jipya la psssf, ila sitaji kudhamini jengo hilo kwa kutumia biashara zangu ama kipato kingine nje ya jengo...
Tafadhali unapoombwa ushauri na mwana JF mwenzako kupitia post jaribu kutoa replies zenye chanya juu ya hicho kitu alichoomba au msaada anaohitaji kuupata sio kuanza kumuona kama boya fulani yuko...
Salama wakuu? kwema? niende kwenye mada moja kwa moja.
Nafikiria kuanzisha duka la kuuza vifungashio vya bidhaa mbali mbali mfano: asali, karanga, ubuyu wengine wanawekea pilipili kiujumla...
Habari ndugu wanajukwaa,
Ningependa kujua taratibu za kusajili partnership BRELA, utaratibu ukoje na gharama zake ni kiwango gani.
Natanguliza shukrani.
Sitaki kuamini kuwa tunaenda kwa mwendo huu, mwendo wa fedha yetu kukosa thamani na kuzidi kudidimia chini.
Ni ajabu wana uchumi kashindwa kuikomboa fedha yetu, wazee wetu wanatuambia hapo kabla...
Mzuka!
Ingependeza tungeiga hii makitu Black Friday kutoka kwa mabeberu ambayo ni kesho kuna punguzo la bei kwa kila bidhaa.
Bongo ingekuwepo watu kesho tungechangamkia kununua magunia ya...
Shikamoni wakuu, ila wadogo malhaba.
Nataka kununua saa ebay ila naambiwa eti nibadili njia ya malipo, natumia m-pesa master card nimekuwa nikiitumia kununulia vitu. Ilikuwa imeisha muda wake ila...
Wakuu,
Niko site huku upareni nimekutana na haya madini baada ya utafiti wa juu juu nimegundua ni either Red garnet au Rubby. Kwa wale wataalam wa madini hebu nipeni uhakika ni madini ya aina...
UPDATE 21 NOV, 2019 12:57PM
Wakuu bado sijafanikisha, watu ambao wanasema wanatoa mikopo humu hawapo serious kabisa, naomba kama kuna mtu yupo serious anatoa mkopo kwa dhamana ya kadi ya gari...
Tani 4,852,851 za korosho ghafi zimeuzwa katika minada miwili iliyofanyika kwa nyakati tofauti katika Wilaya za Lindi na Nachingwea mkoani Lindi mwishoni mwa wiki.
Kaimu Mrajisi wa Vyama vya...
Habari ndugu zangu humu ndani. Samahani nimepata tatizo la ghafla nilikuwa nahitaji kupata mkopo wa kuanzia milioni nne 4 wa dharura kwa yeyote mwenye kujua ni wapi naweza saidika kwa taasisi...
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha miaka minne imeongeza mapato yake na kufikia Sh. trilioni 58.3 Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Mbibo, aliyasema hayo jana wakati...
Nauza vyungu vya kuyeyushia Dhahabu pamoja na vifaa vyote vinavotumika Elution pamoja na Scale za Tanita za Japani, Na vipimo vya maji kwa ajili yakuangalia asilimia kwa Bei nzuri kabisa. Kwa...
Serikali kupitia Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Madini (SMMRP), imeendelea kunufaisha wachimbaji wadogo wa madini kwa kuanzisha na kuboresha mifumo mbalimbali itakayosaidia kukuza sekta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.