Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Uongozi wa Tannesco mtwara jaribuni kutatua changamoto hii kama ipo ndani ya uwezo wenu. Tinategemea umeme kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi huku vijijini. Kumekuwa na tatizo la...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ili biashara ipate nafasi sokoni lazima kuwe na ushindani,ili mteja apate thamani lazima kuwe na ushindani hivyo hakikisha biashara yako ama wazo lako ni la kishindani na lina mbinu na uwezo wa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimefungua biashara mwezi wa tisa nikaona ni bora niende TRA ili nifanye biashara kwa kufuata sheria za nchi na nilipe kodi. Kutokana na biashara yangu nikakadiriwa kodi laki moja na hamsini kwa...
11 Reactions
71 Replies
8K Views
Wakuu umofia kwenu? Nauliza hapa Dar duka gani naweza pata saa quality za brand za uswiss kama vile Rado, Patek Phillipe, Rolex ambazo zina quality?
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Bei ya korosho kwa mnada wa tano, msimu wa 2019/2020 katika chama kikuu cha ushirika cha RUNALI, mkoa wa Lindi imeongezeka ikilinganishwa na mnada wa wanne. Akizungumza na Muungwana Blog mara tu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau nina wazo la kuanzisha biashara ya kuuza juice ya miwa....naomba kujuzwa juu ya gharama za mashine hiyo. Ile ya kuzungusha kwa mkono na ile ya kutumia mota. Nawakilisha wadau MASWALI ZAIDI...
0 Reactions
202 Replies
71K Views
Baada ya kuwa jobless kwa muda mrefu, leo kuna jamaa kanipeleka makumbusho kwenye ofisi za Alliances Global. Hao jamaa wanataka utoe laki 5 alafu ujiunge nao. Baada ya hapo inabidi utafute watu...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Naomba msaada wa maelezo kutoka kwa mtu ambaye ameshafika maeneo hayo na gharama zake zipo vipi. Je ni airport ipi ipo better au karibu na hayo maeneo? Tour guide ipoje? Asanteni sana.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Imeelezwa kuwa moja ya mipango ya kuokoa biashara hya Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) ni kuliunganisha na Shirika la ndege la Ethiopia lenye mafanikio, kwa lengo la kukuza biashara ya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kila kitu kinachoanza kwa hatua ndogo kinatakiwa kukua katika ukubwa, hivyo unapoonzisha biashara ndogo basi fahamu namna ambavyo biashara hiyo itakuwa kubwa. Zifutazo ndizo kanuni za kuikuza...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
1. Kamwe usiamke mapema, endelea kulala na kujinyosha mpaka pale njaa itakapokuuma. 2. Kamwe usipange jinsi ya kutumia pesa zako, wewe zitumie tu pale unapozipata. Na zikiisha kaa chini na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam Wanajukwaa, Nimekuwa nikiwasikia na wakati mwingine kuwaona baadhi ya watu wakiwa na mipango ya kuhamia maeneo fulani kiutafutaji na hivyo kuuliza wenyeji kuhusiana na fursa wanazoweza...
1 Reactions
0 Replies
716 Views
Umewahi kusikia fedha za mkopo za Halmashauri zile zinazokopeshwa bila riba? Mambo muhimu: 1.Unda kikundi cha vijana, wakina mama au walemavu. Kuanzia watu watano na kuendelea 2. Andaa katiba...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wadau. Nipo Dar kwa sasa nilihitaji kujua kwa wale wazoefu wa uzalishaji wa ice lolly (lambalamba) mambo yafuatayo: 1. Vifaa hasa vinavyotakiwa. 2. Gharama yake. 3. Changamoto. 4. Soko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna Daktari wa Hospital ya Bunazi Anaitwa Patrick Mwesige anaishi bukoba mjini yupo halimashauri Bunazi namba yake ya simu 0762049842 amekuwa akidai rushwa ya ngono kwa wagonjwa wake kuna dada...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimefanya maombi ya kusajili kampuni kwa njia ya mtandao Online Registration System BRELA. Baada ya kupendekeza jina for name reservation, nilipata mrejesho kwa njia ya email kuwa jina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za usiku. Wanabiashara na wajasiriamali kwa ujumla, ningependa kuuliza mambo gani yanaweza kuharibu biashara kwa mtu aliye na mtaji wa kuanzia 25 million?
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wakuu natumai ni wazima. Nilikuwa naomba nipate muangaza kidogo kuhusiana na upataji wa leseni ya biashara aina yenyewe ya biashara ni kama ile ya Kikuu. Nimejaribu kuuliza inasemekana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wazoefu wamikopo yamabank nahitaji uzoefu wenu. Nibank gani naweza pata mkopo wabiashara wakuanzia Milion 5 mpaka milioni 8 kwadhamana yanyumba?
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Kama mtu anajua sehemu au yeye mwenyewe ananunua vitu used jijini Dodoma naomba anishtue nina simu yangu nahitaji kuiuza
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom