Do you want to start any of the following 65 businesses ?
Tyres Retail - New
Real Estate Agency - 42 pages
Executive Barber Shop - 42pgs
Petrol Station (Independent) - 47pgs
Motorcycle Spare...
Wadau habari za ujenzi wa taifa.
Naombeni wataalamu wa mambo ya roofing na material yanayohusiana na roofing mnisaidie mambo yafuatayo;
1. Aina mbalimbali za roofing material, suitability na...
Katika kutatua matatizo ya kilimo na wanunuzi wa tumbaku Bashe hapa umeweza sana kumsaidia Raisi, hii ni kama mambo uliyoyasema yatatekelezwa haraka.
Kikao na kampuni nne zinazonunua tumbaku...
Kwetu sisi matajiiri ila mimi sisikii vizuri, je nifanye biashara ipi kwa namna gani?
Heloo wanachama, kama kichwa cha habari kinavyoseleza, Nlibahatika kuzaliwa kwenye familia ambayo angalau...
Wakuu habari
Wakati wa nane nane dodoma mwaka huu kulikua na wauzaji wa incubator ndogo ya mayai 8 kama sijakosea na walikua wanauza 80,000 tafadhali kama kuna supplier humu wa hizo incubator au...
Hello!
Naomba kuuliza vijana mlio na uwezo wa kuunda magari au pikipiki, hivi hamuwezi kuunda hivyo vyombo vya moto kwa bajeti ndogo mfano Tsh.500,000/= mpaka Tsh.2,000,000/= hivi??
Undeni bwana...
Sisi ni wanachama na tumeambiwa kuna nafasiwya masoko ya mazao. Msimu uliopita baada ya India kusitisha manunuzi ya mbaazi mazao yetu yalikosa soko kabisa. Mbaazi ziliozea mashambani, licha ya...
Nimekuwa nasafiri kwa miaka kumi sasa na KLM, Emirates na Turkish airways. Asilimia zaidi ya 90% hasa KLM wanashukia KIA lakini nipadogo sana Vilevile hakuna Hotel karibu. Kuna viwanja vingi pale...
Wadau natafuta mteja nauza hisa zangu za voda nahisa elf 5000 nauza zote kama mteja tuwasiliane kwanamba 0683 954 738 ile namba yakwanza nilikosea hii ndo sahihi kwamasiliano
Shirika la ndege la ATC naona limeanza safari za nje. Hii ni hatua nzuri sana lakini wasiwasi wangu ninasita kuamini kwamba wataweza kumudu route za kimataifa.
Moja ya changamoto za route za...
NYUMBA INAUZWA
Ni nyumba ya kisasa ipo maeneo ya BUNJU "A"
Ina vyumba vinne, master bedroom, store, jiko, fensi na nyumba nyingine ndogo kwa pembeni.
Ukubwa wa kiwanja ni square meters 1910
Ina...
Kaka yangu amefungua genge la matunda na viungio vya chakula amelipia kodi ya miezi sita na ndo kwanza mwezi mmoja na wiki mbili anataka aikimbie fremu
Anadai amefeli kwenye uteuzi wa location...
Mzuqa,
Miezi miwili iliyopita nilinunua smart watch kutoka Aliexpress na kusafirishwa na hawa Malaysia Post, baada ya siku 15 saa yangu ilifika South Africa sasa kila niki-track naona bado...
Wakuu naomba kujua namna na taratibu za kuuza hisa zangu za voda, kuna hela flan nahitaji sasa nimeona the last option ni kuuza hisa zangu zipatazo 1000.
Sarafu ya Tanzania imekuwa ikipata nguvu kila uchwao kutokana na juhudi za makusudi za kukuza uchumi wa Tanzania zinazofanywa na Serikali ya awamu ya 5.
''Tanzania’s shilling is expected to gain...
Fundi bomba, Plumbing & pipe fitting,s. Ninatoa huduma hii kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Maji safi na maji taka Drainage system kwa ubora wa kitaaluma na uzoefu pia sio kubahatisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.