Habari za mchana huu!! Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufungua kiwanda cha vinywaji yaani Juice,soda katika taste tofauti tofauti... Kuhusu pesa ninazo (ila si za kuhonga...
Habari zenu wadau.
Hapa jijini kumekuwa na maduka mengi sana ya mavazi yenye ubora wa juu, kati na za kawaida sana.
Wengi wa wamiliki wanasafiri ama kuagiza toka nchi za china, Korea, hata...
Salute bosses!
Uzi huu nauandika mahususi kwaajili ya kupeana mbinu za biashara ulizotumia wakati unaanza biashara yako hadi ukafanikiwa.
Nafahamu hapa JF wapo wafanyabiashara wenye mafanikio...
Watu wengi wanajua ukishafungua biashara basi kinacho fuata ni kupiga pesa tu wanasahau viungo muhimu vya biashara
Biashara siyo uchawi biashara ni akili, ubunifu na wakat
Vitu vinavyofanya...
Wadau salamu!
Naomba mwenye kujua anisaidie. Nina kampuni mbili zenye shughuli tofauti, nimeamua niziweke ktk ofisi moja ili kuepuka gharama za pango lkn pia ziwe chini ya meneja mmoja. Naomba...
wakuu nimepata wazo la kuanzisha biashara ya kuSupply mchele mashuleni na kwenye cafeteria za chuo.
ni utaratibu gani hutumika kupata tenda kwenye maeneo hayo? mfano hizi shule za boarding na pia...
Wakuu katika kuhangaika kwangu nimejichanga changa sana hadi sasa nina kama milion 10 za kitanzania, lengo ni kupata 'goli' kariakoo na kufanya biashara ya nguo za kiume.
Nimekuja hapa kuomba...
Habari, poleni na majukumu ya siku nzima. Inawezekana ukawa suluhisho la tatizo langu la kupata mkopo. Maisha yamenipiga sana baada ya kuachishwa kazi na sasa ninakusudia kuanzisha biashara ili...
Achana na zile nyuzi zangu kuhusu watoto wa kike na kua na tamaa, wacha nishushe wasifu wangu.
Mimi ni kijana ambaye taeheer 04/07 nilitimiza miaka 22, yaani bado damu inachemka, naishi kwa ndugu...
Vijana Mkoa wa Ruvuma wamefurahia fursa ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamaizi wa biashara yaliyotolewa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushirikiana na Ofisi ya...
Nawasalimu kwa salamu ya kihandisi, expansion joint wadau!
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka,Nchi yetu ya Tanzania kwa sasa ni kati ya nchi zenye idadi kubwa ya watu na yenye ongezeko la kasi...
Habari ya muda huu wapendwa. Naomba msaada kuhusu kufanya top up ya mkopo crdb. Huwa inaruhusiwa muda gani baada ya kupata mkopo wa kwanza?;msaada wenu please. Mimi ni mtumishi wa umma
Habari wadau
Nna mpango wa kufanya biashara ya vyombo vya mtumba,nalenga kuchukua bidhaa kutoka Zanzibar,naomba many connection au hata ushauri kwa mwenye uzoefu na biashara husika,asanteni.
Wakuu natumai muwazima wa afya.
*Mimi ni muhitimu wa mafunzo ya ualimu ngazi ya "diploma" katika masomo ya physics & biology,,,
*Nimependa ku- share nanyi uzi huu kwa malengo makuu mawili.
1.Kwa...
Habari wakuu!
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza, ipo mijadala na humu Kuna baadhi ya uzi zimegusia juu ya ubora na bei ya bidhaa zinazotengenezwa Tanzania Kama chanzo Cha watanzania wengi...
Habari za mchana wakuu...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,,naomba nipate ushauri wenu kuhusu hili suala..
Nimemfungulia wife biashara ya vinywaji(soft drinks) kwa mtaji wa Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.