Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali imeanza jitihada za kufuta tozo zote ambazo zinakwamisha mazingira ya ufanyaji wa biashara nchini zikiwemo za pembejeo ili kuwawezesha wafanyabiashara...
Wakuu naulizia bei ya ARTIFICIAL GRASS CARPETS (Makapeti ya nyasi bandia) kwa 1 metre square/ mita 1 ya mraba kwaajili ya Decoration/upambaji. Kwa anaefahamu mahali yanapo patikana kwa bei nafuu...
DODOMA
Location-mtumba
Ukubwa-sqm 1000
Offer- ipo
Bei- 10m
Mkataba-haugharamiwi pesa
Lisiti- unapewa
Gharama za kwenda kuona eneo juu yako.
0715170553
Ofisi ipo Jengo la CCM MKOA
Wadau leo Dr Harison Mwakyembe amehitimisha bajeti yake huku watanzania tukiwa tunaendelea kuibiwa bandarini.
Naomba wale wajuvi wa mambo ya bandari mnisaidie na kuwasaidia watanzania...
Kenya Airways yazidi kuitelekeza Precision Air. Hali yao yazidi kuwa mbaya,wafanyakazi kama isemekano bado hawajalipqa miezi miwili. Wamiliki wa ndege zilizokodiwa wabishia kuzichukua,serikali ya...
Habari za muda Huu wanajamvi! Nafikilia kufanya biashara hiyo ya uuzaji wa vifaa vya baiskeli aina zote. Wenye kuijua waje watujuze faida na changa moto zake, Nawasilisha......
Mimi ni kijana mjasiriamali, ni fundi simu pia nauza vifaa vya simu kama mic, housing, ac, speaker, screen n.k
Nimepata mtaji wa millioni mbili nawaza kufungua duka la kuuza simu, bidhaa...
1.Kuuza uraia kwa watu wa nchi nyingine wenye pesa.Marekani wao ukishanunua municipal bond kwa dola laki Tano unapewa green card bila longo longo.Na sisi tuwauzie ma bond yetu kwa dola laki Tano...
Naipongeza sana ofisi ya uhamiaji mkoa wa mwanza kwa kazi nzuri wanayoifanya, kiukweli makamanda wote wa ofisi hiyo ni wachapakazi na wanajua kutoa huduma nzur kwa wateja.
Yapata wiki sasa tangu...
Baada ya kufanya utafiti wa kina nimekuja na majibu ya kwamba ,sasa hivi wanawake ndiyo wanaongoza kwa kuwa na hela kwenye miji yote mikubwa.
1. Angalia magari mengi yanaendeshwa na wanawake
2...
Habari zenu wadau. Unajua kuna watu wapo humu waliopata mafanikio makubwa katika maswala ya pesa. Naomba kufamu wenyewe walifanyaje hadi kuwa mabilionea? Karibuni sana
Wadau amani iwe kwenu..
Nimejaribu kufikiria Idea ya Garage inayotembea kama fursa inayoweza kufanyiwa tathmini na kutekelezwa na kuingiza kipato cha kutosha. Kwa maoni yangu, kutokana na...
Hi wanaJF , niko Dar es salaam nimegraduate mwaka 2012 public administration na sina kaz ila nna kiosk(kiduka) chenye km milion moja na laki nne nna uhakika wa mkopo wa milion moja na laki tano...
**HABARI WANA JAMVI* . Sisi ni hitimu wa Elimu ya chuo Kikuu katika chuo kikuu cha Dodoma tunapatikana Dodoma Mjini. Tukiwa kama vijana wahanga wa suala la ajira, Tuliamua kusoma kozi fupi ya...
Habari.!
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote mlioheshimu uzi huu na kuupitia
Binafsi nimetafuta kazi kwa mda mrefu sana bila mafanikio
Nimeumiza kichwa ipasavyo kuangalia nifanye biashara...
Pato la Taifa kwa kila mtu huchukuliwa kuwa ni kiashiria cha kiwango cha maisha ya nchi inayotolewa, kwa kuwa inaonyesha utajiri wastani wa kila mtu anayeishi nchini.
Kwa hiyo ni njia ya kawaida...
Hii bvitha hii sijui inatupeleka wapi maana Google anawakalia kooni huawei namna hii jamani.
chanzo cha habari na habari yenyewe full hapa kwa link
Google has barred phone maker Huawei off from...
Habarin wananzengo,
Naomba kwa wazoefu tusaidiane,
Nahitaji mtaji wa kiasi gan ili kuweza kuanzisha biashara ya duka la rejareja.
Na pia kujua vitu gan vya msingi kuwa navyo kwa ajil ya kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.