Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali imeanza jitihada za kufuta tozo zote ambazo zinakwamisha mazingira ya ufanyaji wa biashara nchini zikiwemo za pembejeo ili kuwawezesha wafanyabiashara...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Naomba ajuaye kuhusu kuanza kukatwa makato kama umechukua mkopo has a bank ya abc
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naulizia bei ya ARTIFICIAL GRASS CARPETS (Makapeti ya nyasi bandia) kwa 1 metre square/ mita 1 ya mraba kwaajili ya Decoration/upambaji. Kwa anaefahamu mahali yanapo patikana kwa bei nafuu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
DODOMA Location-mtumba Ukubwa-sqm 1000 Offer- ipo Bei- 10m Mkataba-haugharamiwi pesa Lisiti- unapewa Gharama za kwenda kuona eneo juu yako. 0715170553 Ofisi ipo Jengo la CCM MKOA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau leo Dr Harison Mwakyembe amehitimisha bajeti yake huku watanzania tukiwa tunaendelea kuibiwa bandarini. Naomba wale wajuvi wa mambo ya bandari mnisaidie na kuwasaidia watanzania...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kenya Airways yazidi kuitelekeza Precision Air. Hali yao yazidi kuwa mbaya,wafanyakazi kama isemekano bado hawajalipqa miezi miwili. Wamiliki wa ndege zilizokodiwa wabishia kuzichukua,serikali ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za muda Huu wanajamvi! Nafikilia kufanya biashara hiyo ya uuzaji wa vifaa vya baiskeli aina zote. Wenye kuijua waje watujuze faida na changa moto zake, Nawasilisha......
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Mimi ni kijana mjasiriamali, ni fundi simu pia nauza vifaa vya simu kama mic, housing, ac, speaker, screen n.k Nimepata mtaji wa millioni mbili nawaza kufungua duka la kuuza simu, bidhaa...
0 Reactions
30 Replies
13K Views
1.Kuuza uraia kwa watu wa nchi nyingine wenye pesa.Marekani wao ukishanunua municipal bond kwa dola laki Tano unapewa green card bila longo longo.Na sisi tuwauzie ma bond yetu kwa dola laki Tano...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Naipongeza sana ofisi ya uhamiaji mkoa wa mwanza kwa kazi nzuri wanayoifanya, kiukweli makamanda wote wa ofisi hiyo ni wachapakazi na wanajua kutoa huduma nzur kwa wateja. Yapata wiki sasa tangu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kufanya utafiti wa kina nimekuja na majibu ya kwamba ,sasa hivi wanawake ndiyo wanaongoza kwa kuwa na hela kwenye miji yote mikubwa. 1. Angalia magari mengi yanaendeshwa na wanawake 2...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Unajua kuna watu wapo humu waliopata mafanikio makubwa katika maswala ya pesa. Naomba kufamu wenyewe walifanyaje hadi kuwa mabilionea? Karibuni sana
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wadau amani iwe kwenu.. Nimejaribu kufikiria Idea ya Garage inayotembea kama fursa inayoweza kufanyiwa tathmini na kutekelezwa na kuingiza kipato cha kutosha. Kwa maoni yangu, kutokana na...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi wanaJF , niko Dar es salaam nimegraduate mwaka 2012 public administration na sina kaz ila nna kiosk(kiduka) chenye km milion moja na laki nne nna uhakika wa mkopo wa milion moja na laki tano...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
**HABARI WANA JAMVI* . Sisi ni hitimu wa Elimu ya chuo Kikuu katika chuo kikuu cha Dodoma tunapatikana Dodoma Mjini. Tukiwa kama vijana wahanga wa suala la ajira, Tuliamua kusoma kozi fupi ya...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari.! Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote mlioheshimu uzi huu na kuupitia Binafsi nimetafuta kazi kwa mda mrefu sana bila mafanikio Nimeumiza kichwa ipasavyo kuangalia nifanye biashara...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Pato la Taifa kwa kila mtu huchukuliwa kuwa ni kiashiria cha kiwango cha maisha ya nchi inayotolewa, kwa kuwa inaonyesha utajiri wastani wa kila mtu anayeishi nchini. Kwa hiyo ni njia ya kawaida...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Hii bvitha hii sijui inatupeleka wapi maana Google anawakalia kooni huawei namna hii jamani. chanzo cha habari na habari yenyewe full hapa kwa link Google has barred phone maker Huawei off from...
0 Reactions
2 Replies
952 Views
Natafuta wauzaji wa baloo/robota Nzur za mtumba Natafuta hasa za suruali na shati Kama unafanya biashara hiyo ni pm Asanteni
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarin wananzengo, Naomba kwa wazoefu tusaidiane, Nahitaji mtaji wa kiasi gan ili kuweza kuanzisha biashara ya duka la rejareja. Na pia kujua vitu gan vya msingi kuwa navyo kwa ajil ya kuanzisha...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom