Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Natumaini mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku wanajanvi, Naombeni msaada kwa wanaojua jinsi ya kutengeneza mishumaa, shampoo na sabuni za kipande. Malighlafi zinazohitajika na gharama za...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Ndugu zangu natangaza biashara ya vitunguu ambavyo bado vipo shamba ila mwisho wa mwezi huu vitakua tayari Eneo ni tarime mkoa wa mara. Hecta 2 tuu. Asanteni sana. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Jamani wana JF kama naweza kupata mlolongo mzima wa namna ya kupata laini hizi za uwakala, asanteni jumaa njema Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Awali ya yote napenda kumshukuru mola kwa kutufikisha 2019 mimi na wewe unaesoma hapa. Basi niishie hapo na kusema hali ni tete hamna ajila pesa saivi ipo ikulu sasa mie sitaki kusubili nipewe...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Ninampango wa kuanzisha biashara ya kuuza vipodozi lakini sna elimu sahihi. Naomba kama kuna anaeweza kunipa elimu anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
919 Views
Kama heading inavyojieleza wadau nimetafuta ratiba ya maonesho yote ya biashara hapa Tanzania kwa mwaka 2019 ila nimekosa. sasa naomba msaada wenu kwa mwenye kufahamu anijulishe au nipeni list...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Sehemu ninayofanya kazi tuliwahi kufanya kazi na kampuni fulani ya usafirishaji na utoaji mizigo bandarini, kampuni hii ilikuwa ikiendeshwa kifamilia..yaani unakuta Mmiliki ni babu, Meneja Mkuu ni...
13 Reactions
23 Replies
8K Views
Msaada je online survey ni kitu gani na unawezaje kupata pesa ?? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mheshimiwa Rais Dr. Pombe Magufuli katika salaam zake za mwaka mpya wa 2019 kwa wananchi, amesisitiza sana suala la amani na uzalendo kama nyenzo muhimu zitakazoliletea mafanikio makubwa taifa...
1 Reactions
1 Replies
847 Views
Wasalaam Wana jf,nahitaji kujua kilimo Cha hizo Nazi fupi Kama zinakomaa au Ni za kuliwa madafu tu ? Na je Ni wapi kwa hapa dar nitapata Miche na bei gani? Natanguliza shukrani Sent using Jamii...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanajamvi naomba tushirikiane na tupeane ushauri nn cha kufanya mwaka huu: Kwa kifupi mi ni mwajiriwa na mshahara wangu unakaribia mil 2 ila malengo niliyojiwekea ni kama ifuatavyo: 1. Nataka...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa. Nimewaza kwa kina nikaona fuksa ni kuuza movie maeneo ya chuo kwakuwa wanafunzi ni wanapenda sana movie. Sijajua kama nipo saivi katika biashara kwa sehemu kama ya chuo...
0 Reactions
33 Replies
9K Views
Habari wanabodi, Mimi ni mfanyakazi sekta binafsi, nimejikusanya na sasa nina kama 1M hivi. Nataka kuifanyia biashara lakini sijui nifanye biashara ipi, maana ama nitafute mtu wa kunifanyia hiyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana ndugu napenda niwashirikishe wazo langu linalo tatiza ufahamu wangu....ni biashara ndgo ya namna gani naweza fanya kwa mtaji wa makadirio ya laki5 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
994 Views
*SERIKALI KUWAPATIA VITAMBULISHO WAKULIMA* Baada ya Serikali nchini Tanzania kugawa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo 675,000, sasa inahamia kwa wakulima ambao nao watapatiwa vitambulisho...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MOPAYA MADI Mtaalamu wa kodi aliyeona fursa katika ung’arishaji viatu Na Beda Msimbe NI nadra sana kukutana na mtu ambaye amehitimu fani nyeti ya Usimamizi wa Kodi na Forodha kufanya shughuli...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
TUWAOMBE TRA KUWA NA BIASHARA-DARASA KWA AJILI YA UTAFITI Wadau ni matumani muko salama na mwaka mpya 2019, Ombi langu kwa wadau wa kodi , TRA, Serikali n.k ili kuepuka msuguano uliopo hadi...
1 Reactions
0 Replies
888 Views
Salamu Wakuu Hongereni kwa kuona mwaka mwingine tena Kama kichwa kinavyojieleza hapo Mimi ni mwanafunzi wa A level mkoani arusha kijana mdogo kabisa mawazo yangu yote niliaminishwa ajira...
7 Reactions
44 Replies
4K Views
Kuna Jamaa anataka nimpe mtaji wa pesa kama laki3 anataka kuanzisha kibanda cha kuuza mafuta ya petrol na Oil lkn kila nikiiangalia hiii biashara faida yake ndogo sana Lita moja filling station...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Back
Top Bottom